Tuesday, December 31, 2013

Goldie - Mshiriki wa Shindano la Big Brother na Nyota wa Muziki Toka Nigeria Ambaye Kifo Chake Kilishtua Wengi 2013


Moja kati ya kifo kilichotingisha bara la Africa ni cha mwanamuziki nyota toka nchini Nigeria  aitwaye Goldie, kifo chake kilitokea mnamo February 14, nchini Nigeria kimeelezwa kuwa ndiyo kifo kilichoshtua watu wengi sana kwa mwaka 2013.

Hakika haikuwa Nigeria peke yake hata na kwa baadhi ya nchi za Afrika Tanzania ikiwa ni mojawapo, Goldie aliwahi kushirikiana na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Ambwene Yesaya maarufu kama AY kwenye wimbo wake uitwao Skibobo.

Pia alikuwa ni mmoja kati ya washiriki wa shindano maarufu la The Big Brother Africa, ambalo lililomfanya afahamike na jamii kubwa ya watu wa Bara la Afrika na Duniani kwa ujumla.

Alifariki kwenye Hospitali ya Reddington iliyopo Kisiwa cha Victoria, Lagos. Kifo kilimkuta katika kipindi alichokuwa amerudi Nigeria toka California, ambapo alikwenda kushuhudia Tuzo za Grammy akiwa na Kenny Ogungbe, ambaye alikuwa ni bosi wa lebo yake iitwayo Kennis Music.

Ilitaarifiwa kwamba msichana huyo alikuwa anajisikia maumivu makali ya kichwa kabla ya kukimbizwa hospitali, na alifariki mara tu baada ya kufika hospitali.

DC Blog

Monday, December 30, 2013

Ajiachia Mtupu Mtandaoni ili akamate Mabwana



Kila kukicha mambo yanazidi kwenda vibaya, bila kujali maadili yetu na jamii inayotuzunguka, baya zaidi ni kwamba baadhi yetu tumekuwa tukiangalia na kufurahia matendo haya.

Msichana huyu ni wa kutoka Bayelsa ambaye inasemekea kuwa ni fundi sana wa mitindo huru, kwa sasa wateja wake wameenza kupungua hivyo akaona njia bora ni kuutangaza mwili wake kupitia kwenye mitandao.

Angalia picha yake chini...

Add caption

ZAHA AKANUSHA KUWA NA MAHUSIANO NA MTOTO WA KOCHA WAKE, ASISITIZA HIYO SI SABABU YA KUKOSA NAMBA MAN U.




Wilfried Zaha amechukua hatua ya aina yake kukanusha taarifa zilizozagaa kwamba ana uhusiano wa kmap3nzi na mtoto wa kike wa kocha mkuu wa Manchester United David Moyes.
Winga huyo mwenye miaka 21 alinunuliwa na Sir Alex Ferguson kwa £15milllion lakini ameshindwa kupata nafasi ya kucheza ndani ya kikosi cha kwanza chini ya David Moyes.
Kumekuwepo na taarifa kwamba amekuwa hapewi nafasi ya kucheza na Moyes kwasababu ya mahusiano yake na binti wa kocha huyo aitwaye Lauren.
Lakini Zaha - ameonekana kukerwa sana na tetesi hizo - ametumia ukurasa wake wa Twittet kuwaambia mashabiki 490,000 kwamba taarifa hizo sio za kweli.
Zaha: The 21-year-old has found himself playing for the Under 21s this year instead of with the first team
'Sijawahi kuwa na mahusiano ya kmap3nzi wala kukutana na binti wa David Moyes, hivyo jambo hilo haliwezi kuwa sababu ya kukosa kwangu nafasi katika kikosi cha kwanza ...,' aliandika Zaha.
'Ningependa hizi taarifa za uongo ziachwe kusambazwa….Nitaichezea Manchester United pindi kocha atakapoana nipo tayari kufanya hivyo...'

Zaha aliichezea United katika mchezo wa kombe la hisani lakini tangu wakati huo ameichezea mechi moja tu ya mashindano dhidi ya Norwich City katika League Cup.

AGNES KUONEKANA KWA MARA YA KWANZA KATIKA VIDEO YA TUNDAMANI


Video queen, Agnes Gerad'Masogange'.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Khalid Ramadhani Tundamani anatarajia kumwonyesha kwa mara ya kwanza 'Video queen' Agnes Gerad maarufu Masogange katika video ya wimbo wake wa Msambinungwa.
Akiongea Tundaman alisema ataondoka nchini Januari 5, 2014 kwenda Nairobi kwa ajili ya utengenezaji wa Video hiyo na kwamba ameamua kufanya video hiyo akiwa na Masogange kwani ni msichana anayefanya vizuri katika video nyingi za wasanii pia ana kipaji cha kazi hiyo. 

WANAFUNZI WA UDAKTARI MUHIMBILI HATARINI KUPATA MAGONJWA YA MLIPUKO


-AMA KWELI MGANGA HAJIGANGI
WANAFUNZI wanaosomea udaktari katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) wanaishi katika mazingira hatarishi kwani wanaweza kupata magonjwa ya mlipuko na yale ya kuambukizwa wakati wowote.

Uchunguzi uliofanywa na Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ndani ya majengo ya chuo hicho yaliyo karibu na taasisi ya mifupa (MOI), umegundua kwamba kwa miezi mingi, vyoo vinavyotumiwa na wanafunzi hao vimejaa na kuziba kabisa, hali inayowafanya vijana hao, licha ya kushindwa kupata huduma hiyo muhimu ya kibinadamu, pia kuwa katika hatari ya kupatwa na magonjwa ya mlipuko.

“Hali ni mbaya sana hapa kwa kweli. Hatuna huduma ya choo kwa miezi miwili hadi mitatu sasa, tunapobanwa na haja, hasa kubwa, hulazimika kukimbilia Kariakoo kwenye vyoo vya kulipia, hapa hapafai,” mmoja wa wanachuo hao aliiambia OFM na kuomba hifadhi ya jina lake.
Wanafunzi hao ambao walitoa ushirikiano wa kutosha kwa makachero wetu, pia walisema majengo mengi yanayotumiwa kama mabweni yao ya kulala, yamechakaa na hivyo kuwafanya wawe na hofu kubwa, kwani yanaweza kuanguka wakati wowote.

OFM ilishuhudia ngazi za kushuka na kupanda, zinazozunguka nje ya majengo hayo zikiwa zimechakaa vibaya huku vyuma vilivyowekwa pembeni kwa ajili ya kujishikilia vikiwa vimemongonyoka. Ni hatari kama likitokea tukio la ghafla, mfano wa moto, litakuwa ni jambo gumu kwao kuweza kujiokoa kupitia ngazi za nje. Hata baadhi ya milango inayotokeza nje ya ngazi hizo katika maghorofa hayo, imefungwa kutokana na ubovu.

Licha ya kero hizo, pia wanafunzi hao walilalamikia kitendo cha kujazana kupita kiasi katika vyumba vyao vya kulala, kwani wamepangwa hadi wanane katika chumba kimoja.
Baada ya kutoka kwenye chumba cha madenti hao (majina tunayo) OFM ilitua kwenye jengo moja ambalo liliwahi kulipuka kwa moto lakini bado limechakaa kutokana na kutofanyiwa ukarabati.

MSEMAJI WA MUHIMBILI ABANWA, AKISALITI CHUO
Baada ya OFM kunasa uozo huo ndipo ilipoamua kuwasiliana na msemaji wa Muhimbili, Amiela Angelekera.
OFM: Habari za leo kiongozi?
AMINIELA: Salama tuu, za kwako? Samahani naongea na nani?
OFM: Unaongea na Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers.
AMINIELA: Ok, nikusaidie nini?
OFM: Unafahamu kama vyoo vya hosteli ya wanafunzi vyote vimejaa? Je, kuna mkakati wowote wa kurekebisha maana ni miezi mingi imepita.
AMINIELA: Mmmh..(anaguna kidogo) sijajua ni vyoo vipi, unatakiwa uwe mwandishi mzuri wa taaluma yako unapozungumzia chuo, njoo twende wote tukaone hivyo vyoo.
OFM: Taaluma ipi ambayo unadhani hawana OFM? Tayari tumefika hapo na kujionea ubovu wa miundombinu ambayo inahatarisha maisha ya wanafunzi na chuo kwa ujumla.
AMINIELA: Nimesema njoo ofisini kwangu, maana sipendi kuzungumza kwenye simu ishu kama hizi, kwanza mimi sihusiki na chuo maana ni taasisi nyingine.
OFM: Ok, kwa nini umelizungumzia suala hilo.
AMINIELA: Sihusiki na chuo, hiyo ni taasisi nyingine.
OFM: Ok, sawa kazi njema.

GPL.

RAIS KIKWETE AMTEUA ERNEST MANGU KUWA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Desemba 30, 2013, amemteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
Taarifa iliyotolewa usiku wa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa Kamishna Mangu anachukua nafasi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini anayestaafu, Saidi Mwema.

Kabla ya uteuzi wake unaoanza keshokutwa, Januari Mosi, 2014, Kamishna Mangu alikuwa Mkurugenzi wa Inteligensia ya Jinai (Director of Criminal Intelligence)katika Jeshi hilo la Polisi.
Aidha, taarifa hiyo inasema kuwa Rais Kikwete amemteua Kamishna Abdulrahman Kaniki kuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi, ambayo ni nafasi mpya katika muundo wa sasa wa Jeshi la Polisi.

Kabla ya uteuzi wake, Kamishna Kaniki alikuwa Kamishna wa Uchunguzi wa Kijinai (Commissioner for Forensic Investigations).
Mkuu wa Jeshi la Polisi mpya ataapishwa kesho, Jumanne,  Desemba 31, 2013 katika Viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam. 

VAZI LA AIBU KATIKA MTOKO WA FUNGA MWAKA


Utajiskiaje huyu akiwa ni mtu wako wa karibu, mathalani mwanao au dada yako na ndo tayari mpo wote viwanja vya kula raha na hali ndio kama hivi?!!
Huu ni zaidi ya ukichaa wa Fashion.

MAAJABU: Kutana na Msichana Atokaye Machozi na Jasho la Damu



Miaka minne iliyopita msichana huyu mwenye umri wa miaka 19, Delfina Cedeno, alianza kupata tatizo hili la ajabu, lililokuwa likimfanya alie na kutoka jasho la damu. Kwa kuongeza zaidi, wakati mwengine damu zimekuwa zikitoka hata kwenye kucha na kitovu.




Hali hii ilipomuanza, alianza kwa kulia machozi mekundu, kutokwa na damu puani na kunyunyukwa nywele kichwani.

Hali ilipokuwa mbaya, alikuwa akienda hedhi kwa siku 15 mpaka ikafika kipindi alihitaji kuongezwa damu kutokana na hali hiyo iliyokuwa ngumu. Licha ya vipmo vingi alivyofanya, madaktari wa mji wake wa Veron, kwenye Jamhuri ya Dominica, walishindwa  kumsaidia.

Cedeno alisema: 'Hali hii ilipoanza kwangu sikuwa najua nini cha kufikiri - nilishtushwa na kuogopa.

Anasema alijisikia vibaya kutokana na hali aliyokuwa nayo mpaka ikambidi aondoke nyumbani kwao alipokuwa akiishi na mama yake aitwaye Mariana, 36.

Aliacha shule huku marafiki zake wengi wakimtenga kutokana na hali hiyo wakihofu kupata maambukizo au usumbufu kutokana na hali yake.

'Nilitengwa, ila Mungu mkubwa. Kwa sasa najisikia poa maana baada ya muda mrefu nimeanza kujisikia vizuri.'

Miezi michache baadae alifanikiwa kupata boyfriend, Recaris Avila, ambaye alimtembelea hospitali mara baada ya kusikia stori yake.



Sasa, miaka minne baada yote kuanza, madaktari wa wamefanikiwa kutatua tatizo lake.


Sunday, December 29, 2013

MANESI WAMSABABISHIA MJAMZITO KUJIFUNGUA NJE KWENYE MVUA NA KOKOTO


MASIKINI! Mama mjamzito aliyetambulika kwa jina la Sabina Mwakyusa (28), mkazi wa Kijiji cha Iwala, Kata ya Utengule Usongwe wilayani Mbalizi mkoani hapa anadaiwa kujifungulia nje kwenye kokoto.

INASIKITISHA
Tukio hilo la kufungia mwaka lilijiri nje ya Hospitali Teule ya Ifisi-Mbalizi hivi karibuni na kusababisha masikitiko makubwa kwa mashuhuda waliodai kuwa ishu hiyo ni kali ya kufungia mwaka 2013.
Akizungumzia tukio hilo muda mfupi baada ya kujifungua, Sabina alisema alifika hospitalini hapo Desemba 18, mwaka huu na alipimwa na manesi ambapo walimwambia kuwa hawamuoni mtoto tumboni mwake.

“Baadaye alikuja daktari na kunipima, akaniambia mtoto anaonekana vizuri na ningejifungua mtoto wa kike ndipo nikaendelea kusubiri uchungu zaidi,’’ alisema kwa masikitiko.

UCHUNGU
Alisema ulipofika usiku wa Desemba 19, mwaka huu, alianza kujisikia uchungu, ndipo manesi waliompima mwanzo wakamwambia anatakiwa apimwe tena, jambo ambalo alikataa kwa madai kuwa alikuwa akiumia.
Alidai alipokataa kupimwa ndipo wakamwambia aondoke hospitalini hapo kwa sababu ana kiburi.

KUMBUKUMBU MBAYA
Mama mzazi wa mwanamke huyo, Roda Mwakyusa (50), alisema anaumia akikumbuka yaliyomkuta mwanaye ikiwa ni uzao wake wa kwanza.
Alidai walipotoka wodini huku mwanaye uchungu ukimzidi, walifika getini akazidiwa na kuanza kujifungua ndipo walinzi wa kampuni ya Mult-Lion, wakamsaidia kumpeleka katika upenu wa duka la hospitali hiyo ili kukwepa kokoto zilizopo na mvua iliyokuwa ikinyesha.

Mkurugenzi wa kampuni hiyo ya ulinzi, Kinanda Sanga, alipoulizwa kuhusu tukio hilo, alikiri kwamba lilitokea na wao wakatoa msaada.
Naye wifi wa Sabina, Prisca Nafred, alisema alimpeleka mtoto aliyezaliwa katika hospitali hiyo saa 7:00 mchana wa Desemba 20, kwa ajili ya chanjo, lakini hakupata chanjo kwa madai kuwa alikuwa amechelewa kufika.

Desemba 21, familia hiyo ilimpigia simu mwandishi wetu na kumueleza kuhusu maendeleo mabaya ya mtoto ambapo mwanahabari wetu alitoa taarifa kwa Mratibu wa Afya ya Mama na Mtoto, Mkoa wa Mbeya, Prisca Butuyuyu ambapo makubaliano yalifikiwa kuwa mtoto apelekwe Hospitali ya Rufaa, Kitengo cha Wazazi Meta.

MTOTO ANAENDELEAJE?
Mtoto huyo alipokelewa Meta na kuingizwa kwenye chumba cha joto kisha kuanza kupatiwa matibabu kwa kuwekewa dripu za maji hadi Desemba 23, mwaka huu hali yake ilipotengemaa na sasa anaendelea vizuri.
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Louis Chomboko, alipopata taarifa, alichukua hatua ya kwenda kumuona mtoto huyo Meta na kuahidi kulifuatilia suala hilo.

KIKAO
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ifisi Mbalizi, Msafiri Kimaro, Desemba 23, mwaka huu, alipopata taarifa hizo, aliitisha kikao cha wauguzi wanne waliokuwepo siku ya tukio, muuguzi mkuu, muuguzi kitengo cha chanjo.
Alisema wanawake zaidi ya 300 wanajifungulia hapo lakini tukio kama hilo hakumbuki kuwahi kutokea.

Saturday, December 28, 2013

ANGALIA BAADHI YA PICHA CHAFU KATIKA FILAMU YA NG0N0 INAYOTARAJIWA KUTOKA HIVI KARIBUNI



Hakika tasnia ya filamu kwa hapa bongo na hata baadhi ya nchi za Afrika zimekuwa zikipotosha na kuharibu jamii zetu hasa vijana.
Kwenye moja kati ya filamu ambazo inategeme kutoka hivi karibuni hizi ni baadhi ya shots zilizochukuliwa. 

Cheki hii kwa mfano....








Je hii ni sahihi kwa maadili ya Kiafrika...?

Dc Blog.

DUUH!! TAYARI MTOTO WA PETER WA P SQUARE ANA GIRLFRIEND, MCHEKI HAPA WAKIWA KATIKA MAPOZ


Mtoto handsome wa Peter Okoye na Lola Omotayo, aitwaye Cameron hakika yupo njiani kuwa mtu wa watoto. Mama wa mtoto huyo aitwaye Lola alishea picha hizi za Cameron akiwa na Girlfriend wake. 

Angalia hapa....


DC Blog.

"SIAMINI KUHUSU MUNGU" KATY PERRY


Nyota wa muziki wa Pop mwenye umri wa miaka 29 ambaye alizaliwa na kukulia katika mazingira ya Kikristo Katty Perry, alipokuwa akifanyiwa mahojiano na jarida la U.S la Marie Claire alisema kwa sasa haamini tena juu ya imani yoyote ya Kidini.

Katy Said: “Siamini cha Mbinguni wala Motoni, au kwa Mzee aliyeketi kwenye kiti cha ufalme. Naamini kwenye nguvu kubwa na za juu zaidi yangu sababu hiyo inanifanya nitambulike,” alilieleza jarida hilo.

“Uwajibikaji ni ngumu kuupata, hasa kwa watu kama mimi, sababu hakuna atakayetaka kuniambia kitu ambacho sitaki kukisikia.”  Perry akaongeza: “Mimi sio Mbuddhist, sio Mhindu, sio Mkristo, ila bado naamini kwamba nna muungano wa karibu na Mungu.

Nasali na kuomba kila wakati kwa ajili yangu kwa utu. Kuna ukweli ndani yake japo kwa kusema 'asante' wakati mwengine ni vizuri kuliko kuomba vitu.”

WABUNGE NA VIGOGO WA MADAWA YA KULEVYA WAJISALIMISHA


Baada ya tishio la kupelekwa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, watu watano wakiwemo wabunge watatu wa  CCM wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya wamejisalimisha kwenye kamati ya kidini inayojihusisha na maadili nje na ndani ya makanisa.
Katika mahojiano maalum na NIPASHE Mwenyekiti wa Kamati ya maadili na haki za binadamu  kwa jamii nje na ndani ya madhehebu ya dini, Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste, William Mwamalanga, alitoa taarifa hizo.

Alieleza kuwa wabunge hao (majina yanahifadhiwa) ni wa viti maalum kutoka mikoa ya Mbeya, Dar es Salaam na Mara.

Alisema mbali ya wabunge wamo viongozi wa dini na mfanyabiashara maarufu ambaye alikuwa akisafirisha mihadarati mkoani Mbeya.

Mchungaji huyo alisema kujisalimisha huko kunatokana na kamati hiyo mwezi Oktoba mwaka huu kuwataka vinara 61 wakiwemo wabunge hao kujisalimisha kwa ridhaa zao kwa  Rais Jakaya Kikwete kama njia ya kutubu makosa yao.

Kinyume na hapo kamati hiyo iliweka wazi uamuzi uliofikiwa kuwa ni kuwapeleka watu hao katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iliyoko jijini Hague nchini Uholanzi ili sheria kuchukua mkondo wake.

Mchungaji Mwamalanga alisema kamati ilitoa muda wa miezi miwili ambayo inaisha mwezi huu.

Alisema kutokana na ukaidi huo majina ya watu 56 ya wale ambao hawajajisalimisha ifikapo Januari 15 mwakani  yatakabidhiwa rasmi kwenye taasisi za kupambana na dawa za kulevya Umoja wa Mataifa ili wafikishwe ICC.

“Novemba 15, mwaka huu tuliyaingiza majina 61 kwenye mtandao wa taasisi hizo, baada ya hawa watano kuja kwetu, tulipeleka mrejesho kwa taasisi hizi kuwa tumewatoa ingawa nao hawakuenda kwa Rais,” alisema na kuongeza:

“Baada ya kuyaingiza majina haya kwenye taasisi hizi, uchunguzi wa taasisi hizi ulibaini watu hawa ni kweli wanajihusisha na biashara hii, sasa tunachofanya hivi sasa ni kuyakabidhi majina ya wale waliokaidi ili hatua zaidi ziweze kuchuliwa,” alisema.

Alisema kwa sasa kamati ipo katika hatua ya mwisho ya kufanya kazi ya kukusanya majina ya watu waliofariki kwa dawa za kulevya nchini kama ushahidi kwenye kesi hiyo.

Alisema majina hayo wanayakusanya kupitia kwenye hospitali na kwa ndugu wa marehemu waliofariki kutokana na dawa ya kulevya.

Alitaja baadhi ya takwimu walizokusanya za vifo vya baadhi ya watu waliofariki na dawa hizo kwenye mikoa na wilaya kuwa ni Mbeya 38, Kinondoni 67, Dodoma 19, Tanga 41, Lindi saba.

Mchungaji Mwamalanga alisema baadhi ya takwimu hizo ni za mwaka mmoja na nyingine miaka mitatu iliyopita.

Aliongeza kuwa wanaendelea na zoezi la kukusanya takwimu hizo kwenye maeneo mengine.

Kuhusu wale waliojisalimisha kwao ambao gazeti hili inayo majina yao, Mchungaji huyo alisema kamati imewawekea ulinzi wa siri wa kuifuatilia mienendo yao ili kubaini kama wameacha au la kama walivyokiri kwao.

Mchungaji  Mwamalanga, alisema moja ya masharti waliyotoa kwa watu hao watano ni kutoa ushirikiano utakaowezesha kukamatwa wale wanaoendelea na kuingiza au kusafirisha nje ya nchi dawa hizo.

Alisema tayari watu hao wameshatoa ushirikiano na kuwezesha kukamatwa watu kadhaa waliokuwa wakisafirisha dawa hizo kwenda nchi nyingine duniani.

Alisema watu hao waliwatajia mbinu ambazo hutumika kusafirisha dawa hizo kuwa ni baadhi wamekuwa wakizihifadhi kwenye ‘uume bandia’ na kwenye midoli.

“ Walitueleza kuwa  baadhi ya nchi za Afrika Mashariki na zile za Maziwa Makuu, wafanyabiashara wamebadilisha mbinu za usambazaji wa dawa hizi ambapo njia hizo ndizo hutumika, ukimuona mwanamke kabeba mdoli wengine huwa wamebeba dawa hizi,” alisema.

Pia alisema watu hao waliwaeleza mbinu nyingine ni dawa kusafirishwa kupitia kwa baadhi ya wafadhili wanaoshughulika na mambo ya afya.

Mchungaji Mwamalanga amewaasa vinara hao kuzitumia sikukuu za mwisho wa mwaka huu kujisalimisha wenyewe ili ifikapo mwakani taifa liache kuzungumzia suala hilo.

“Tunawaomba wajisalimishe wenyewe, wanadhani sisi tunafanya mzaa lakini tunawaambia kuwa, watekeleze yale tuliyowataka,” alisema.

Mkutano ambao uliibuka na maamuzi ya kuwafikisha vinara hao ICC ulifanyika siku mbili kuanzia 21 Oktoba mwaka huu na kuhudhuriwa na  viongozi wa dini wa madhehebu ya Kiislam na Kikristo 134 kutoka  Bara na Visiwani.

 Nipashe

Ronaldo Asema Atampa Messi Tuzo ya Ballon d’Or


Nguli wa mpira wa miguu toka Brazil, Ronaldo De Lima, amesema kwake yeye tuzo ya FIFA Ballon d’Or angempa Messi mbele ya Cristiano Ronaldo, gazeti la Evening Standard limetaarifu.

Akionyesha kutokuwa na upendeleo kwa mtu anayeshea naye jina, Ronaldo mwenye umri wa miaka 37 sasa, ambaye aliwahi kutwaa taji la Kombe la Dunia mara mbili yaani 1997 na 2003 alisema,  “Nitamchagua Messi kwa kuzingatia sababu za kiufundi..... Nitajaribu kuangalia mambo ya kuzingatia kuweza kuchagua nani mshindi atakuwa, ila mmi nadhani huu umekuwa ni mwaka mzuri kwake.”

DC Blog.

Mmh, Angalia 10 Hot Photos za Super Model Mika Shay



Msichana huyo ambaye ni Model ana Mvuto wa Ndani na nje, ni Mwanamke ambaye binafsi naimani kila mwanaume ana wish awe mke au awe mtu wake angalia hizo Photos halafu uniambie unaonaje. 
Mika Shay eewMika Shay treMika Shay 54Mika Shay r4Mika Shay tttMika Shay 55Mika Shay 5Mika ShayMika Shay
PHOTOSHOW- Model Mika Shay
Model Mika Shay

ANGALIA MWANADADA IRINE ESPERIOUS AKIJIACHIA KIUTUPU HAPA



Picha ya mwanzo akiwa kavaa vazi la heshima lakin huko chini ni balaa tupu.

 

Irene Esperius hapa akiwa katika Vazi la heshima. Alianza hivi kama masiara.. Picha ya kwanza   Hatua iliyofuatia ni hii kwa picha ya pili.



KILA kukicha tunalaumiwa sisi Bloggers eti tunawadhalilisha akinadada hoo angekuwa dadaako ungepost?.. Yani maswali kibao wakati hawa wadada wenyewe ndio wanapost sisi tunaziweka kama kukemea jamani wasomaji wetu wa ukweli msitulaumu sisi hatuna makosa. Kwa mfano kama dada huyu kazipost picha hizi za utupu mwenyewe kwenye Profile yake ya Facebook na akawatag watu kibao.

PICHA hii ya ya tatu ni funga kazi imebidi tuifiche...!


 Onyo! Ni marufuku kwa mtu yeyote mwenye umri wa chini ya miaka (18+) kutazama.

 <<<BOFYA HAPA KUANGALIA PICHA YA UTUPU ALIYOTUMA FB>>> 

ANGALIA PICHA 8 ZA MWANAMITINDO WA CHINA AKIANIKA "NYETI" ZAKE ILI KUVUTIA MANUNUZI YA MAGARI



Ye Zixue ni mwanamitindo mwenye mchanganyiko wa damu ya Mchina na Mrussia ambaye kwa sasa amejikita kimaisha nchini China.


Muonekano wa Ye Zixue kwenye maonesho ya magari yanayoendelea jijini Guangzhou hakika ulikuwa sio wa kawaida, alikuwa amevaa gauni jeusi ambalo liliacha sehemu kubwa ya mwili wake ukiwa mtupu, eti yote kisa na sababu ya kitendo hicho ni juu fasheni ya kuitangaza bidhaa ya Mercedes-Benz.



Angalia Picha zaid hapa chini:-







ANGALIA PICHA 8 ZA MALTILDA A.KA HIPSY AKIJIACHIA NA MAPOZI TOFAUTI TOFAUTI, NI BALAAA!!!


Wakati mwingine unaweza ukakutana na Mwanamke wa aina ya pekee na uzuri wake ukakufanya mwanaume ukose la kuongea, sijui kwa wanaume waliokamaliki hili mnalionaje, naomba niwatambulishe kwenu Maltilda Quaye a.k.a Hipsy, ni mwanachuo kutoka nchini Ghana ambaye anachipukia kwa kasi ya umeme katika masuala ya Urembo na kuonekana katika Videos mbalimbali. Kweli hizi ni Hips dont lie, angalia picha 7 zaidi hapo chini.







Blogger Widgets