Friday, June 21, 2013

Waigizaji wa Movie ya First Wife wafanya Mapenz* kiukweli

Hii ni Movie mpya ya msanii maarufu wa nchini Ghana, iitwayo My Fist Wife. Katika Movie hii mwanadada Nikki Samonas akiwa na Jim Iyeke, wanaonekana kukolea kimahaba na msanii mwenzake hadi kufikia kiasi cha kufanya kweli badala ya maigizo kama ilivyotakiwa. Kwa sasa wengi miongoni mwa mashabiki wake wamechukizwa na kitendo chake hicho, na hii imemletea picha na sifa mbaya katika Tasnia ya Uigizaji na jamii kwa ujumla.




No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets