Showing posts with label Habari za Kitaifa. Show all posts
Showing posts with label Habari za Kitaifa. Show all posts
Wednesday, October 12, 2016
ORAS COMPANY
ORAS
Ni kampuni inayotoa ushauri katika maswala yote ya biashara na uchumi, ikiw ni pamoja na kusaidia makampuni na watu binafsi katika uandaaji wa hesabu za mwaka (financial statements) katika biashara yako au kampuni yako.
kwa msaada au ushauri unakaribishwa sana ORAS COMPANY.
tupigie kwa namba +255764717181, +255657804804 na +255776700500
Sunday, July 31, 2016
MAKE MONEY WITH SFI
Saturday, October 3, 2015
LOWASSA AMTAKA NAMELOCK SOKOINE KUMFUATA UKAWA

LOWASSA AMTAKA NAMELOCK SOKOINE KUMFUATA UKAWA
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa akiwa katika msafara wake wa kufanya kampeni ambapo jana alikuwa Monduli kwa ajili ya kuomba kura kwa ajili yake mwenyewe na wagombea wengine wa UKAWA, amesema anatarajia kuongea na mgombea ubunge wa CCM katika jimbo hilo, Namelock Sokoine ili kumshawishi kuhamia upande alioko yeye.
Lowassa, ambaye ndiye aliyempendekeza mgombea huyo ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, hayati Edward Moringe Sokoine kuwa ndiye anayefaa kuchukua nafasi yake baada ya yeye kuliongoza jimbo hilo kwa takribani miaka 20 jana hakuweza kusema lolote kendapo Namelock ni dhaifu kuliko mgombea wa CHADEMA/UKAWA, Julius Kalanga.
“Kesho nitakutana na Namelock ili nielewane naye kwa kuwa nisingependa kuvunja umoja wetu wa muda mrefu. Nataka Monduli ibaki ile ile yenye amani na utulivu hata hivyo ambaye hataki kupanda kwenye basi la Lowassa itabidi abaki,” alisema Lowassa.
Baada ya kuongelea jambo hilo ambalo ilionyesha dhahiri kuwa linampa tabu, Lowassa alimtambulisha Kalanga kwa wananchi na kisha akampa nafasi ya kunadi sera zake.
Friday, August 21, 2015
Mgombea Ubunge wa Shinyanga Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, adaiwa kutekwa na kunyang'anywa fomu
-Alikuwa akirudisha fomu zake za Ubunge
Nimezungumza na mwenezi wa jimbo hilo na kuthibitisha hilo lakini pia simu ya mgombea haipatikani.
Nimeongea pia na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha hili.
-Alikuwa akirudisha fomu zake za Ubunge
Nimezungumza na mwenezi wa jimbo hilo na kuthibitisha hilo lakini pia simu ya mgombea haipatikani.
Nimeongea pia na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha hili.
Monday, February 3, 2014
CCM YAWATEKA WASANII WA BONGO MOVIES, MAMIA WAJIUNGA RASMI.
Saturday, February 1, 2014
AFANDE SELE AIFAGILIA BANGI KAMA OBAMA.
Afande Sele ameungana na Rais wa Marekani Barack Obama katika kuunga mkono kauli yake ya kwamba bangi ni salama kuliko pombe kwa afya ya binadamu.
Akiongea na kipindi cha Milazo XP kinachorushwa na TBC fm, Afande Selle, mbali na kuunga mkono pia alizungumzia umuhimu wa bangi kama zao linaloweza pia kuwa na manufaa kwa uchumi wa nchi kama litatumiwa kwa usahihi.
Sikiliza mahojiano hayo hapa....
Fuata link hii kusikiliza:- http://old.hulkshare.com/tjcqooymf56o
DC Blog.
BABA AMUAUA MWANAE WA MIEZI 6 KWA KUMPIGA NA CHUPA YA BIA KICHWANI.
Masikini wa Mungu! Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25), mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani na kusababisha mshipa mkubwa wa damu kukatika kichwani.
Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kuumiza moyo, mama mzazi wa mtoto huyo, Matlida Amon alieleza kuwa tukio hilo lilijiri maeneo hayo hivi karibuni majira ya 5:00 asubuhi.
Mama huyo alimtaja kwa machungu mzazi mwenzake huyo kuhusika na tukio hilo.
Mama huyo alimtaja kwa machungu mzazi mwenzake huyo kuhusika na tukio hilo.
Alisema kuwa mumewe huyo wa ndoa alimuomba aende kumchajia simu barabarani ambapo alimuacha mdogo wake wa kike mwenye umri wa miaka 13 na mtoto akiwa anacheza kitandani.
Alisimulia kuwa aliporudi nyumbani alishangaa kumkuta mdogo wake akilia nje ya nyumba yao.
Matlida alisema kuwa alipomuuliza mdogo wake kwa nini alikuwa akiangua kilio, akamwambia kwamba shemeji yake alikuwa akimwambia kuwa anataka kufanya naye mapenzi.
Matlida alisema kuwa alipomuuliza mdogo wake kwa nini alikuwa akiangua kilio, akamwambia kwamba shemeji yake alikuwa akimwambia kuwa anataka kufanya naye mapenzi.
Alisema mdogo wake alimwambia kuwa alimsukumiza kitandani akitaka kumbaka ndipo akapiga kelele na kufanikiwa kumchomoka na kukimbilia nje.
Mama wa mtoto huyo aliendelea kusimulia kwamba alipoingia ndani alianza kumlaani mumewe huyo kwa kitendo alichotaka kukifanya kwa mdogo wake ambapo aliishia kuomba msamaha lakini alimwambia ni bora amuombe mdogo wake (shemeji) na siyo yeye.
Matilda alisema kuwa baada ya kumwambia hivyo, yeye alianza kukusanya nguo za mdogo wake ampe ili aende nyumbani kwao ndipo mumewe huyo alipochukua kisu alichokiweka pembeni ya godoro na kutaka kumchoma nacho yeye.
Hata hivyo, Mungu mkubwa kwani Matilda alisema kuwa alifanikiwa kukidaka na kwa vile kilikuwa kibovu mwanaume alibaki na mpini yeye akabaki na kisu bila mpini.
Alisema alikitupa kisu hicho kupitia dirishani ambapo alipogeuka mumewe, alimzibua kibao kikali usoni kisha akachukua chupa ya bia iliyokuwa tupu ndani na kwenda moja kwa moja kwa mtoto aliyekuwa akicheza kitandani na kumpiga nayo kichwani huku akisema: “Bora tukose wote.”
Matilda aliendelea kusimulia huku akilia kuwa baada ya kufanya kitendo hicho baba huyo alikimbia huku yeye akimkimbilia mtoto aliyekuwa akitapatapa kitandani.
Matilda aliendelea kusimulia huku akilia kuwa baada ya kufanya kitendo hicho baba huyo alikimbia huku yeye akimkimbilia mtoto aliyekuwa akitapatapa kitandani.
Dakika chache baadaye mtoto alizimia hivyo baadhi ya majirani walimkimbiza katika Hospitali ya Boch iliyopo Kimara-Suka, Dar ambapo alipatiwa huduma ya kwanza kisha wakampiga X-Ray na kugundua kuna mshipa mkubwa wa fahamu kichwani ulikuwa umekatika.
Baada ya hapo alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar. Alipofikishwa aliingizwa kwenye chumba cha upasuaji ili kuokoa maisha yake lakini ilishindikana kwani alifariki dunia.
Baada ya kupata taarifa hizo, ndugu pamoja na mama wa mtoto huyo walikwenda katika Kituo cha Polisi cha Mbezi Kwayusuf na kuandikisha taarifa kisha wakapatiwa jalada la kesi namba KMR/RB/1017/2014 na KMR /735/2014- MAUAJI ambapo mtuhumiwa anasakwa na polisi ili kufikishwa kwenye mkono wa sheria.
GPL.
Friday, January 31, 2014
A-Z, KUJINYONGA KWA MSANII WA BONGO MOVIES HII HAPA
SAKATA la kujinyonga kwa msanii wa filamu Bongo, Victor Peter limegubikwa na matukio tofauti ya kustaajabisha ambayo marehemu aliyafanya siku kadhaa kabla hajapatwa na umauti, Ijumaa limefukunyua kila kitu.
Kwa mujibu wa rafiki wa marehemu, Hamisi Koba, msanii huyo alijinyonga usiku wa Februari 27, mwaka huu mkoani Tanga ambapo marehemu alifika jijini humo kuigiza filamu yake iitwayo Our Family.
Hamisi alisema Victor aliwasili jijini humo akiwa na timu ya wasanii sita na kufikia kwenye nyumba ya kulala wageni iitwayo Safari Junior iliyopo maeneo ya Kisosora ambapo punde walianza kushuti filamu hiyo ambayo yeye na Mzee Jengua ndiyo walikuwa wahusika wakuu.
“Mimi ndiye nilikuwa kama mwenyeji wake mkubwa hapa Tanga, alikuwa ni mpole na siku zote tulipokuwa kazini kwa ajili ya kushuti filamu hiyo aliniambia mambo mengi kuonesha amejipanga kuhakikisha anaifikisha mbali.
“Victor alitokea Mwanza, akaenda Dar ambapo alifika na kuandaa filamu yake ya kwanza aliyoiita Chozi ambayo tayari ilikuwa imekamilika na kuiuza kwenye Kampuni ya Kapiko ya jijini humo,” alisema Koba na kuongeza:
“Filamu hiyo ilikuwa bado haijatoka, akaamua kuja Tanga kuandaa filamu hiyo ya pili ambayo nayo ilikamilika juzi. Naumia sana ninapokumbuka mipango yake maana alikuwa ana ndoto za kufanya makubwa.
“Siku ya Januari 27 tulipokuwa tunakamilisha filamu, kuna muda alikuwa anaonekana kama ana wenge hivi... alipomaliza kushuti sehemu yake tulienda benki, akachukua fedha na kuwalipa wasanii wote.”
Akiendelea kutiririka juu ya tukio hilo, Koba alisema marehemu alionesha kama alikiona kifo chake kabla kwani aliuliza mara mbilimbili kama kuna mtu anamdai ili amlipe.
“Wakati anatupatia fedha kila mara alikuwa anauliza kama kuna mtu anamdai hadi tuliingiwa wasiwasi na ingawa wengine walisema atakuwa amefurahia labda kumaliza muvi yake,” alisema.
Koba alizidi kueleza kuwa, marehemu akiwa na furaha ya kumaliza muvi hiyo, alikwenda chumbani kwake na kujifungia lakini alfajiri (Januari 28) walipomgongea mlango waligundua amejinyonga.
“Tulichungulia kupitia tundu la funguo tukaona kama ananing’inia ndipo tukaenda kwenye kituo cha Polisi cha Chumbageni na kuchukua askari ambao walishirikiana na mwenye gesti hiyo kuvunja
mlango na kumkuta kajinyonga, tukachukua mwili na kuupeleka kwenye Hospitali ya Bombo, mipango ya kuusafi risha mwili kwenda Kahama nyumbani kwao imeanza,” alisema Koba na kuongeza:
mlango na kumkuta kajinyonga, tukachukua mwili na kuupeleka kwenye Hospitali ya Bombo, mipango ya kuusafi risha mwili kwenda Kahama nyumbani kwao imeanza,” alisema Koba na kuongeza:
“Kwenye hiyo filamu yake, stori ilikuwa mzee Jengua kama baba wa Victor ambapo Mzee Jengua alikufa na baadaye Victor anakufa kiajabu, kifo kimempata kweli.”
Kuhusiana na kifo hicho, Koba alisema kilimuuma kwani alikilinganisha na kile kilichomtokea marehemu Steven Kanumba ambaye pia aliigiza filamu ya Power of Love ikionesha anakufa, akafa kikwelikweli.
Mwili wa marehemu uliokuwa umehifadhiwa katika Hospitali ya Bombo ulitarajiwa kusafi rishwa juzi kwenda nyumbani kwao Kahama kuzikwa.
GPL
Wednesday, January 29, 2014
MAMA WEMA SEPETU AWASAKA DIAMOND NA MWANAE ILI AWAANZISHIE VARANGATI.
HABARI mpya! Mama wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu anadaiwa kuingia rasmi mitaani akiwasaka wap#nzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Wema, chanzo cha uhakika kimesema na Amani.

Wema na Diamond wakiwa katika pozi la kim@haba.
Kwa mujibu wa chanzo hicho makini, mama Wema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kusikia taarifa kutoka kwa watu kwamba, Diamond amekuwa akisambaza maneno mitaani kuwa haogopi vitisho vya mwanamke huyo kufuatia hatua yake ya kumrudia binti yake.
ILIKUWAJE KWANI?
Hivi karibuni, mama Wema alizungumza na gazeti tumbo moja la hili, Ijumaa Wikienda linalotolewa na Kampuni ya Global Publishers Ltd kila siku ya Jumatatu na kusema kitendo cha Diamond kumrudia bintiye hakubaliani nacho.
Hivi karibuni, mama Wema alizungumza na gazeti tumbo moja la hili, Ijumaa Wikienda linalotolewa na Kampuni ya Global Publishers Ltd kila siku ya Jumatatu na kusema kitendo cha Diamond kumrudia bintiye hakubaliani nacho.
Aliongeza kuwa, kufuatia hatua hiyo iko siku ataingia mtaani kumsaka Diamond na popote pale atakapomnasa, atamkata na panga.
TURUDI KWA CHANZO
“Jamani si mnakumbuka juzikati mama Wema alisema atamsaka Diamond? Sasa amesikia Diamond anatangaza mitaani kwamba, hatishiki na tamko la mama mkwe wake huyo na watakapokutana watajua nani zaidi.
“Jamani si mnakumbuka juzikati mama Wema alisema atamsaka Diamond? Sasa amesikia Diamond anatangaza mitaani kwamba, hatishiki na tamko la mama mkwe wake huyo na watakapokutana watajua nani zaidi.
“Hivi ninavyosema, mama Wema ameingia mtaani kuwasaka. Lengo lake awakute wote wawili ili awaanzishie timbwili la kufa mtu.
“Tangu Ijumaa iliyopita, kila siku anatoka kwenda mitaani kuwasaka, naamini siku akiwakuta pamoja kweli itakuwa vita kubwa,” kilisema chanzo chetu.
KWA NINI ASIENDE NYUMBANI?
Chanzo kilipoulizwa kama kweli mama Wema amepania kuwanasa wawili hao, kwa nini asiwafuate nyumbani kwa binti yake, Kijitonyama, Dar ambako wanapika na kupakua, kilijibu:
Chanzo kilipoulizwa kama kweli mama Wema amepania kuwanasa wawili hao, kwa nini asiwafuate nyumbani kwa binti yake, Kijitonyama, Dar ambako wanapika na kupakua, kilijibu:
“Ameweka mtego wake pale, bahati mbaya sana Diamond naye anaishi kwa machale. Kuna siku anakwenda kulala kuna siku haendi. Huenda na yeye (Diamond) ameweka watu wake ndani kwa Wema wa kumpelelezea kama mama Wema atakwenda au ana dalili za kwenda.”
Chanzo kikaendelea: “Siku hizi Diamond anaweza kwenda kwa Wema, akaacha gari lake na kutoka na la Wema na kurudi kwake usiku sana.”
AMANI LAWASAKA WAHUSIKA
Baada ya kuzinyaka nyeti hizo, Amani liliamua kuutafuta ukweli ambapo Jumanne iliyopita lilimsaka mama Wema kwa njia ya simu lakini iliita bila kupokelewa.
Amani lilitumia simu zake mbili kumpigia mwanamke huyo.
Baada ya kuzinyaka nyeti hizo, Amani liliamua kuutafuta ukweli ambapo Jumanne iliyopita lilimsaka mama Wema kwa njia ya simu lakini iliita bila kupokelewa.
Amani lilitumia simu zake mbili kumpigia mwanamke huyo.
Baada ya dakika tano, mama huyo mwenye ‘machungu’ na mwanaume yeyote anayemchezea bintiye alituma ujumbe mfupi wa maneno (SMS) akisema: Nipo msibani tuma sms. Pia akatuma sms kwenye simu ya pili akisema: Nipo msibani, ulikuwa unasemaje?
Amani lilimtumia madai yote kuhusu yeye kuanza kuwatafuta Wema na Diamond, pia likamjulisha kwamba kama anawatafuta kweli, muda huo, wawili hao walikuwa wapo chumbani kwa Wema hawajaamka.
Hata hivyo, mama Wema hakujibu meseji yoyote kati ya hizo mbili hali iliyotafsiriwa na Amani kuwa, uchungu wa msiba ulimuondolea uwezo wa mawasiliano.
NYUMBANI KWA DIAMOND
Mapaparazi wetu walitia timu nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori na kukutana na mtu mmoja aliyedai ni mjomba wa staa huyo ambaye alidai Diamond Platnumz alitoka asubuhi na mama yake, Sanura Kassim kwenda Tegeta, Dar.
Mapaparazi wetu walitia timu nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori na kukutana na mtu mmoja aliyedai ni mjomba wa staa huyo ambaye alidai Diamond Platnumz alitoka asubuhi na mama yake, Sanura Kassim kwenda Tegeta, Dar.
NYUMBANI KWA WEMA
Baada ya kutoka nyumbani kwa Diamond huku wakiamini Mbongo Fleva huyo kaenda Tegeta kama alivyosema mjomba mtu, mapaparazi walikwenda nyumbani kwa Wema.
Baada ya kugonga geti kwa dakika moja, alitokea mlinzi na mambo yalikuwa kama ifuatavyo;
Paparazi: Mambo?
Baada ya kutoka nyumbani kwa Diamond huku wakiamini Mbongo Fleva huyo kaenda Tegeta kama alivyosema mjomba mtu, mapaparazi walikwenda nyumbani kwa Wema.
Baada ya kugonga geti kwa dakika moja, alitokea mlinzi na mambo yalikuwa kama ifuatavyo;
Paparazi: Mambo?
Mlinzi: Poa, karibu.
Paparazi: Asante, nina shida na Wema, sijui nimemkuta?
Mlinzi: Wamelala, hawawezi kuamka muda huu.
Paparazi: Wamelala? Nani na nani?
Mlinzi: Madam (Wema) na Diamond.
Paparazi: Asante, nina shida na Wema, sijui nimemkuta?
Mlinzi: Wamelala, hawawezi kuamka muda huu.
Paparazi: Wamelala? Nani na nani?
Mlinzi: Madam (Wema) na Diamond.
Paparazi: Ina maana Diamond yumo ndani?
Mlinzi: Si nimekwambia wamelala?
Paparazi wetu alifanikiwa kupenyeza macho kwenye nafasi ya uzio na kuyaona magari ya wote wawili, la Diamond aina ya Toyota Land Cruiser V8 na la Wema, Toyota Lexus Harrier.
Mlinzi: Si nimekwambia wamelala?
Paparazi wetu alifanikiwa kupenyeza macho kwenye nafasi ya uzio na kuyaona magari ya wote wawili, la Diamond aina ya Toyota Land Cruiser V8 na la Wema, Toyota Lexus Harrier.
YULE MCHUNGAJI ANYEZITOLEA MACHO MALI ZA MAREHEMU KULOLA, AKUMBANA NA JOTO YA JIWE KUTOKA KWA WATOTO WA MAREHEMU.
SHETANI ana majaribu yake! Anaendelea kuifuatilia familia ya mtumishi wa Mungu aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT), Marehemu Dkt. Moses Kulola.
Habari za karibuni, mpasuko mkubwa umeibuka baada ya kuwepo kwa sintofahamu dhidi ya mirathi ya marehemu huyo aliyefariki dunia Agosti 29, mwaka jana huku makundi mawili yakiibuka.
Awali, Mchungaji Katunzi aliibuka na kudai kuwa yeye ndiye msimamizi wa mirathi ya ambapo tamko hilo lilipingwa na baadhi ya wanafamilia.
Awali, Mchungaji Katunzi aliibuka na kudai kuwa yeye ndiye msimamizi wa mirathi ya ambapo tamko hilo lilipingwa na baadhi ya wanafamilia.
Kwa mujibu wa chanzo makini, hivi karibuni Katunzi alitimuliwa nyumbani kwa marehemu Kulola akiwa amepeleka mchele na pesa taslimu shilingi laki tatu (300,000) alizodai ni sadaka kwa mjane wa marehemu.
“Hivi karibuni Mchungaji Katunzi alikwenda kwa mjane wa marehemu akatimuliwa, walidai ni msaliti mkubwa wa familia.
“Wakati akitimuliwa nyumbani hapo maeneo ya Capripoint, Abel (mtoto wa marehemu) naye alimshambulia mchungaji huyo na kumwambia asirudi tena nyumbani kwa marehemu kwani amekiuka miiko ya uchungaji ya kiapo cha uaminifu,” kilisema chanzo chetu na kuomba hifadhi ya jina.
Pia kiliongeza: “Familia kwa sasa ina mpasuko mkubwa, kuna makundi mawili, wapo wanaomuunga mkono Mchungaji Katunzi na wasiomuunga.
“Kundi linalomuunga mkono linaongozwa na watoto wawili wa marehemu (majina tunayo).
Kundi jingine ni la mjane wa Kulola, Elizabeth Kulola linaundwa na watoto wa marehemu wakiongozwa na Abel aliyekuwa dereva wa marehemu, Mchungaji Dany, Goodluck, Mary, Anna, Janga Faith na Susan.
Kundi jingine ni la mjane wa Kulola, Elizabeth Kulola linaundwa na watoto wa marehemu wakiongozwa na Abel aliyekuwa dereva wa marehemu, Mchungaji Dany, Goodluck, Mary, Anna, Janga Faith na Susan.
Mchungaji Dany Kulola kwa sasa yuko Marekani na inasemekana kuwa amechukizwa sana na kitendo cha ndugu wanaomuunga mkono Katunzi.
Marehemu Kulola alikuwa na watoto 13, waliofariki dunia ni Flora, Benjamin na Rachel.
Wosia wa marehemu uliopatikana hivi karibuni unaonesha kuwa, mjane wa marehemu ndiye mrithi halali wa mali zote.
Wosia wa marehemu uliopatikana hivi karibuni unaonesha kuwa, mjane wa marehemu ndiye mrithi halali wa mali zote.
Habari zaidi zinasema Katunzi ameshaitwa na wachungaji wa Kanisa la EAGT ngazi za juu na kumtaka ajitoe katika sakata hilo la mirathi lakini anaendelea kufuatilia.
Habari nyingine kuhusu sakata hilo zinasema kuwa, Jumapili iliyopita akina mama 150 wa Kanisa la EAGT Jimbo la Mwanza walikwenda nyumbani kwa marehemu baada ya kusoma habari kwenye Gazeti la Risasi Jumamosi Toleo Namba 1074 la Januari 25-28, 2014 likiwa na kichwa cha habari; Mgogoro Mzito Mirathi ya Kulola.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, akina mama hao walimuombea mjane wa marehemu huku wakimshutumu vikali Katunzi kwa kufanya jaribio la kumpeleka mahakamani mama Kulola kabla ya kufanyika kwa kikao cha ukoo na kuona nani anaweza kuwa msimamizi wa mirathi hiyo.
Mjane wa marehemu alipozungumza na gazeti hili alikuwa na haya ya kusema:
“Familia yangu ina mpasuko mkubwa, watoto wangu hawaelewani na Katunzi, nimepata mfadhaiko kuhusu mambo ya familia kuanza kuhusishwa na mahakama, watoto wangu siku hiyo walipomfukuza Katunzi nyumbani niliwagombeza sana kwani halikuwa jambo la kawaida.
“Familia yangu ina mpasuko mkubwa, watoto wangu hawaelewani na Katunzi, nimepata mfadhaiko kuhusu mambo ya familia kuanza kuhusishwa na mahakama, watoto wangu siku hiyo walipomfukuza Katunzi nyumbani niliwagombeza sana kwani halikuwa jambo la kawaida.
“Kwa sasa mambo yote namwachia Mwenyezi Mungu, wote ni watoto wangu siwezi kuwabagua hata siku moja. Kinachosumbua hapa ni kila mmoja kuwa na tamaa ya mali za kidunia. Haya yote ni majaribu ya mwovu shetani.”
Jumatatu iliyopita, saa 2:56- 58 asubuhi, Mchungaji Katunzi hakupokea simu ya mwandishiili kujibu madai ya kuwa aliwahi kutimuliwa na baadhi ya watoto wa mzee Kulola kama chanzo chetu cha habari kilivyodadavua.
MCD, SAFARI YA MWISHO, NI SIMULIZI YA SIMANZI.
KIFO cha aliyekuwa mpiga ngoma (tumba) maarufu wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Soud Mohamed ‘MCD’ kimeacha simulizi inayouma, Amani linalia sanjari na ndugu.
MCD ambaye Agosti 4, 2013 alimpoteza baba yake mzazi, alifariki dunia usiku wa kuamkia Januari 28, mwaka huu katika Hospitali ya Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Simulizi inayouma ya mwanamuziki huyo ilianzia mwishoni mwa mwaka jana ambapo akiwa na bendi yake katika ziara ya kikazi mikoa ya Kanda ya Ziwa, wakati wa kurejea Dar, MCD aliuomba uongozi umruhusu aende nyumbani kwao Majengo Moshi, Kilimanjaro kupatiwa matibabu na kuwa karibu ya uangalizi wa ndugu zake.
Akizungumza na gazeti hili juzi, Meneja wa Twanga Pepeta, Hassan Rehani alisema uongozi ulimruhusu MCD kwenda kwao na kumuahidi kuwa naye karibu kwa kila hatua.
“Tulimkubalia kwenda kwao, lakini tulikuwa tukifuatilia hali yake kila siku,” alisema Rehani.
“Tulimkubalia kwenda kwao, lakini tulikuwa tukifuatilia hali yake kila siku,” alisema Rehani.
Rehani alisema: “MCD tulikuwa tukiwasiliana naye kujua hali yake, kabla ya usiku huu kupata taarifa za kifo chake watu wa hapa ofisini walizungumza naye vizuri tu mchana wake.”
Chanzo kingine kimeweka bayana simulizi hiyo inayouma kwamba, Jumatatu iliyopita, marehemu MCD alituma ujumbe kwa uongozi akisema hali yake haiendi vizuri, hivyo viongozi wake waliamua kumtumia nauli siku ya Jumatatu ili arudi kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi.
“Maskini, pesa ya nauli aliipata ili arudi Dar Jumanne (iliyopita) lakini akiwa anajipanga kusafiri hali ikazidi kuwa mbaya, akakimbizwa hospitalini ambako alifariki dunia. Kwa hiyo nauli yake ikanunulia sanda,” kimesema chanzo hicho.
Kikaendelea: “Si ajabu angewahi kusema hali yake si nzuri akatumiwa nauli mapema, akaja Dar leo hii tusingekuwa tunalia.
Juzi Jumatatu baada ya kupokea habari za kifo cha mwanamuziki huyo, baadhi ya viongozi wa Twanga waliwapigia simu wanamuziki wa bendi hiyo na kukutana kwa ajili ya kupanga taratibu za safari ya kwenda Moshi.
Aprili 27, mwaka jana, MCD aliondoka Twanga Pepeta na kwenda kujiunga na Mashujaa Music Band kabla ya kurejea tena.
Marehemu MCD amezikwa jana kwenye Makaburi ya Njoro, Moshi. Ameacha mke na watoto wawili. Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu. Amina.
Wakati huohuo, taarifa za kifo cha msanii wa Kundi la Futuhi, Omary Majuto maarufu kama Mzee Dude zimelishtua Jiji la Mwanza na kuwafanya baadhi ya watu kukaa kwa mafungu kumzungumzia marehemu.
Kifo cha Mzee Dude, kilimtikisa pia msanii maarufu nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ baada ya baadhi ya watu kudhani kwamba yeye ndiye aliyefariki dunia.
Dude alilazimika kuwapigia simu baadhi ya ndugu na marafiki na kuandika katika ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Facebook kuwafahamisha kwamba yeye ni mzima wa afya njema.
FARAJA KOTA, AFUNGUKA YA MOYONI KUHUSIANANA MUMEWE, WAZIRI NYALANDU.
MISS Tanzania 2004, Faraja Kota amefunguka kuwa kamwe hawezi kuingilia kazi za mumewe ambaye ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwani anaamini mumewe ana akili nyingi kuliko yeye.
Akizungumza na paparazi wetu, Faraja alisema siyo rahisi kuingilia kazi za mume wake zaidi ya kuzungumza naye kidogo sana kama kuna kitu amekiona anaweza kumshauri kwa sehemu fulani lakini siyo kwa kiasi kikubwa sana.
“Unajua mume wangu ana akili zaidi kuliko hata mimi, naweza kumshauri kidogo tu kama nitakiona kitu fulani na siyo vyote kwa sababu ninaporudi nyumbani anakuwa ni baba zaidi na siyo kama waziri,” alisema Faraja.
Subscribe to:
Posts (Atom)


























