Friday, October 16, 2015

tripleclickbusiness

http://tripleclicks.com/16352351/detail.php?item=417671

Saturday, October 10, 2015

https://www.sfimg.com/Home?tab=ask_sc
<a href='http://www.sfi4.com/16352351/REAL'><img src='http://sfibanners.csidn.com/banner449.png' border='0'></a>

<a href='http://www.sfi4.com/16352351/REAL'><img src='http://sfibanners.csidn.com/banner449.png' border='0'></a>

Saturday, October 3, 2015

LOWASSA AMTAKA NAMELOCK SOKOINE KUMFUATA UKAWA

LOWASSA AMTAKA NAMELOCK SOKOINE KUMFUATA UKAWA
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa akiwa katika msafara wake wa kufanya kampeni ambapo jana alikuwa Monduli kwa ajili ya kuomba kura kwa ajili yake mwenyewe na wagombea wengine wa UKAWA, amesema anatarajia kuongea na mgombea ubunge wa CCM katika jimbo hilo, Namelock Sokoine ili kumshawishi kuhamia upande alioko yeye.
Lowassa, ambaye ndiye aliyempendekeza mgombea huyo ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, hayati Edward Moringe Sokoine kuwa ndiye anayefaa kuchukua nafasi yake baada ya yeye kuliongoza jimbo hilo kwa takribani miaka 20 jana hakuweza kusema lolote kendapo Namelock ni dhaifu kuliko mgombea wa CHADEMA/UKAWA, Julius Kalanga.
“Kesho nitakutana na Namelock ili nielewane naye kwa kuwa nisingependa kuvunja umoja wetu wa muda mrefu. Nataka Monduli ibaki ile ile yenye amani na utulivu hata hivyo ambaye hataki kupanda kwenye basi la Lowassa itabidi abaki,” alisema Lowassa.
Baada ya kuongelea jambo hilo ambalo ilionyesha dhahiri kuwa linampa tabu, Lowassa alimtambulisha Kalanga kwa wananchi na kisha akampa nafasi ya kunadi sera zake.

http://jobrize.com/index.php?ref=427643

http://jobrize.com/index.php?ref=427643
Blogger Widgets