Monday, December 31, 2012

Raha ya " Baikoko" Mambo ya Tanga hayoo!! Picha na Video

Pengine baadhi yetu tumewahi kuisikia au kuona mambo ya baikoko. Ni mitindo ya kunengua na kukata mauno kwa wenyenji wa Tanga wanajua zaidi. Hebu cheki mwenyewe ujionee inakuaje hiyo Baikoko!

Bonyeza hapo kuipata Video ya Baikoko :-

Kim ana mimba ya Kanye West!!!

Hatimaye Hip Hop Legendary Kanye West amempachika mimba mpenzi wake wa Muda mrefu sasa bibie Kim Kardashian. Jana Mzee mzima West ametoa taarifa hizo mbele ya umati walipohudhuria concert jana na bibie Kim.

Hapa "Tunajenga" au "Tunabomoa"?!!

Kweli wazazi wengine micharuko!! Yaani mzazi unathubutu kumwachia binti wako wa miaka 5-6 akapige picha kama hizi, halafu unategemea nini baada ya miaka 8 ijayo, si kashakuwa shangingi wa kufa mtu!. Mimi sijui maana kuna jamaa wamesema eti ndo "umodo" anaonesha kipaji mapema! wazazi tusiwe hivi!!!

Sunday, December 30, 2012

Angalia "Mashoga"

Eti kabisa wamepiga picha wenyewe wameweka pooz" Mungu atuepushie mbali watoto wetu wasiwe kama hawa!! Nadhani huyo mweusi aliyevaa kachup mnamjua!!! Eti nimesikia wana wenza wao rasmiii!! Hii si laana hii jamani?!!

Boonge la " Carnival"





Kila Mwaka totozi kama hizo hupamba mitaa ya Calabar huko Nigeria, ambapo ukubwa wa Carnival hiyo hufananishwa na canival kubwa kama za Uingereza na ile ya Rio Brazil. Picha hizo ni Carnival ya Juzi.

Saturday, December 29, 2012

Video Wasanii wakiwa katika "mahaba" mazito

Video ime leak ikimuonesha mwanadada  wa Ghana, Nikki Samonas na Njemba muigizaji wa Nigeria Jim Iyke wakiwa katika mahaba mazito!! Ingawa mwanadada huyo alikataa kuhusu uhisiano huo, lakini mambo sasa hadhani.

Video hiyo inapatikana hapa : http://www.youtube.com/watch?v=o5M10Lqf9SQ&feature=player_embedded

Jionee Mwenyewe"Balaaa"

--> Kweli Jamani hapa ndo tulipofikia, Watanzania na wanajamii wapenda mema?Kama hali ndo hii siju watoto wetu wa kesho watakuwa katika hali gani maana siku hizi kusagana na kufanya mapenzi kinyume na maumbile kumeshika chati hakuelezeki. Maskini, mabinti wazurii lakini tabia chafuuu!! Kama unavyoona!!

Friday, December 28, 2012

Angalia Jamaa amvua Nguo "Dem Wake"

Tukio la kioja cha kufunga mwaka limetokea pale "Wapenzi" walioachana walipokutana maeneo na kuanza kudaiana vyao! Jamaa alianza kwa kumkwida dem akimdai amrudishie vitu alivyompa enzi za mapenzi yao akianzia na nguo alozovaa!! --> Demu nae kwa kuonesha ujasiri ikabidi aanze kumng'an'gania chupi jamaa ili wote waende sawa!!! Hata hivyo wasamaria wema walitokea kuokoa jahazi maana watu walikuwa wakipata sinema ya bureeee!!

Angalia Hawa"Wanachezeana" Kweupeee!!

--> Hiki kioja, maana sisi tupo busy tunashangilia Mpira kumbe hawa washenzi "wanaparapatana" bila uoga au aibu! Hivi mijitu ya siku hizi ipoje!!! Hata ladha ya mpira imeshaharibika, bura turudi home, maana inapoelekea wataanza "kupiga mambo yetu" kama wale wa "Ghana"

Polisi wanapodai "Kuchezeshewa Inye"

Polisi nchini Zimbabwe imeshutumiwa kwa kitendo cha aibu kilichofanywa na baadhi ya askari wake pale walipomlazimisha mrembo mmoja nchini humo maarufu katika mitindo ya unenguaji na kucheza kihasa hasara awechezee wakati alipokamatwa na kuwekwa ndani kwa siku mbili.--> Wakati hayo yakiendelea kuna raia mmoja alikuwepo kituoni hapo na kufanikiwa kuzipiga picha hizo na kuziweka katika mtandao.

Wednesday, December 26, 2012

Njemba yababwa akimla denda "Nyumba Ndogo" Uwanjani

Njemba moja yenye familia yake ya watoto watatu imedakwa na kamera za wadaku ikeleta malavi davi kwa nyumba ndogo yake katika uwanja mmoja wa mpira huku mechi ikiendelea. --> Awali njemba hiyo ilikataa kuwa na mahusiano na mwanamke huyo lakini baada picha hii kuvuja ilibidi iombe radhi kwa mkewe na kudai kwamba hii ni mara yake ya kwanza hivyo anamuomba mkewe amsamehe na atajirekebisha!

Zaidi ya Watu 134 wafa kipindi cha Sikukuu Zimbabwe

Zaidi ya Watu 134 wamefariki katika kipindi hiki cha siku kuu na mwisho wa mwaka Nchini Zimbwabwe kutokana na ajali za barabarani. Idadi hiyo onaweza ongezeka kutokana na kuwa na majeruhi zaidi ya 700 na wengi wao wakiwa katika hali mbaya hospitalini. Ajali iliyotokea juzi juzi inahusisha gari dogo ambalo liliuwa watu sita wa familia moja papo hapo na kujeruhi wangine 22. Hata hivyo miongoni mwa majeruhi wamili walifariki walipofikishwa tu hospitali. Miongoni mwa sababu zinazopelekea ajali hizo ni mwendo kasi wa madereva na kutozingatia sheria za usalama barabarani.

Waiba Mafuta na Kuyaficha katika" Nyeti"

Tukio la aibu limewakuta wanawake wawili nchini Kenya, pale waliponaswa na camera za Supermarket moja wakiiba na kuficha Mafuta ya kupikia katika nyeti zao! Wanawake hao hawakujua kwamba kuna kamera za uangalizi ambazo huwekwa kwa tahadhari ya matukio kama hayo! Baada ya kufanya wizi huo na kujiandaa kutoka bila kulipa ndipo walipozungukwa na walinzi wa Supermarket hiyo baada ya kupata taarifa toka kwa mtu aliyekuwa katika chumba cha uangalizi kwamba wanawake hao wameiba vitu na kuvichimbia katika sehemu zao za siri! Hata sijui wangetembeaje maana ni sawa "Naniii" imeingia katika "nanii"

Chezea "Kiduku" Wewe!

Madogo kama wanavyoonekana hapo wakiwa "wanakidukua" Hwana habari, shule zimefungwa, likizo ndo kama hivyo, sijui utawaambia nini! mtoto wa kike kajipinda kushinda kaka yake! Haya bwana siku moja moja sio mbaya kula "Good Times"

Umewahi kumwona mwanamke kama huyu?

Kweli Nchini Ukraine hapaishi vioja, mwanadada mmoja amwewashangaza watazamaji wengi kwa kitendo chake cha kuweza kupiga makofi kwa kutumia "miguu". Mbali na hayo mrembo huyo ameweza kuwa akijigeuza geuza na kuweka mapozi tofauti tofuti kwa kujikunja kama hana mifupa vile!!

Duh Hiyo "Inye"

Hii imemkuta mrembo aliyekuwa aki piga show stejini huku akiwa makalio wazi, alipo teleza na kuanguka sasa, mmh picha ndo kama hivyo!!! Hatariiiiii!!!

Njemba yapiga stori ikiwa "Uch#iiii"!!

Nimesikia Pande hizo watu kutembea uchi hasa midume ni kawaida!! kama unavyojionea hapo katika picha, njemba limekaa uch#i linapiga stori na mrembo hapo!! wote makalio makubwa mpaka bhaaas!!!

Nyege za "Bi Mkubwa"

Hebu jionee mwenyewe picha ya bi mkubwa huyo, udenda unamtoka akilazimisha kutoa "nanii" ya huyo mvulana ili "ampige mambo yetu" Chezea kitu cha geji wewe! Halafu dogo nae Jogoo huyoooooo kasimama!

Tuesday, December 25, 2012

Mambo ya X-Mass

Naona Mapemaaa! Tungi lishamkolea mwanadada kama unavyomuona hapo! Huyu Design alizipania tokea jana ndo maana yamemkuta haya!!!! Sasa hapa sijui kama atasalimika na " Madunga dunga" wa Mjini maana mtoto mzuriii kama hivyo! Mapaja waziii!!! Kazi kwenu sasa!!!

Unamkumbuka Huyu?!!!

Ni Mwanadada mrembo ambaye ametokea katika shooting za video mbali mbali, video iliyomtambulisha zaidi ikiwa ni "Hidaya" ya mtu mzima Pasha!! Hata sijui kipi kilimsibu mpaka akafunguka na kuyasema hayo juu ya "mashaobaro" 

Monday, December 24, 2012

Ndo "Uzungu" Au?!!!!

Mimi naona kama ulimbukeni hivi, na hasa ukizingatia mazingira ambayo tukio husika linafanyika! Kisa na Mkasa cha Kubusina hivyo mbele za watu ndo nini.Hizi njaa za Ngono zitatupeleka Pabaya! Ona sasa Picha zenu zimezagaa katika mitandao kibao, si kujichoresha huku? mambo ya chumbani yaacheni yabaki chumbani, Pumb@#&*!

Maza "Mcharuko"

Kuwa na Maza kama huyu hasara! maana anajishebedua na kujipiga picha akiwa kavaa kichupi na kisidiria mbele ya mtoto wake wa kiume mpaka dogo anaona aibu na kuamua kujificha. Nomaaa!

Hii Tamaduni "Nooumah"




Imezoeleka zaidi nchini Ukraine ingawa maeneo machache pia ya ulaya hufanya hivi, kila siku ya pili baada ya Pasaka, vijana wengi wa kiume huzaa mtaana na madumu yao ya maji, huko wakimkuta mdada yupo wazi na nywele zake zinaonekana basi humvamia na kuanza kumwagia maji, hasa kichwani, kama wanambatiza vile.

Heee! Kumbe "Soseji"

Mara ya kwanza kuiona hiyo picha, nilishtuka, nikaanza kujiuliza, inamaana ameing'oa halafu akaipika au kaamua kuila tu nzima nzima! Alaa kumbe, ni kitu cha hot dog au sausage, mambo ya wazungu hayo!!!!!!

Wema Uch!ii!!

Sijui hata kama "Chupi" alivaa maana hiyo nguo ilivyokaa ni balaa tupu. Picha hii ya Uchokozi imepigwa na mdaku kwa makusudi ili jamii ijionee yenyewe, kweli jamani ndo tumefikia hapa! Mwanzoni nguo zilianza kwa kuwa za wazi kiasi ambacho tukawa tunaona taswira za "chupi" au rangi ya chupi zilizovaliwa, lakini siku hizi.... ndo balaa zaidi, hata chupi hazivaliwi tena.!!!

Shule ya "Makahaba" yashinda Kesi

 Ile Shule ya Makahaba iliyofunguliwa nchini Hispania, imeshinda kesi iliyokuwa ikiikabili ambayo ilifunguliwa na wanaharakati mbali mbali wa maadili nchini humo. Katika utetezi wake imesema hata ukiangalia matangazo yake hayajawagusa watoto bali ni watu wazima, hayahamasishi ukahaba bali ujuzi wa mapenzi na pia kutatoka waalimu ambao wataweza hata kutumiwa na shule za kawaida katika kutoa elimu ya mahusiano na mapenzi.
 Pia wamesema imefika hatua Ukahaba ukatambulika kama ajira rasmi kwani unaajiri watu wengi kuanzi umri wa miaka 19 hadi 45. Mbali na hivyo waliowahi kuanza kozi ya DIPLOMA wamehakikishiwa nafasi nzuri zaid za ualimu pale watakapohitimu na kufaulu vizuri.  Upande ulioshindwa kesi unajipanga kukata rufaa.

"Wasambuaji" Mnaboa!


Siku za hivi karibuni yameibuka makundi tofauti tofauti ya wakina dada hasa hapa jijini Dar, ambao wao kazi yao ni kuja kunengua na kukata mauno katika sherehe mbali mbali mathali Kitchen Party. Kutokana na ushindani na mazingira ya kazi zao siku hizi hata katika Birthday Party utawaona, na pia watataka kufanya manjonjo yao japo kidogo ili mjue wapo. Tatizo linalowaboa watu wengi ni pale kunengua huko kunapo pitiliza kufikia hatua ya kukaa uchi na mbaya zaidi mbele ya watoto! huku ni kujidhalilisha na kuwadhalilisha wanawake na mama zetu waliokuwepo eneo la tukio!

Thursday, December 20, 2012

Hawa Vipi?

--> Bora Usiku Usiingie! Maana kila balaa wabongo hulivutia subira ifike usiku ndo wafanye tukio lao! Majambazi, wezi, wachawi, wapenda ngono na kila lenye asili ya Upuuzi! Angalia hao njemba sijui walitongozana wakaelewana au mzuka tu umewapanda wakaamua kutengeneza mazingira ya kufanya yao?

60% ya Makahaba Nchini Italia na Ubeligiji ni Wanaigeria!

Utafiti umeonesha kuwa 60% ya makahaba wanaopatikana katika nchi za Ubeligiji na Italilia ni Raia kutoka nchini Nigeria. Utafiti huo umekuja kutokana na kuongeza kwa matukio ya mauaji yanayowakumba makahaba hao ambapo wiki iliyopita tu nchini Italia Kahaba kutoka Nigeia bi Franca Abumeni Aliuwa katika misutu iliyopo jijini Rome. Aidha ripoti hiyo imeonesha ongezeko kubwa la wahamiaji wanawake toka katika nchi hiyo ukilinganishwa na miaka ya mwanzoni!

Mmhh Mauno ya Shilole!

Hizo ndo kauli za mashuhuda wa burudani ya mauno inayotolewa na msanii wa bongo fleva na muigazi Zainab Mohamed, Maarufu kama Shilole anapofanya mambo yake stejini! kila mtu husema lake!  Uhondo wa ngoma uingie ucheze, na hasa ngoma yenyewe ukicheza na shilole!

Ufuska wa "Wanavyuo"!

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vitendo vya ukahaba hapa nchini kwetu, katika kumbi za starehe na maeneo mbali mbali nyakati za usiku. Chakusikitisha ni kwamba wengi wa wanaohusika na watendo hayo ni wanfunzi katika vyo mbali mbali, wengi wao ukiwauliza watakwambia eti maisha ya chuo ni magumu na ndio maana wanaamua kujiingiza katika vitendo hivyo, na wachache hufuata mkumbo wa marafiki za kwani huwa wanatokea katika familia zinazojiweza tu kifedha na wanaouwezo wa kumkidhia mahitaji yake yote, Tamaa tu ndo tatizo maana wanachuo wengi wao hupenda kuishi maisha ya juu kupita uwezo wao!

Shule ya "Ukahaba" yafunguliwa Uhispania

Huko nchini Hispania imefunguliwa shule ya kutoa taaluma ya ukahaba ambapo mwanafunzi atatakiwa atoe Kiasi Cha Euro 100 tu kuanza mafunzo ambapo wamehakikishiwa upatikanaji wa kazi mara tu watakapohitimu mafunzo yao! Miongoni mwa mambo watayokuwa wanafundishwa ni historia ya mapenzi kupititia Mikao na Staili tofauti tofauti za KAMASUTRA na Midoli maalumu ya majaribio. 
 Matangazo ya shule hiyo yalianza kuonekana mwezi Mei mwaka huu na tayari imeshaanza uandikishaji na kupokea wanafunzi!

Mastaa wazidi Kusahau kuvaa Chupi!


Hapa tunaona picha ya muigizaji Anne Hathaway, naye akiwa anshuka katika gari kama kawa chupi kasahau kuvaa! Sijui wanafanya maksudi auu wanakitu wamekusudia, au zinawechelesha kupiga mambo yetu yaleee!

James Alivyooa "Shoga'!

   Kisa kinamuhusu kijana James ambaye amebarikiwa hela na utajiri wa kiasi chake aliopewa na wazazi wake. Kijana huyu alikuwa na maisha ya kawaida ya ndoa na Mkewe kabla ya Mungu kuchukua mkewe na wakafanya maziko kijijini kwao. Alipokuwa msibani wanandugu pamoja na wazee walimuuliza kuhusu uamuzi wa kuoa tena na kwamba angefanya jambo la busara iwapo angeoa msichana kutoka kijijini hapo, lakini alikataa na kusema anahitaji muda wa kutulia kidogo.
     Aliporudi mjini alikutana na rafiki yake mmoja ambaye mbali na mengi waliyoongea alimshauri usiku mmoja waende katika Club Moja Kwani kuna Party ya "Mashoga" jamaa akakubali na kwenda nae.Hapo ndipo maisha ya kijana James yalipobadilika kiasi cha kufikia kujitangaza yeye na mpenzi wake huyo mpya(shoga) aliyempata katika club hiyo ya usiku! Kitendo ambacho kilisababisha mtafaruku na ugomvi na familia yake lakini jamaa kabakia na msimamo wake.

Kahaba wa Kinageria auawa Italia

Aliyekuwa Kahaba wa Kinigeria Franca Abume, 27 ameuwa kikatili mjini Rome Italia katika msitu mmoja unapakana na maji ya Narni ambapo mwili wake ulikuja kuenekana saa 24 baadae! Kamanda wa polisi wa eneo hilo na eneo ambalo alionekana mara ya mwisho wameanza upelelezi kuhusiana na tukio hilo.Taarifa za kutotea kwake zilitolewa na wafanyakazi wenzie (makahaba) baada ya kutorudi nyumba siku iliyofata akitokea kazini!

"Ntayaanika aliyonifanyia kitandani" Kay Figo

Msanii Kyaula Kafula wa nchini Zambia almaarufu kama Kay Figo ametishia kuyaweka hadharani aliyokuwa akifanyiwa na Sugar Dady wake kutokana na wawili hao kutengana ghafla na njemba hiyo kushinda kesi ya madai iliyofunguliwa na mwanadada huyo! Watu wamekuwa wakisubiria kwa hamu kuyajua madudu ya njemba hiyo endapo atakomaa na kutomlipa Kay fedha anazohitaji hata kimya kimya!

Wednesday, December 19, 2012

Rekodi za Maajabu!

Angalia Picha zifuatazo zikikonesha washindi wa mashindano na wavumbuzi mbali mbali wa maajabu duniani wakipata jaza zao baada ya kutunukiwa na Guinness.

The Discovery Science Center in Santa Ana, California Kiliadhimisha kumbumbuku ya miaka 15 tangu kuundwa kwake kwa kutengeneza PUTO la ajabu ambalo ndani yake waliweza kuingia watu 118 ndani yake kwa ushirikiano kutoka kwa Fan Yang na Deni Yang wanafamilia ambao kwa miaka 27 wanajishughulisha na masula ya maputo na sabuni ambaopo watu hao 118waliingia na kutengeneza rekodi hiyo tare4, mwezi wa 4, 2011.



Mmarekani Ashrita Furman, a.k.a  Mr. Versatility, ana zaidi ya rekodi 340 katika Guiness tangu mwaka 1979, kwa sasa anashikilia rekodi ya kukimbia kwa kasi zaidi kwa umbali wa maili moja ndani ya dakika 7 na sekunde 56 huku akiwa kavaa mavazi ya kuogelea na viatu vya kuogelea. Aliweka rekodi hiyo mwaka 2010 katika  Marswiese Sportzentrum hukoVienna, Austria.
Ashrita Furman amewahi kuchukua rekodi katika nchi zaidi ya 35 katika mabara yote saba.

Mnamo mwaka 2008 Rekodi ya maajabu ya Guinness ilivunjwa tena ambapo zaidi ya watu 290000 katika nchi 15 tofauti walifanya mashibdano ya kukimbia kwa miguu na mikono yaani kama chura vile na. Kenichi Ito wa Japan aliwafunika wote, kwani aliweza kukimbia umbali wa Mita 100 akiwa kama chura kwa kutumia sekunde 18.58 tu.
Amini Usiamini! Jama meweza kuwavuta watu wenye jumla ya uzito wa kilo 411.65 kwa kutumia kope za macho ambazo zilifungwa katika kamba na kufungwa kwenye ka baiskeli!
Rekodi hii ya aina yake iliandikwa na  Chayne Hultgren, a.k.a "The Space Cowboy". Raia kutoka Australia aliandika rikodi hiyo huko Milano  katika “Lo Show Dei Record” mnamo mwaka 2009. Mbali na hiyo, ameshawahi kushinda mashindano ya mtaani mara mbili mfululizo mnamo mwaka 2006 na 2007.


Mwezi Mei 2010, Chris Elliot na Tyson Turk (USA) waliweka rekodi ya watu waliojitoboa na kujivisha pete katika mwili wao kwa kuwa na pete 3100 ndani ya masaa 6 na dakika 15.Waliivunja rekodi iliyowekwa na muingereza Kam Ma na Charlie ya pete  1015 ndani ya saa 7 hours na dakika 55.
Blogger Widgets