Friday, December 27, 2013

HATARIIII!!" AJIFUNGA KAMBA KATIKA "DUSHELELE" KISHA KUTEMBEA JUU YA KAMBA MLIMANI




Watu hawa wa ajabu walikutwa kwenye tamasha la highline wakiwa wanatembea juu ya kamba kwa umbali wa mita 61 huku wakiwa uc+hi wa mnyama - cha ajabu zaidi ni jamaa huyu aitwaye Andy Lewis ambaye tofauti na wenzake yeye aliamua kwenda mbali zaidi.

Wakitembea juu ya kamba hizo ambazo zilipita juu toka kwenye ardhi iliyokuwa chini kwa urefu wa mita 30, hakika jamaa waliyaweka maisha yao kwenye hatari kama sio kifo huku wakiwa wako uc+hi wa mnyama.

Majasiri hao waliacha nguo zao pembeni na kuvaa kamba moja ambayo waliifunga kwenye mguu na kiuno, ila kwa ishu ya Andy Lewis yeye ilikuwa ni ya kipekee zaidi kwani yeye aliifunga kamba hiyo kwenye "dudu" wake.

Angalia picha hapo chini...




DC Blog.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets