Tuesday, April 30, 2013

Ronaldo amsaliti Mpenzi wake sababu ya Miss Bum Bum 2013













No wonder Cristiano Ronaldo didn’t play well during Real Madrid vs Borussia Dortmund match on Wednesday April 24th (Real lost 4-1 to Dortmund)…he had sex two days before…lol.
Andressa Urach (pictured above right) is claiming the star footballer, who is in a serious relationship with Russian super model, Irina Shayk, slept with her in a £12,500-a-night Villa Magna hotel on Monday April 22nd. Andressa is 2013 Miss Bum Bum Brazil queen. She told The Sun UK that Cristiano got in touch with her after seeing her photos online, and had sex with her just a day after Ronaldo was pictured leaving a restaurant with Irina (pictured left).
Andressa said she took a taxi to the hotel that Monday and waited for Ronaldo at the Lobby. Ronaldo eventually arrived in a grey Audi R3 and parked in an underground car park before taking a private lift to his room, from where he texted her his room number. The beauty queen said the sex was great.

“It was incredible, his body’s perfect, like a Greek god. He went on for hours and would not stop talking about my butt.’
Cristiano’s girlfriend, Irina, is known as one of the world’s top swimwear and lingerie models. Meaning her body is bad! Still he cheated on her. How much more us mere mortals! Lol. Men! Choi!!

Monday, April 29, 2013

Baba achoma moto mwanae sehemu za siri na mwilini kisha kutokomea kusikojulikana.


-->
The father of two year old girl has absconded after his attempts to cure her with boiling water left her with severe burns on her buttocks and genital parts.
The father, who is unidentified, is said to have held the little girl over boiling water to cure her of candidyasis.
But she fell into the hot water and sustained severe injuries. The young girl is currently at the 37 Military Hospital where she is receiving treatment. Doctors attending to the girl say she is responding to treatment.
Women’s rights group, WILDAF, which is assisting the mother of the girl to seek treatment, has condemned the father’s action.
Programme Coordinator Bernice Sam says his act constitutes abuse and negligence, for which he must be arrested.
She would however not ask for his imprisonment if found guilty. She suggested counseling for the man who is said to have fathered seven children with his wife.

Lema Kizimbani

Dar/mikoani. Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema anafikishwa mahakamani leo kwa madai ya kuchochea vurugu katika Chuo cha Uhasibu Arusha, huku ikielezwa kwamba jiji hilo litakuwa katika ulinzi mkali.
Ulinzi umeimarishwa maradufu katika mitaa yote jijini Arusha na Kituo Kikuu cha Polisi anakoshikiliwa mbunge huyo tangu usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita.
Lema anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo akidaiwa kuchochea vurugu katika chuo hicho baada ya wanafunzi kuchachamaa kutokana na mauaji ya mwenzao, Henry Kago aliyeuawa kwa kisu karibu na chuo hicho, Jumanne iliyopita.
Ingawa Jeshi la Polisi linadai ulinzi huo ni jukumu lao la kawaida la kila siku, lakini wingi wa askari mitaani umechagizwa na tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani leo kwa Lema suala linalotokana na rekodi ya wafuasi wa Chadema hasa kukiwa na jambo linalomhusisha mbunge wao na polisi.
Tangu baada ya Uchaguzi Mkuu uliopita mwaka 2010, wafuasi, wapenzi na viongozi wa Chadema Arusha na kitaifa wamekabiliana mara kadhaa na Polisi mkoani hapa na moja ya matukio yanayokumbukwa ni lile la maandamano ya Januari 5, 2011 lililoishia kwa mauaji ya watu wawili huku viongozi kadhaa wa chama hicho wakifunguliwa kesi ya kusanyiko lisilo halali.
Viongozi wa Chadema wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Mwenyekiti, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa, Lema, wabunge kadhaa na viongozi wa ngazi ya wilaya na mikoa. Polisi kutoka wilaya jirani na Arusha za Arumeru, Monduli, Karatu na Longido wanahusika katika ulinzi huo ulioimarishwa tangu juzi.
Wafuasi wa chama hicho kikuu cha upinzani wamekuwa na desturi ya kujaa mahakamani pale viongozi wao wanaposhtakiwa kwa kosa lolote na hutoka kwa maandamano yasiyo rasmi kila kesi inapoahirishwa, jambo ambalo limekuwa likizua mvutano kati yao na polisi na aghalabu kuishia kuwatawanya kwa mabomu ya machozi na baadhi kutiwa mbaroni.
Ulinzi mkali ‘selo’ ya Lema
Polisi wameimarisha ulinzi katika eneo lote la Kituo Kikuu anakoshikiliwa mbunge huyo tangu Ijumaa iliyopita na tangu siku hiyo, watu ambao wamekuwa wakifika hapo kwa sababu mbalimbali wamelazimika kujieleza kwanza kwa askari wa doria kabla ya kuruhusiwa kukaribia lango la kituo hicho.
Katika mitaa mbalimbali nako kuna askari wenye silaha wanaotembea kwa miguu wakiwa wawiliwawili hadi watatu pamoja wale wa pikipiki na wa kikosi cha mbwa na farasi.
Kesi nyingine kubwa za leo
Mbali na kesi hiyo, huenda leo Mahakama Kuu ikatoa uamuzi wa maombi ya Jamhuri katika rufani ya kesi ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Jerry Murro na wenzake wawili.
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam inatarajiwa kutoa uamuzi wa kama Muro na wenzake wawili, Edmund Kapama maarufu kama ‘Dokta’ na Deogratius Mugassa wapandishwe kizimbani tena na kuanza kusikiliza upya kesi ya rushwa iliyokuwa ikiwakabili au la.
Kesi nyingine ni ya anayedaiwa kumuua Padre Evaristus Mushi ambaye atapandishwa kizimbani kwa mara ya tatu.
Mtuhumiwa huyo, Omar Yusufu Makame, mkazi wa Mwanakwerekwe, Unguja alikamatwa Machi 29, mwaka huu baada ya uchunguzi uliofanywa na wapelelezi wa Tanzania walioshirikiana na Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI). Pia leo kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) Ltd, Iddi Simba na wenzake na inaendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Mchezaji wa Ligi Kuu ampiga Refa Ngumi na Kumtoa damu Puani

-->


Indonesian footballer Pieter Rumaropen, who punched a referee in the face, has been banned for life by the country’s football authority.
The striker for Papua province club Persiwa Wamena, punched referee Muhaimin after he awarded a penalty to Pelita Bandung Raya during a Super League match on Sunday in West Java’s capital Bandung.
Muhaimin was taken to hospital where he received four stitches.
The match was held up for 15 minutes before a replacement official took over and gave Rumaropen a red card.
Hinca Panjaitan, a member of the disciplinary commission of Indonesia’s Football Association, PSSI, said Rumaropen’s behavior damaged the image of the country’s football.
In 2008, PSSI imposed life bans on four players for beating up a referee and his assistants.
Rumaropen’s Persiwa Wamena were tied 1-1 with Pelita Bandung Raya on Sunday when referee Muhaimin awarded a penalty to Pelita with eight minutes left on the clock.
Video replays of the incident showed Rumaropen running up behind Muhaimin and landing a swinging left hook on the referee, who had to be admitted to a hospital due to excessive bleeding from his nose.
Persiwa, currently seventh in the 18-team league, lost 2-1 after their opponents converted the penalty.
Persiwa defender Richardo Roberto was also sent off in the first half of the match


Angalia Video

Beckham atolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya

Huko katika Legue 1 nchini Ufaransa na kuisababishia timu yake kumaliza mchezo ikiwa na wachezaji 8 wa ndani baada ya kutolewa yeye na mwenzie .Beckham ambaye aliingia uwanjani kipindi cha pili alimchezea vibaya

-->

Youssef Adnane  na kumfanya refa kumpa kadi nyekundu moja kwa moja. Angalia video chini

Gone with the wind- Kenya Moore


-->

Angalia Jumba la Kifahari la Psquire



Sunday, April 28, 2013

Mama alivyonishawishi kuwa "KAHABA"

-->
Curse her or lampoon her, Kaffy, the dance queen is not moved, neither is she going to deny it that, she was once encouraged into prostitution by her mother. When they say wonders shall never end, some people may not readily understand until they hear some life testimonies that leave the mouth agape, such is the candid disclosure of popular dancer and musician Kafayat popularly known as Kaffy.

She dropped the bombshell about how her mother nearly made her go into prostitution so as to make ends meet. The talented dancer revealed this while she was addressing a group of youths at a programme held not too long ago.

She divulged this while encouraging the young minds at the event to learn how to read between the lines so that they won’t be guided because sometimes, the people that they look up to may be the one that will lead them astray.

The talented mother of two, also disclosed that she had to pay her way through school as she did not attend the conventional school that every other child attends because she had to wait for the regular school goers to close from school so that she could borrow their books and cover up but luck smiled on her when she made a record for herself and country at Amstel Malta World Marathon Dance, by breaking the existing record for the Guinness Book of World Records through dance. And ever since, she has not relented on her oars.

Jessica Alba Ajifunga Kibwebwe Miezi 3 ili kurudisha Shepu baada ya kujifungua.

-->














Actress Jessica Alba squeezed into a double corset and wore it night and day to get her figure back after giving birth.
And it worked so well she was back at work, ­filming An Invisible Sign, just four months after ­having her first daughter Honor, now four.
Jessica, who is 32 today, said: “I wore a double corset day and night for three months. It was brutal, it’s not for everyone. It was sweaty but worth it.”
The Fantastic Four star told online magazine Net-a-Porter she had seven months off after second daughter Haven was born 20 months ago.
She also revealed how she and her husband, businessman Cash Warren, put the spark back in their five-year marriage on a recent holiday to St Barts in the Caribbean.
Jessica, who is in Sin City: A Dame to Kill For later this year, said: “Having time just for us, was cool.”







Kijana Achomwa Kisu siku ya Birth day yake.














A Ghanaian boy has been knifed to death on his 16th birthday on board a bus in London.

Derek Boeteng, a Ghanaian born British from Hackney, was attacked on board a 393 bus close to the gates of Highbury Grove School in Islington in an alleged ambush involving pupils from a rival school.
He was treated at the scene before he was airlifted to hospital where he was reported to be in a critical but stable condition. He died the following day (April 24).
A 15-year-old boy will appear in court today (April 26) charged with the murder of the schoolboy.
The unnamed teen was arrested on the day of the attack in Highbury, north London, on Tuesday (April 23) and has remained in police custody since.

Kweli Britain's Got Talent 2013

Cheki hizo photos uone hali inavyokuwa katika tamasha lao la Britain's Got Talent 2013.



-->




























Her profile on the Torture Garden website says she “was a sought-after performer for secret events held for celebrities visiting Japan”.
The latest run of BGT has already been criticised for sleazy acts ­including an 11-year-old girl singing about a one-night stand and another ­contestant performing a pre-watershed lap-dance.
There was outrage when schoolgirl Arisxandra Libantino sang Jennifer Hudson’s One Night Only, with the lyrics: “Come on, big baby, come on, we only have til dawn.”
Keri Graham, 43, who writhed semi-naked on a chair, has since been ­revealed as a stripper.
A show spokesman said of the revelations about Yusura: “We were not aware of this, but her performance on Britain’s Got Talent was in keeping with the show’s ­audience.”




Big Brother Africa 8 imerudi tena


Haya limerudi tene lile shindano la kuwaacha hoi na kuwaacha uchi washiriki wengi katika jumba la Big Brother, ambapo safari kutakuwa na washindani 28, imependekezwa iwe mwanamke mmoja na mwanaume mmoja kutoka nchi 14 za washiriki. Bado kuna mjadala kuhusu kuwepo wasanii na watu maarufu kutoka nchi mbali mbali za Africa zikiwemo:-
Uganda- Desire Luzinda/Jackie. O (Obsessions)
South Africa- Khanyi Mbau
Ghana- Vera sidika/Sarkodie
Nigeria- Inyanya/Dammy Krane
Kenya- Shaffie weru/Oj Oballa
Zimbabwe- Makosi Musambasi etc
Big Brother Africa yatarajiwa Kuanza Mwezi wa Tano tarehe 26.

Kiongozi wa Kanisa azikwa akiwa hai mkoani Mbeya





Msaidizi wa zamani wa Padri (Katekisita) katika Kigango cha Kanisa Katoliki Kijiji cha Mkwajuni, Florian Mwamosi (70) amekufa baada ya kuzikwa akiwa hai katika kaburi moja na mtu anayedaiwa kumuua kwa njia ya kishirikina.
Tukio hilo limetokea katika Kitongoji cha Maweni kijijini hapo wilayani Chunya mkoani Mbeya.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Diwani Athumani  alikiri kutokea  kwa tukio hilo akieleza kuwa lilitokea  saa 9:00 mchana katika kijiji hicho cha Maweni Mkwajuni wilayani Chunya.
“Marehemu aliuawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa na mawe kwa tuhuma za kuhusika na uchawi na kusababisha kifo cha Peter Robert,” alisema.
Kamanda Athumani alisema kuwa uchunguzi kuhusiana na tukio hilo unaendelea na kwamba wahusika wote wa tukio hilo wamekimbia na kuzihama nyumba zao, hivyo polisi wanaendelea na msako wa kuwatia mbaroni watuhumiwa na kwamba tayari  kaburi hilo limefukuliwa jana kutenganisha maiti hizo.
Mashuhuda wa tukio hilo walisema kuwa  marehemu huyo ambaye alikuwa akituhumiwa kwa ushirikina aliwahi kuwa Katekista wa kigango hicho hadi mwaka 2007.
Wameeleza kuwa Mwamosi alikwenda kuhudhuria mazishi ya Peter  Robert (28) katika kitongoji hicho cha Maweni, baada ya kufuatwa nyumbani kwake na watu wakitaka aende kwa sababu yeye ni mmoja wa wazee wa mila katika kitongoji hicho.
“Bwana Mwamosi alikuwa akituhumiwa kwa uchawi kwa muda mrefu na wenzie wawili, hivyo alipofika makaburini ilianza minong`ono ya watu na huku wengine wakiguna na ndipo alipoombwa aingie kaburini kwa ajili ya kupokea jeneza lililobeba mwili wa marehemu Peter Robert,” alisema mkazi mmoja wa kijiji hicho aliyejitambulisha kwa jina moja la Joseph.
Alisema kuwa baada ya kuingia kaburini akiwa na watu wengine watatu wenzake walitoka kwa haraka na kumwacha Mwamosi peke yake ndipo kundi la watu waliokuwa eneo hilo la makaburi walianza kumshambulia kwa kumpiga mawe huku wakimwamuru akae chini.
Shuhuda huyo alisema kuwa baada ya kukubali kukaa chini akiwa ndani ya kaburi hilo, walianza kumfukia na alipofukiwa nusu ya mwili wake waliingiza jeneza la marehemu Peter na kuliweka juu yake na kuanza kulifukia kaburi hilo.
“Baada ya kukaa chini ndani ya kaburi hilo ndipo walianza kumfukia kwa udongo na baadaye wakachukua jeneza la marehemu na kuliweka juu yake, kisha kumfukia na udongo na taratibu za mazishi ziliendelea kwa ajili ya marehemu  Peter,”alisema.
Alidokeza kuwa chanzo cha tukio hilo ni marehemu Robert kuugua ghafla tumbo, ndipo ndugu zake walipoamua kumpeleka kwa mganga wa jadi kwa ajili ya kupata matibabu na baada ya siku tatu alifariki dunia.
Kamanda huyo amewasihi wakazi wa Mkoa wa Mbeya kuacha tabia kama hizo kwani kufanya hivyo ni kuuchafua mkoa na kuwa na sifa mbaya, hivyo kusababisha maendeleo ya mkoa kurudi nyuma.
Januari 12, mwaka huu wakazi wawili wa Kijiji cha Karungu, Kata ya Ivuna, Wilaya ya Momba, mkoani Mbeya walikufa baada ya kufukiwa wakiwa hai katika kaburi moja na marehemu wanaodaiwa kumuua, tukio linalohusishwa na imani za kishirikina.

Saturday, April 27, 2013

Raisi kikwete asamehe wafungwa 4,000 Tanzania

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete jana aliongoza maelfu ya Watanzania katika maadhimisho ya miaka 49 ya muungano yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na baadaye kusamehe wafungwa 4,180.
Idadi kubwa ya watanzania walishiriki katika maadhimisho hayo hayo ambayo yalianza saa 2:30 asubuhi na kupambwa na gwaride rasmi lililoandaliwa na vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama na kupendezeshwa na halaiki ya wanafunzi 2,695 kutoka Tanzania Bara na Visiwani waliofanya maonyesho mbalimbali ya kuashiria maadhimisho ya muungano.
Viongozi mbalimbali wakiwamo wastaafu kutoka Tanzania Bara na Visiwani walishiriki kwenye maadhimisho hayo ikiwa ni ishara ya kuuenzi na kuulinda muungano huo.
Viongozi hao ni pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein, Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad na Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Idd.
Wengine waliohudhuria maadhimisho hayo ni Rais mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume, Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa na mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Frederick Sumaye.
--> Baada ya viongozi kuketi katika nafasi zao, gwaride rasmi lenye gadi kumi lilipita na kutoa heshima zao mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Baada ya hapo vijana wa halaiki walionyesha maumbo mbalimbali kuashiria maendeleo yaliyopatikana nchini kwa muda wa miaka 49 tokea taifa la Tanzania liundwe rasmi kabla ya Wanahalaiki kujipanga na kuonyesha taswira mbalimbali na kuimba wimbo wa kuhamasisha kudumisha muungano.
Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa upinzani hawakuweza kushiriki kwenye maonyesho hayo.
Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumalizika kwa shughuli za maadhimisho hayo, mjumbe wa Kamati Kuu Chadema ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu alisema kuwa, Watanzania wanapaswa kujivunia Muungano walionao kwa sababu umedumu kwa miaka 49, akieleza kuwa ni nadra sana kuona nchi za Afrika au Ulaya kuendeleza muungano wenye umri mkubwa kama huu wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo basi wanapaswa kuuenzi na kuulinda kuendeleza amani iliyopo.
--> Wakati huohuo, Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,180 waliokuwa wakitumikia vifungo vyao katika magereza mbalimbali hapa nchini katika kuadhimisha miaka 49 ya muungano. Wafungwa waliosamehewa ni wanaotumikia kifungo kisichozidi miaka mitano, ambapo mpaka siku ya msamaha yaani April 26, watakuwa wameshatumikia robo ya vifungo vyao, wafungwa wagonjwa wa Ukimwi, kifua kikuu na kansa ambao wamethibitishwa na jopo la madaktari

Thursday, April 25, 2013

Wasichana 34 wafukuzwa vyuoni sababu ya USAGAJI.

--> Siku za hivi karibuni kumeibuka migogoro mikali kuhusiana na masuala ya Ushoga na Usagaji katika nchi nyingi duniani hasa za kiafrika. Huko nchini Ghana waziri anayetetea haki za mashoga na wasagaji, waziri wa jinsia na maendeleo ameshindwa kuzuia uamuzi uliotolewa na serikali kuu wa kuwqfukuza masomoni wasichana 34 kutoka Wasley Girl Senior High School
waliogundilika na makosa ya kuwa wasagaji.



-->

Binti "Abakwa" kisha kupigwa picha na kurekodiwa

Mfanyakazi mmoja katika taasisi ya Elimu ya Petroli ya Warri huko Ghana amepatwa na mkasa wa maisha yake baada ya kutekwa na wanaume wawili kisha kupelekwa hotelini na kuanza kubakwa kwa zamu huku wakimpiga picha na kumrekodi. Baada ya kumaliza haja zao walimruhusu aende zake na ndipo alipokutana na wanajeshi wa eneo hilo na kuwapa taarifa. Wanajeshi hao walifanikiwa kuuweka mtego na kuwakamata watuhumiwa hao na watafikishwa mahakamani kukabili mashtaka yao.





-->


Angalia Video

Fashion Week ya Rio Brazil, Aibu Tupu.

Angalia Collection ya Triya, katika Rio de Jeneiro 2013







Summer Collection. picha za fashion week iliyofanyika huko Rio Brazil ambako ambako walionesha kuongeza ubunifu.

Mwalimu wa kike aliyelazimisha mapenzi na wanafunzi wake ahukumiwa.




Mwalimu wa kike Ashley Anderson (24) katika shule ya Iowa High, huko marekani amejikuta hatiani baada ya kukiri mashtaka ya kuwarubuni wanafunzi wanne wa kiume kwa nyakati tofauti na hatimaye kufanya nao mapenzi. miongoni mwa mbinu hizo ni kuwatumia sms na picha zake akiwa hana nguo kupitia simu. kasheshe hilo limemkuta baada ya kuzuka mzozo na baadhi ya wapenzi wake hao akiwalazimisha kuzifuta ili awalipe.

Gwyneth Paltrow atia fora na kivazi chake


Mwanadada Gwyneth Paltrow (40), ametia fora baada ya kuingia na gauni liliokuwa wazi upande wa pembeni na kumfanya aonekane kama hajavaa kitu. kituko hicho kimetokea wakati wakizindua Movie mpya ya Iron Man 3 ambayo ameigiza kama mwanadada mahiri na komandoo. Kutokana na kivazi hicho baadhi ya wachambuzi wa mambo wamesema hakustahili kupewa tuzo ya mwanamke mzuri siku chache zilizopita.





-->


Nyuma ya pazia katika utengenezaji wa video ya kufurahisha ya "Dance along"







Baada ya Kumg'ata Mchezaji mwenzie, Suarez akiri makosa.


-->
"Kweli nimejiharibu" hiyo ndo kauli ya mshambuliaji wa Liverpool Luis Suarez ambaye F.A wamemfungia kucheza mechi kumi(10) na kutakiwa kulipa faini kwa kitendo chake cha kumng'ata mshambuliaji waChelsea Branislav Ivanovic. Kutokana na tukio hilo mshambuliaji huyo wa Liverpool ambaye amesaini mkataba mpya hivi karibuni na timu yake atazikosa mechi nne za ligi zilizobaki pia hatarudi uwanjani hadi mwezi wa kumi mwaka huu.


Vurugu Chuo cha Uhasibu Arusha na Liwale.

Liwale/Arusha. Uharibifu mkubwa wa mali ulifanywa juzi usiku Mjini Liwale, Lindi baada ya wananchi wenye hasira kuchoma moto nyumba za viongozi waandamizi, makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya na maghala ya mazao kutokana na kuchukizwa kushushwa kwa bei ya korosho.
Nyumba zilizochomwa moto ni za Mbunge wa Liwale (CCM), Faith Mtambo, Mwenyekiti wa Chama cha Msingi cha Umoja, Hassan Myao na Makamu wake, Hassan Mpako, Diwani wa Viti Maalumu (CCM) Liwale, Amina Mnocha, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Abbas Chigogola ambaye pia ng’ombe wake tisa walikatwakatwa mapanga na kuachiwa ndama watatu.
--> Nyingine ni nyumba ya Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Liwale, Mohamed Ng’omambo, Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Lindi, Mwenyekiti wa Chama cha Msingi Minali, Mohamed Limbwilindi na Katibu wa chama hicho, Juma Majivuno.
Wakati hayo yakitokea Lindi, huko Arusha, vurugu kubwa za wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu zilizuka jana baada ya kuuawa kwa mwanafunzi Henry Kago (22), juzi usiku.
Kago, ambaye alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili, anadaiwa kuwa alifariki juzi saa nne usiku baada ya kuchomwa kisu na watu wasiojulikana, akiwa njiani eneo la Kanisa la Wasabato akitokea chuoni hapo kujisomea.
Ghasia za Liwale
Ghasia hizo zilianza juzi mchana katika Kijiji cha Liwale B na ziliendelea usiku kucha hadi jana asubuhi.
Watu walioshuhudia ghasia hizo walisema chanzo ni wakulima kudai kulipwa Sh600 na siyo Sh200 za mauzo ya korosho kwenye Chama cha Msingi Minali.
Bei ya kilo moja ya korosho waliyokubaliana wakulima na chama hicho ni Sh1,200 na mara ya kwanza kiliwalipa Sh600 kwa kilo na kuahidi kulipa nusu nyingine baadaye.
Hata hivyo, viongozi wa Ushirika walibadili uamuzi na kulipa Sh200 kwa maelezo kuwa mauzo hayakuwa mazuri kitendo ambacho kiliwakasirisha wakulima hao ambao waligoma kupokea fedha hizo.
Baadaye ilielezwa kuwa viongozi wa Minali walipeleka fedha hizo polisi ili malipo yafanyike huko, lakini ghasia zikaibuka na wakaamua kusitisha malipo hayo na ndipo wananchi wakaamua kuingia mitaani.
--> Mmoja wa mashuhuda alisema “Polisi walijaribu kuwadhibiti watu hao, lakini walipoona wanazidiwa nguvu, wakawaachia wafanye wanavyotaka ndiyo maana kumekuwa na uharibifu mkubwa.”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, George Mwakajinga alisema kwa kifupi: “Hali imetulia na vurugu zimemalizika lakini bado tuko kwenye kikao kuzungumzia suala hili.”

Source: Mwananchi.

Madrid Miguu juu kwa B. Dortmund

--> Jana katika Ligi ya Mabingwa wa Ulaya Limeshuhudiwa Mechi la kukata na shoka Baina ya Real Madrid na Borussia Dortmund ambapo mpaka dakika 90 za mchezo Vigogo wa Madrid walikuwa wamelala kwa goli 4 kwa 1.
-->

Aliyemdhalilisha Askari wa Usalama Barabarani Aswekwa Rumande

--> Siku ya juzi maeneo ya mwenge jamaa mmoja mwenye mwili mkubwa alifanya tukio la ajabu pale alipompokonya Askari wa Usalama Barabarani Ufunguo wake wa gari na kumnyonga mkono huku akijijua kufanya hivyo ni kosa kisheria na kamera za kituo cha ITV zilikuwa zikimwonesha. Taarifa zinamnukuu Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Kinondoni akisema ya kwamba jamaa huyo amekamatwa na yupo kituo cha polisi Cha Salander Bridge akisubiri kufikishwa mahakamani.

--> Video ya Tukio zima hii hapa chini.

Wednesday, April 24, 2013

Mama Yeyoo- Gnako ft Ben Pol

-->

New Video - Mr Nice Ft DNA

Ujio wangu
-->

Video Mpya - Madee

--> Cheki hapo video mpya ya madee nani "kamwaga pombe yangu"

Monday, April 22, 2013

Raisi Atoa Masaa 24 kwa "Mashoga" Kuondoka Nchini

--> Uamuzi huo ummfanya Raisi wa Gambia Yahya Jammeh kuonekana ana sera kali zaidi ya zile za Iran. Amesema ya kwamba Nchi yake ina misingi ya maadili na imani hivyo hawawezi kuvumilia tabia za kishenzi zikiendelea nchini humo. mwezi wa pili mwaka huu raisi huyo aliwafanya wenye tabia kama hiyo kukimbia nchi jirani na kuomba hifadhi pale alipowafunga wanandoa wawili wa jinsia moja.

Mwanamke Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Unyumba na Mumewe

Mwanamke mmoja Raia wa Zimbwambe amajinyonga na kamba baada ya kunyimwa mapenzi na mumewe kwa muda mrefu. Mama huyo afahamikaye kama Muhlava Muhlabiza kutoka kijiji cha Chigalo (64) alikutwa na umauti huo baada ya mumewe kurudi safarini na akijua ni zamu yake ya kupata haki hiyo ya tendo la ndoa ndipo mume huyo alipoghairi na kwenda kulala na mke mwingine, kitendo ambacho kiliumiza moyo wa mama huyo na kuamua kutokomea msituni na kujinyonga. --> Baada ya kupita kama saa moja mume wa mwanamke aliamua kutoka na kwenda kumgongea ndani kwake kwani alitishia kujiua na kusema ya kwamba mume huyo amemchoka na ndi[po alikuta kimya kimetawala na kuwataarifu watu ambao baada ya kuuvunja mlango hawakumkuta hadi kesho yeka walipata taarifa toka polisi kuhusu kupatikana kwa mwili wake msituni.

Wauza Miili yao na wateja wao wakamatwa Ndani ya Chumba Kimoja

Kwa tukio hili, vijana wa mjini wanasema; kimenuka! Hivi karibuni wanawake watano ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja walinaswa usiku mnene wakifanya mapenzi na wanaume wawili kwenye chumba kimoja kilichopo Mwananyamala jijini Dar.

Watu hao walinaswa katika oparesheni kabambe iliyoongozwa na Kamanda Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Kinondoni, OCD Wilbroad Mtafungwa pamoja na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai.
Katika zoezi hilo, polisi walivamia kambi kuu inayotajwa kusheheni wanawake wanaojiuza iliyopo Mwananyamala A ambapo ‘wauza sukari’ hao hutumia vyumba vyao kufanya ufuska huo.

-->


Polisi hao walipofika kwenye chumba kimoja kilichopo eneo hilo, walikumbana na upinzani mkubwa wa watu waliokuwa ndani na baada ya kufanikiwa kuufungua mlango, waliwakuta wanawake watano na wanaume wawili wakiwa kimahaba.
Mbali na hao, polisi walifanikiwa kuwanasa wanawake wengine kwenye vyumba vyao na baadhi mtaani wakijiuza ambapo walipewa kibano cha hali ya juu.
Imeelezwa kuwa, wanawake hao wamekuwa na tabia ya kujiuza na wakati mwingine hukubali kufanya mapenzi na wanaume zaidi ya mmoja, hali ambayo ni hatari sana.
Mkazi mmoja wa eneo hilo, Husein Juma alisema: “Kwanza tunampongeza Kamanda Mtafungwa kwa operesheni hii, wanawake hawa wamekuwa ni tatizo kwani wamekuwa wakijiuza waziwazi na kutupa ovyo kondomu.
 Naye Inspekta Swai alisema wamekuwa wakipokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa eneo hilo wakaona ni vyema kuyafanyia kazi ambapo waliwakamata zaidi ya watu 35, wanawake kwa wanaume wanaohusika.

Rihanna ajiachia baada ya X-Girlfriend wa Criss Brown kujitupia na picha za utupu mtandaoni

--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwenye kawaida ya kuachana na kurudiana na mpenzi wake wa muda mrefu, Criss Brown. Rihanna bado hajarudi katika afya yake baada ya kuahirisha ziara yake ya "Diamonds" kutokana na kuugua, hata hivyo ameonekana mwenye afadhali baada ya kutoka kwa daktari bingwa wa Surgery huko.

Monday, April 8, 2013

Filamu ya Ngono ya wanaume ya "Kinajeria" yavuja

--> Bado lile jinamizi la kuichafua tasnia ya filamu nchini Nigeria linawaandama, maana baada ya maumivu ya siku chache zilizopita kufuatia kuvuja kwa picha za Ngono za baadhi ya wasanii maarufu wa kike nchini humo kazi imehamia kwa wanaume sasa, nao wamerekodi mkanda wao na upo mtandaoni, unaitwa Pregnant Hawkers. Videos ipo You tube.

Wednesday, April 3, 2013

"VIDEO" ya wafanya Ng0n0 waliogandiana Kenya

-->
Leo katika kupitia laptop ya rafiki yangu nimekuta video hii, nikaona kwa wale ambao hawakuwahi kuiona inatoa funzo na tahadhari ya kutosha kuhusu suala zima la zinaa na hasa kutumbea na wake za watu, sina nia ya kuwatamanisha au kuwadhalilisha hawa wahusika kwani kiukweli wamejidhalilisha wenyewe.
Blogger Widgets