Friday, June 28, 2013

Mwandishi wa Habari Kikaangoni baada kutoa habari juu ya mabega ya Mhanga

Mwandishi mmoja wa habari huko India amejikuta katika wakati mgumu huku akitupiwa shutma na lawama kutoka makundi mbali mbali kwa kitendo chake cha kutoa taarifa ya mafuriko ambayo yameathiri watu zaidi ya 1000 na kuwaacha bila makazi huko India huku akiwa juu ya mabega ya mmoja ya waathirika hao. Katika utetezi wake mwandishi huyo amesema haikuwa dhamira yake na kwamba Mhanga huyo alijitolea mwenyewe kumbebe ikiwa ni sehemu ya kuonesha shukrani kutokana na msaada aliopewa na mwandishi huyo huku akitaka kuuonesha ulimwengu Madhara ya Mafuriko hayo hasahasa nyumbani kwake.

Ongeza Spidi ya "Tendo la Ndoa" huku ukipunguza Kupooza na Heart Attack


Utafiti umegundua kuwa Juice itokanayo na Bibo husaidia kuongeza ufanisi katika kujenga ndoa na kuziboresha, mbali na hivyo tunda hilo litokanalo na Mkorosho pia husaidia kupunguza magonjwa ya moyo na kupooza.

D'Banj Atoswa na Mrembo Jukwaani

Wiki iliyopita, msanii wa Dance hall, Mkali D'Banj alipata fedheha ya aina yake alipokuwa akifanya show katika concert moja huko Lagos baada ya kumlazimisha mwanadada mmoja mrembo kucheza nae, baada ya mkali huyo maarufu kama Koko Master kumfuata mrembo huyo huku akidhania dem huyo atajirahisi, mrembo huyo alimtosa kiana jamaa, jamaa kuona hali inakuwa ngumu akamvuta dem stejin, hata hivyo fedheha hiyo iliongezeka mara dufu baada ya kupanda Njemba nyingine na Kumchukua mrembo huyo huku akisisitiza kuwa yule ni mke wake na jamaa D'Banj aangalie ustaarabu mwingine.

Thursday, June 27, 2013

Hali ya Mandela bado si shwari

Hali ya Afya ya kiongozi wa Africa ya Kusini Mzee Nelson Mandela bado si shwari tangu alipolazwa tarehe nani mwezi huu akisumbuliwa na matatizo ya mapafu. Kutokana na kuzidi kudhohofika kwa afya ya Nguli na Mlezi wa Taifa hilo lenye maendeleo zaidi Kusini mwa Jangwa la Sahara, Imemlazimu Kiongozi wa Nchi hiyo Mzee Jacob Zuma Kuahirisha ziara yake ya nchini Msumbuji ambako alitakiwa kuwa msemaji katika kikao cha Masuala ya Miondombinu cha SADC Huko Maputo.Hali ya Afya Mzee Mandela mwenye umri wa miaka 94 imezidi kuwa mbaya ndani ya masaa 48 yaliyopita kiasi cha kuwaweka raia wa nchi hiyo tayari kwa lolote.


Maziwa ya Kichina yampasukia Mwanamke wakati amelala!!!

Mwanamke mmoja Mkazi wa Beijing amefikishwa hospitalini baada ya kupasuka kwa moja ya ziwa(titi) lake ambalo aliliongeza kwa teknolojia ya kisasa. Mwanamke huyo amekutwa na mkasa huo baada ya kulaliatumbo lna matiti hayo kwa muda wa zaidi ya saa 4 huku akiwa anacheza game katika simu yake ya kiganjani. Mwanamke huyo tayari amefikishwa hospitalini kwa ajili ya upasuaji huku juhudi zikiangaliwa katika kumrejeshea heshima yake ya kifuani tena.


Tuesday, June 25, 2013

"Aibu" Mwanachuo avuliwa nguo baada ya kuiba simu.

Tukio hili limetokea huko Nigeria ambapo binti anayesemekana ni wa mwaka wa kwanza alikwenda kutembea katika hostel za wenzake na alipopata mwanya akaiba simu aina ya Black Berry. hata hivyo baada ya mwenye simu kushtuka binti huyo aligoma kuichukua simu hiyo na ndipo watu walipoamua kuipiga na kuanza kuita ikiwa sehemu za siri. Baada ya tukio hilo wavulana kutoka vyumba vya pembeni walikuja na kumsachi huku wakimvua nguo, hakuwa na la ziada zaidi ya kuwa mpole wakati watu wakimpiga picha hizo za aibu.

Duuh!! Mzee wa Miaka 60 mbaroni baada ya kufumwa akivinjari na Binti ndani ya Gari!!!

--> Ule usemi unaosema ng'ombe hazeeki maini umejidhihirisha juzi pale Mzee mmoja wa umri wa miaka 60 alipofumwa akijiachia na ka binti ka miaka 17 ndani ya gari. Mzee Opanyin Kofi Appiah alikamtwa baada ya kupatikana ushirikiano wa kutosha toka kwa wananchi wa maeneo ya Kwadaso Beposo walikuwa wakifuatilia nyendo zake baada ya kuvuja taarifa zake za kuwa na mahusiano na mabinti wadogo.

Saturday, June 22, 2013

Msichana anusurika Kubakwa, Amchoma Kisu na Kumuua Mbakaji Huyo!!



 Onyinyechi Orakwuelum alikuwa akisheherekea siku yake ya kuzaliwa na alikuwa akitimiza umri wa miaka 18. Hata hivyo siku hiyo ambayo huwa ni ya furaha miongoni mwa binadamu wengi, imegeuka na kuwa ya majonzi na matatizo baada ya mwanadada huyo kuwa anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua Kijana ajulikanaye kwa jina la Ayobami, ambaye binti huyo anadai alidhamiria kumbaka na katika kujitetea kwake alifanikiwa kumpiga kisu na kujisalimisha mwenyewe polisi.

Siku ya tukio Ayobami alimpigia simu binti huyo na binti akamwambia ya kwamba yupo nyumbani na ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, jamaa akamuuliza kama alikuwa na mipango yoyote ya sherehe, binti akamwambia hapana ni mapumziko na kuikumbuka tu siku hiyo, Ayobami akamwambia wakutani mida ya saa 1 jioni maeno fulani, binti alikubali, na alipoeenda wakaenda mpaka nyumbani kwa Ayobami ambaye alitumia muda mfupi kukaa katika laptop yake na baadae akamfuata na kumwambia ya kwamba anampenda na anaomba awe mpenzi wake. Onyinye alikataa sababu alihisi ni utani lakini jamaa alivyozidi kumsogelea karibu, binti huyo akagundua kuwa Ayobami amelewa, naye akakazania kupewa japo penzi kwa siku husika ikiwa hatamkubalia basi angemfanyia kitu mbaya.

Baada ya kukuru kakara za muda mrefu, jamaa akaelekea jikoni na kuchukua kisu ambacho alikuwa akimtishia msichana huyo huku akianza kumvua nguo kwa nguvu, kwa bahati kisu hicho kilidondoka chini na ndipo Onyinye alikiokota na kumchoma nacho, akaskia sauti kutoka kwa Ayobami akilalama kwamba kamchoma, Onyinye alikimbia na kwenda kutoa taarifa kituoni, polisi walipofika eneo la tukio walimkuta jamaa kashafariki na kisu kilimuingia katika moyo.
Mpaka sas binti huyo anashikiliwa na polisi mpaka uchunguzi utakavyo kamilika.

Friday, June 21, 2013

Exclusive!!List ya wanaume ambao Kim Kardashian amewahi kuwa nao!!!!

--> Haya sasa, hiyo ni list fupi ya watu maarufu tu ambao bibie Kim, mzazi mwenzie Kanye west amewahi kuwa nao au kutembea nao. Sijui kwa wale ambao si maarufu maana kwa hapo tu idadi inafikia kama 22 hivi, angalia mwenyewe.
TJ Jackson (1994-1998)
Damon Thomas (m. 2000–2004)
Julian St. Jox (2001) (akiwa mke wa Damon)
Ray J (2002-s*x tape made 2003(akiwa mke wa
Damon)-2007)
Nick Lachey 2006
Nick Cannon (Sept 2006-Jan 2007)(akiwa ndani ya mahusiano na Ray J)
FONSWORTH BENTLEY (2006-Feb 2007)
Marquis Houston (March 2007)
Evan Ross (May 2007)
Reggie Bush (2006 (akiwa ndani ya mahusiano na Ray J)-2009/2010)
Christiano Ronaldo (April 2010)
Shengo Deane (April 2010)
Miles Austin (June 2010)
Michael Copon (October 2010)
Jon Mayer (October 2010)
Gabriel Aubrey (November 2010)
Kris Humphries (m. 2010–2013)
Kanye West (2007–present)
Pia Brett Lockett, The Game, 50 cent, Scott Storch........

Waigizaji wa Movie ya First Wife wafanya Mapenz* kiukweli

Hii ni Movie mpya ya msanii maarufu wa nchini Ghana, iitwayo My Fist Wife. Katika Movie hii mwanadada Nikki Samonas akiwa na Jim Iyeke, wanaonekana kukolea kimahaba na msanii mwenzake hadi kufikia kiasi cha kufanya kweli badala ya maigizo kama ilivyotakiwa. Kwa sasa wengi miongoni mwa mashabiki wake wamechukizwa na kitendo chake hicho, na hii imemletea picha na sifa mbaya katika Tasnia ya Uigizaji na jamii kwa ujumla.




Mwalimu apigwa miaka 5 jela kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wake.


Jeremy Forest amehukumiwa kifungo cha miaka 5 na nusu jela baada ya kukubali mashtaka yaliyokuwa yakimkabili mwalimu huyo wa Hisabati, Mwalimu huyo wa miaka 30 amehukumiwa kwa makosa ya kumteka binti wa miaka 15 kisha kutoroka nae na kukimbilia Ufaransa ambapo waliponda raha za dunia kwa siku 8. Jana akiwa mahakamani hapo jamaa alithubutu kumwambia binti huyo " i love you" na binti akajibu " i love you too, im so sorry"
Kwa ishara za midomo huku binti akitoa machozi. Kwa upande wake msichana huyo ametetea uamuzi wake wa kwenda na mwalimu huyo kwamba hakulazimishwa na ya kwamba wanapendana.
Imeelezwa kuwa jamaa alianza uhusiano na mwanafunzi huyo akiwa na umri wa miaka 14, na aliwahi kumbusu darasani na ndipo mambo yakaanza rasmi. Pia katika ziara yao ya huko Ufaransa wamekuwa wakifanya mapenzi hadi mara 8 kwa siku moja ikiwa ni hotelini na katika gari.

Tuesday, June 18, 2013

"Sitakubali Kudhalilishwa katika Mitandao ya Kijamii" Eniola

Muigizaji Eniola Badmus amesema kwamba hayupo tayari kumvumilia mtu yoyote atakae mdhalilisha katika mitandao ya kijamii kwa sababu ya umbo lake. anajua nini anachokifanya na anaishi atakavyo.

Lil Wayne kitimoto kwa kukanyaga bendera ya US

Rapper Lil Wayne amejikuta katika mtafaruku na raia wa nchi baada ya kuonekana katika video moja akitembea juu ya bendera ya nchi hiyo. hata hivyo yeye mwenyewe amejitetea na kusema kwamba hakuikanyaga kwa makusudi.

Kim aapa kutobeba ujauzito tena

-->
Mwanadada Kim Kardashian amejiapiza kutozaa tena baada ya kuwa anasumbuliwa na maumivu makali ya tumbo baada ya kujifungua.

Mwalimu wa chuo kikuu aacha kazi baada ya kutupiwa Condom zilizotumika

-->
Mkufunzi mmoja katika chuo kikuu nchini marekani ameamua kuacha kazi baada ya matukio ya mara kwa mara yanayofanywa na baadhi ya wanafunzi wake kwa kumwachia condom zilizotumika katika ofisi yake ikiwa ni ishara ya kutomkubali. " Ni mazingira magumu ya kazi nnayokutana nayo" alisema baada ya kufikia uamuzi huo.
Blogger Widgets