Sunday, August 4, 2013

Wanahabari Watatu Wafariki Dunia katika Ajali ya Gari


Umoja wa Wnahabari wa Nigeria (NUJ) Ijumaa hii ulipatwa na pigo kubwa baada ya kuondokewa na wanahabari wake watatu huku wengine zaidi ya Wanne wakijeruhiwa vibaya.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 12 jioni maeneo ya Ilesa, Jimbo la Osun wakati wanahabaro hao walipokuwa wakirudi kutoka katika mkutano Huko Abuja. Mmoja wa majeruhi Bw. Gbenga Opadotun amesema sababu ya kupata ajali hiyo ni mwendo kasi wa gari na kisha Tairi la Mbele Likapasuka.

Baada ya kupasuka kwa tairi la mbele, geri hilo lilipinduka zaidi ya mara nne na kusimamia katika Pori ambapo baadhi ya waliofariki walirushwa hadi nje ya gari kutokana na kutofunga Mikanda.

Wanaume wa Umri sawa nami ni Watoto, Hawaniwezi, Afunguka Msanii wa Movie.


Msanii wa Nolly Wood ambaye ana Mvuto wa Kipekee Kiumbo na Kimapenzi, Uche Jombo,  amesema ya kwamba Yeye si Mungu hivyo hana uwezo wa kuchunga hisia za Mwenza wake ingawa kwa upande wake hakuna nafasi ya usaliti.

Uche aliendelea kufunga alipokuwa akihojiwa na Television Moja kuhusu Movie yake mpya iitwayo
 "Un Conditional" na kusema ya kwamba kamwe hajawahi kutembea na wavulana wadogo kuliko umri wake Pia wanaume wa umri wake anawaona kama watoto, hawana jipya.

Hoteli Hii Inauza Nyama za Binadamu, Wananchi watahadharishwa Kuwa Makini



Polisi wapatao 11 walivamia Hoteli hiyo (Jina Limehifadhiwa) ambayo ipo karibu na soko la Okwodu Huku Anambra na kukuta vichwa viwili vya binadamu vikionesha kuuawa muda si mrefu.

Polisi hao walipewa taarifa na Wasamaria wema kuhusu kuwa na mashaka na mwenendo wa Hoteli hiyo na ndipo Jeshi la Polisi lilipofanya uvamizi huo na kujionea mambo hayo, Pia Polisi waliweza Bunduki Mbili, Kofia Mbili za Jeshi na Mizunguko 40 ya Risasi pamoja na simu kibao za Mkononi.

" Kila nikiwa nakuja Sokoni nimekuwa nikijionea hali isiyokuwa ya kawaida na mizunguko ya ajabu karibu na Hoteli hiyo, kuna kipindi huwa nawaona watu wa hatari hatari ambao huwa wanatia wasiwasi wakiingia na kutoka hotelini hapo, hivyo sijashtuka kuoona wamevamiwa na polisi asubuhi ya Jana" Alisema Muuza Mboga Katika Eneo Hilo.

Pia Mchungaji mmoja aliwahi kuwadokeza Polisi kuhusu Kulipishwa Bei isiyokuwa ya kawaida baada ya kula nyama Hotelini hapo. Hakujua ya kwamba ni nyama ya Binadamu.


Mashabiki wameapa kumtosa Beverly Baada ya Kufanya Map3nz! Hadharani na Angello


Kufuatia Kitendo chake cha Kukubali Ku Megwa Kirahisi na Mshiriki Mwenzie Kutoka South Africa, Tena Katika Jacuzzi Ile hali jamii inamwona, Mashabiki kutoka nchini Nigeria wamesema hawatampigia Kura za Kumbakisha Mwakilishi wao Huyo Kutokana na kitendo chake hicho kwani kawaaibisha Mno.

Wanawake wenye jinsia Mbili, Huoa na Kuolewa.



Siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa michezo ya ajabu kufanywa na Wasichana, pia wavulana hususan katika suala zima la kujibadilisha jinsia kutoka aliyokupa Mola wako na kujipachika Unayoihusudu wewe kwa matamanio yako.

Pia hiyo ni hali halisi ya mambo yalivyo hivi sasa kwani kuna wasichana wamegeuka wanaume na wengine wanabakisha zote mbili, huu ni mwisho wa dunia.

Mchungaji Anayejihusisha na Vitendo vya Ushoga Ahukumiwa Kifungo


Mchungaji wa Kanisa la Pentecost Huko Benin amehukumiwa kwenda jela baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na vitendo vya Kulawiti Waumini wake. Hayo yalibainika baada ya mmoja wa waumini hao kijana mwenye umri wa miaka 15 kueleza kila kitu kwa wazazi wake huku akisisitiza ya kwamba ni Mungu amemshawishi aseme ukweli huo.

Kwa Upande wake Mchungaji huyo Phili Ogbebor, 42, amesema ya kwamba hana wa kumlaumu juu ya makosa yake na anamwachia Mungu Apitishe Hukumu ya Haki.

Bill Clinton Atua Dar Es Salaam Kimya Kimya!!!


Dar es Salaam. Rais wa Mstaafu wa Marekani, Bill Clinton jana alifanya ziara katika makazi ya watu duni eneo la Vingunguti, wilayani Ilala Dar es Salaam, ambapo alikagua miradi midogomidogo ya wananchi inayofadhiliwa na mfuko wake (Bill Clinton Foundation).
Clinton alitembelea eneo hilo akitokea moja kwa moja Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam (JNIA), alipowasili akiwa katika ziara ya nchi mbalimbali za Afrika kukagua miradi inayoendeshwa na mfuko wake.
Katika eneo hilo rais huyo mstaafu alipokewa kwa shamrashamra mbalimbali ikiwamo ngoma za kiasili huku baadhi ya wananchi wakipigwa butwaa na kutoamini macho yao kwa kiongozi huyo kutembelea makazi yao.
Aidha, Clinton alipata wasaa wa kusalimiana na wakazi wa Vingunguti wakiwamo watoto ambao walishindwa kuzuia hisia zao wakijaribu kumsogelea, hali iliyomsukuma Clinton kuwasogelea na kuwasalimia kwa kuwashika mikono.
Maneno ya ‘Welcome Vingunguti Clinton‘ yalisisika kutoka kwa wananchi kuashiria kumkaribisha rais huyo wa 42 wa Marekani wakati alipowasalimia akitumia takriban dakika 15.
Clinton alikagua miradi ya midogomodogo ya wananchi iliyo chini ya mfuko wake ikiratibiwa na kutekelezwa na Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (Plan) pamoja na Benki ya Barclays kupitia Vikoba.
Miradi aliyokagua ni pamoja na saluni za kinamama, ushonaji na chips ambapo pia alishuhudia mmoja wa wanachama wa vikundi hivyo akikabidhiwa mkopo wa Sh100,000 ambaye alieleza mbele ya Clinton kuwa atazitumia kwa mradi wa maandazi, hali iliyomfanya rais huyo na umati wa watu uliohudhuria kucheka.
Akizungumza katika ziara hiyo Clinton alizishauri benki nchini, kuwekeza kwenye vikundi vya kuweka na kukopa (Vikoba) akieleza kuwa ndiyo mkombozi kwa wananchi hasa wanawake.
“Nimekuwa kwenye miradi hii kwa miaka 30 kabla sijawa rais, hivyo basi najua umuhimu wake. Benki zinatakiwa zisaidie Vikoba kwani vikundi hivyo huwafikia wananchi kwa haraka na wepesi hivyo basi kunahitajika njia mbadala za kuhakikisha vinakuwa imara,” alisema Clinton na kuongeza;
“ Raha ya maendeleo ni kuona watu wanajitegemea wenyewe katika shughuli za kujiingizia kipato.”
Mmoja wa wananchi walionufaika, Zainab Paul ambaye ni mwanachama wa Kikundi cha Amani Hisa alisema kuwa kupitia Mfuko wa Bill Clinton na Vikoba ameweza kujikwamua kimaisha ikiwamo kumlipa mtoto wake karo ya shule.
“Kikundi chetu kina wanachama 30 na huwa tunanunua hisa kwa Sh2000 na kila mwanachama anaruhusiwa kukopa zaidi ya mara tatu,” alisema Paul.

Source:Mwananchi.

Mwalimu wa Miaka 22 ajihusisha kimapenzi na Mvulana wa miaka 15.

Kalee Warnick


Mwalimu wa Somo la Kiingeeza katika Shule ya Wall huko New Jersey anakabiliwa na shitaka la matumizi mabaya ya madaraka na kumlazimisha mapenzi mwanafunzi wake wa miaka 15.

Kalee Warnick,22, alikamatwa Jumanne iliyopita kwa kosa hilo la kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mtoto, kesi yake imepangwa kusikilizwa Alhamisi Ijayo hata hivyo wakili wa mwalimu huyo Amesema ya kwamba mteja wake amepanga kukana mashtaka yanayomkabili.

Shule hiyo ambayo mwalimu huyo pia alisoma na kumaliza mwaka 2008

Saturday, August 3, 2013

Angalia Jinsi Demu wa Angelo Alivyo Mzuri, Kwanini anababaika na Beverly?


Wadau wamewezamkuzipata picha za Mpenzi waMshiriki wa BBA The Chase kutoka South Africa Angelo Collins, pamoja na baadhi ya Tweet zake kuhusiana na Mapenzi yao, Kilichowaacha midomo wazi ni uzuri wa binti huyo ukifananisha na Mwanamke aliyemvagaa Kijana huyo, Beverly Osu Kutoka Nchini Nigeria.

Angalia Picha hapo chini Kisha useme mwenyewe.





 

CANDY MISSCOCA

 




 

VS 
Beverly



David Beckham Aingia Katika Filamu Baada ya Kustaafu Mpira



Aliyekuwa Mchezaji wa PSV Kabla ya Kustaafu, David Beckham ameonesha nia ya kuingia katika Uigizaji wa Filamu. Ingawa Mwenyewe hajatoa maamuzi ya mwisho rasmi,Becks anatarajiwa kuleta msisimuko na hasa pale atakapokuwa akiigiza Tamthiliya za Kipelezi na Kijasusi kama za James Bond.

New career path: David, who proved his one screen presence in the short film, could be set to star in his first proper acting role
Miongoni mwa spicha katika filamu ambayo Becks amewahi kuigiza kwa kipande kifupi mno.

Kuna Testesi za nyota huyo kuigiza kama Starring katika Filamu inayokwenda kwa jina la "Kick-Ass" ambapo mkali Samuel L. Jackson anatarajia kumpa Kampani akiigiza kama Adui Mkuu.
Moving on: David played his last game for PSG back in May as he retired form the sport
Mechi ya Mwisho ya Beckham Kucheza kabala ya Kustaafu May 2013.

"VIDEO" Jinsi Askari wa Marekani wanavyowapekua Raia Sehemu za Siri.

-->
Askari wa Texas DPS Trooper wamefunguliwa Mashtaka ya Udhalilishaji dhidi ya Raia kutokana na vitendo vya Upekuzi  Usiokuwa wa kimaadili wanapokuwa kazini.Angalia Video Hizo Mbili Tofauti ujionee mwenyewe jinsi hali ilivyokuwa ikiwakuta wahanga wa matukio hayo.





Serikali na Madawa ya Kulevya!!!

Unakubaliana na Mawazo haya ya Kipanya Kuhusu Madawa ya Kulevya Na Taifa Letu ?

Image Credit: Kipanya.

Gumzo kuhusu Sakata la Mzee Majuto Kuoa kwa Siri Dar!!!!

-->


Chande Abdallah na Haruni Sanchawa
AMINI usiamini, kuna taarifa kwamba gwiji la sanaa za vichekesho nchini, Amri Athumani ‘King Majuto’ almaarufu mzee Majuto amefunga ndoa ya siri ndani ya Mfungo wa Mwezi wa Ramadhani, Risasi Jumamosi limeinyaka.
Tukio hilo limetokea Julai 8, mwaka huu pande za Mbagala Zakhem jijini Dar ambapo mzee Majuto alifunga ndoa na msichana mbichi aitwaye Rehema Omary.
Mzee Majuto aliambatana na wasanii wenzake Suleiman Barafu aliyekuwa mpambe wake na mwingine aliyefahamika kwa jina la utani kama mama Sharon.
Baada ya waandishi wetu kupata taarifa kuhusu tukio hilo, waliwahi kutia timu Mbagala, nyumbani kwa binti huyo.
Baada ya kufika, waandishi wetu walibaini kuwa ni kweli kulikuwa na shamrashamra za ndoa ambayo ilikuwa ikifanyika kwa siri huku watu wakizuiliwa kupiga picha.
Muda mfupi baadaye, gari aina ya Toyota Noah (namba za usajili tunazo) lililowabeba mzee Majuto na wapambe wake liliwasili.
Muoaji akaongozana na wakwe na mashehe kwenda Msikiti wa Aqswa uliopo jirani ambapo ndoa hiyo ilifungwa kisha wakarudi nyumbani ambako cherekochereko ziliendelea.
Paparazi wetu alifanikiwa kujipenyeza na kuonekana kama mmoja wa ndugu na kushuhudia mzee Majuto akikabidhiwa mkewe.
Baada ya robo saa, mzee Majuto na mkewe walitoka ndani ya nyumba hiyo na kuingia kwenye gari hilo aina ya Noah.
Paparazi wetu alipojaribu ‘kufotoa’ picha kadhaa, alisababisha kuzuka kwa  kizaazaa kwa wanandugu waliomlazimisha kuzifuta picha hizo ambapo alitii.
Baada ya tukio hilo, waandishi wetu walijaribu kuzungumza na mzee Majuto kwa simu lakini kazi haikuwa nyepesi kwani simu yake ilikuwa ikiita bila ya kupokelewa.
Alilipopigiwa simu mpambe wa bwana harusi, Barafu, alisema hana la kusema na kusisitiza atafutwe mzee Majuto.
Mwandishi wetu alirudi Mbagala kwa mama wa biharusi ambaye alikuwa mkali na kusema kuwa atafutwe mzee Majuto.
Siku hiyohiyo mzee Majuto alipokea simu na kuulizwa kama ni kweli amefunga ndoa na msichana aitwaye Rehema.
Katika hali ya kushangaza, mzee Majuto alicheka sana na kudai kwamba utafiti wake umekakilika. Alipohojiwa ni utafiti gani alisema:
“Nilikuwa nafanya utafiti wa kutaka kuigiza filamu ya ndoa ya siri ndiyo maana nikaenda kule Mbagala lakini sasa nimeamini kwamba hakuna ndoa ya siri,” alisema mzee huyo huku akikwepa kukubali.
Habari zinasema kwamba mzee Majuto anakwepa kukubali kwamba amefunga ndoa kwa kumhofia mkewe wa kwanza ambaye amemuacha jijini Tanga.

Source: GPL

Uhusiano wa Justin Bieber na Selena Gomez ni Kitandani tu!!


Hay yamedhihirishwa na Bibie Gomez baada ya kubwana na maswali ya waandishi wa habari waliokuwa wakimuhoji vipi anaweza kumwacha Justine Bieber Anatoka kwenda Night Clubs Peke yake na Kutombana kama wapenzi wengine wafanyavyo? Alijibu:-

“I’ve known him for a really long time and we enjoy each other’s company every now and then,” said Gomez. “But I’m definitely single and enjoying being that.”
“Enjoy each other’s company every now and then,” 

Akaulizwa Tena?

 Why don’t you just admit to your fans that you and the Biebs are bed buddies! See ya later" Selena.

Rais Kikwete Amvaa Kagame, Asisitiza kuhusu Umuhimu wa Amani kwa Mataifa yote.


Dar es Salaam: Kwa mara ya kwanza Rais Jakaya Kikwete amemtolea uvivu Rais wa Rwanda, Paul Kagame kutokana na kitendo chake cha kumtolea lugha za matusi baada ya kumshauri kukaa meza moja na vikundi vya waasi wa nchi yake (FDLR), huku akimtaka kuacha kukuza mgogoro usiokuwepo.
Rais Kikwete alitoa ushauri huo kwa Rwanda takribani miezi miwili iliyopita wakati akizungumza katika kikao cha Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika mapema mwaka huu, mjini Addis Ababa, Ethiopia, ambao ulikuwa ukijadili suala la amani ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) pamoja na Ukanda wa Maziwa Makuu.
Ushauri huo pia uliwagusa Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Joseph Kabila (DRC), ambao aliwataka kufanya mazungumzo na waasi wanaopingana na Serikali zao. Akizungumza katika hotuba yake ya kila mwezi Rais Kikwete alisema: “Ushauri ule niliutoa kwa nia njema kabisa, kwani bado naamini kuwa kama jambo linaweza kumalizwa kwa njia ya mazungumzo njia hiyo ni vyema itumike,”
“Isitoshe, ushauri ule niliutoa pia kwa Serikali ya Congo , Serikali ya Uganda. Katika mkutano ule Rais Museveni wa Uganda aliunga mkono kauli yangu. Rais Kagame hakusema chochote pale mkutanoni. Baada ya kurudi nyumbani ndipo tukaanza kuyasikia maneno tuliyoyasikia na tunayoendelea kuyasikia.”
Alisisitiza, “Kwa upande wangu sijasema lolote kuhusu Rwanda pamoja na maneno mengi ya matusi na kejeli yanayotoka kwenye vinywa vya viongozi wa Rwanda dhidi yangu. Siyo kwamba siambiwi yanayosemwa au sijui kusema au sina la kusema, la hasha, sijafanya hivyo kwa sababu sioni faida yake.”
Rais Kagame alitoa lugha zisizostahili dhidi ya Rais Kikwete katika sherehe ya kuhitimu mafunzo ya kijeshi ya maofisa 45 wa jeshi lake Julai mwaka huu, ambapo alisema ushauri wa kufanya mazungumzo na waasi wa FDLR ni ujinga na haupo katika historia ya Wanyarwanda.
“Nilinyamaza kimya kwa sababu sikupenda kusikiliza ushauri kuhusu FDLR, kwa sababu nafikiri ni upuuzi ulioambatana na ujinga. Hatuwezi kuacha maisha yetu kama Wanyarwanda tunavyoishi sasa. Ushauri wa Kikwete ni sawa na kucheza na makaburi ya watu wengi ambao ni ndugu zetu,” alisema Kagame.
Katika hotuba ya jana Rais Kikwete alisema uhusiano wa Tanzania na Rwanda unapitia katika wakati mgumu na mtikisiko, baada ya yeye kutoa ushauri kwa Serikali ya Rwanda kuzungumza na mahasimu wao na kwamba hilo linadhihirika katika kauli zinazotolewa na viongozi wa Rwanda.
“Napenda kuwahakikishia Watanzania wenzangu na ndugu zetu wa Rwanda kuwa mimi, Serikali ninayoiongoza na wananchi wa Tanzania ,tunapenda kuwa na uhusiano mzuri na ushirikiano wa karibu na Rwanda kama ilivyo kwa nchi zote jirani” alisema Rais Kikwete.
Alisema nchi hizo ni jirani na kila moja inamuhitaji mwenzake, hivyo lazima ziwe na uhusiano mwema na ushirikiano mzuri.
“Nasisitiza kuwa mimi na Serikali ninayoiongoza tutakuwa wa mwisho kufanya kitendo au vitendo vibaya dhidi ya Rwanda au nchi yoyote jirani au yoyote duniani. Hatuna sababu ya kufanya hivyo, kwani ni mambo ambayo hayana tija wala masilahi kwetu” alisema.
Alisema nchi hizo mbili zimekuwa zikijihusisha na mambo ya kukuza na kujenga ujirani mwema, kusisitiza kwamba hiyo ni moja ya nguzo kuu ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania.
Chanzo:- Mwananchi

Eniola Auliza Mashabiki kuhusu kuwa Dada yake Rick Ross!!


Yule mwanamke mnene na anayekula kushinda wanawake wa Nigeria, Eniola Badmus ameandika katika page yake ya Instagram ikiwauliza wadau ya kwamba vipi kila mtu anamfananisha na Mwanamuziki kutoka Marekani, Rapper Rick Ross, yawezekana akawa dadake? Angalia picha mwenyewe kisha toa tathmini yako.

Kutoka BBA The Chase, Angelo na Beverly "Wafanya Mapenz* Bafuni!!





Wiki Mbili zilizopita Washiriki hao wawili wali make Head Lines baada ya Kusambaa picha zinazoonesha wakichezeana kimahaba kiasi cha kupelekea Angelo kumwingiza Kidole Huyo bibie kunako .......!!! Sasa Jana wameamua kuupeleka uhusiano wao to the next level baada yakuamua kumaliza mambo yao kabisa bafuni katika hilo Jacuzzi kama unavyowaona.

Friday, August 2, 2013

Bow Wow Avunja Ukimya, Amla "DENDA" Tyra Banks Live Katika TV Show Interview.



Ikiaminika na Wengi wa Raia kutoka Marekani kuhusu kutamani na jinsi ambavyo wengi wa wanaume wanatamani wapate nafasi ya kuwakumbatia na hasa Kuwabusu Walimbwende Kama Tyra Banks, Juz Mwanamuzi Bow Wow aliukata Mzizi wa Fitina kwa Upande wake kwani ali Wish Kumbusu Super Model huyo na akapewa nafasi hiyo akiwa kama Mgeni mualikwa wakati Tyra Akirusha Kipindi cha BET's 106 & Park Music Video Show.

Bow Wow akamkamata kisawasawa Model huyo na kuanza kujimwaya mwaya nae Huku Kipindi kikiwa kinarushwa Moja kwa Moja Hewani.

Kutana na Tilya, Mrembo wa Kitanzania Mpenzi wa Msanii wa Kundi La Bracket.





Tilya ni Msichana mwenye Asili ya Kitanzania, Mkazi wa Minneapolis, Minnesota Kikazi ni Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni yao na Pia ni Blogger.

Mwanadada huyu yupo katika uhusiano wa kimapenzi na Nwachukwu Ozioko, Maarufu kama Vast, Mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Bracket, wazee wa "Yori Yori" So Shemejiii wetu huyu ni kama Alimdediketia dadaetu cjui kale ka wimbo kazuri cha Yori Yori?!!!


Majanga ONA Majanga!!!! Mpaka Kieleweke Leo!!


Kama kawaida, Cheka Upate Afya, leo nakuletea Picha niliyoipata katika mtandao wa kijamii huku ikiwa Commented ya Kwamba Mpare Utamjua Tu!!!! Walionaje hili?

Mwenye Nyumba Afumaniwa Akifanya Mapenzi na Mpangaji wake.


Kwa Mujibu wa GN Blog, ni kwamba mama mmoja aliyejazia na umbo kubwa ambaye ni mmiliki wa Duka Moja Maarufu huko Lagos, Nigeria, Amekutwa Akijiachia na Mwenye Nyumba ya Kupanga wanayoishi na mumewe karibu na Maeneo ya Ikorodo.

Imeelezwa kwamba Mume wa Mwanamke huyo maarufu kama Mama Kele, alimuajiri mtu akaiweke kamera ya siri katika chumba cha mwenye nyumba huyo, baada ya kupata tetesi ya kwamba mke wake huyo alikuwa akimlipa mwenye nyumba huyo kodi ya "Penzi"

Video hiyo iliyoonesha kila kitu imemfanya mwenye nyumba huyo kutoonekana maeneo hayo anayoishi na pia Baba Kele, amelifunga duka la mkewe na kumpeleke mwanamke huyo kwao.

Mke anaswa Akijivinjari na Hawara Ndani ya Chumba cha Mumewe, Angalia Yaliyomkuta Mgoni huyo!!!




TIMBWILI zito limeibuka baada ya mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samora kumnasa ‘live’ mkewe Hadija akimsaliti kwa kuvunja amri ya 7 (usizini) na hawara ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tena kwenye chumba chao, Ijumaa lina ishu kamili.

Mshangao: mtuhumiwa akikodoa macho baada ya kunaswa live na mke wa mtu chumbani kwa mwenye mali.
Habari kutoka chanzo cha uhakika kilitonya kuwa Samora na Hadija ni wanandoa waliooana Bomani pale Magomeni, Dar, mwaka 2009 na katika ndoa yao wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume.
Tukio hilo la fumanizi lilijiri maeneo ya Kinondoni-Kwamsisiri, Dar nyumbani kwa wanandoa hao, majira ya saa 1:00 usiku, Julai 29, mwaka huu.
Aibu: mtuhumiwa akijaribu kuficha sura yake baada ya fumanizi hilo.
NDOA YATUMBUKIA NYONGO
Habari zilieleza kuwa mwanzoni mwa mwaka huu, ndoa ya wawili hao ilitumbukia nyongo na kuingia kwenye mgogoro ambapo pamoja na kuweka mambo sawa, waliendelea kukwaruzana mara kwa mara.
Mshangao: Nisameheni jamani!
CHANZO NI NINI?
Ilidaiwa kuwa chanzo cha wawili hao kuhitilafiana ni kutokana na mwanaume kumtuhumu mkewe kutoa tunda nje ya ndoa.
Ikasemekana kuwa baadaye wapambe walimfuata Samora na kumtonya kuwa mkewe amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na kidume mwingine nje ya ndoa yao ndiyo maana amekuwa akimletea nyodo ‘mapichapicha’.
Iliendelea kudaiwa kuwa baada ya ndoa kutibuka, Samora alikuwa mnyonge na mwenye msongo wa mawazo hivyo ikabidi aikimbie nyumba kwa muda na kwenda kwa wazazi wake.
Ilisemekana kuwa, Samora alirejea nyumbani huku akifanya uchunguzi wa nguvu akiwatumia majirani kumpatia taarifa kuhusu kila mwanaume aliyeingia na kutoka nyumbani kwake yeye akiwa hayupo.
Bwana Samora akiwa na mkewe Hadija siku ya harusi yao.
KUMBE NI RWEKAZA
Uchunguzi wa Samora ulibaini kuwa, Hadija alikuwa ‘akibanjuka’ nje ya ndoa na mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Rwekaza ambaye ni mfanyakazi serikalini.
Habari za kina zilisema kuwa, Samora alitonywa kwamba jamaa alikuwa akitimba na gari aina ya Suzuki Swift 1.3 na siku nyingine alikuwa akilala hadi asubuhi bila tone la soni kuwa Hadija ni mke wa mtu.
Samora na Hadija wakiwa na wapambe wao siku ya harusi.
SAMORA AJIPANGA
Baada ya kupata uhakika huo ndipo Samora akajipanga kwa kuwatafuta vijana wa mtaani ili Rwekaza atakapofika nyumbani hapo kulala na mkewe wamvamie na kumfanyizia.
Mshikemshike: Samora (wa tatu kushoto) na wapambe wake wakitaka kumshushia kichapo mtuhumiwa.
RWEKAZA MTEGONI
Bila kufahamu kuwa anasubiriwa kwa hamu majira yaa saa 1:00 usiku, Rwekaza huyooo, akatinga nyumbani hapo na moja kwa moja akafikia chumbani kama kawaida yake.
Wakiwa chumbani, ilidaiwa kuwa waliendelea na mambo yao huku Rwekaza akiwa tumbo wazi na suruali yake amefungua zipu huku Hadija akiwa amesaula na kubaki na ‘kufuli’, kisha akajifunga khanga moja.
Hasira: Samora (kushoto) akimkunja mwizi wake baada ya kumfumania.
FUMANIZI KABANG’
Katika fumanizi hilo, Samora alitinga chumbani humo akiwa ameambatana na kundi la vijana kibao ambao walikuwa na lengo moja tu, kumfanyia kitu mbaya Rwekaza.
Wakiwa chumbani, kuliibuka bonge la timbwili baada ya Samora kumshuhudia mwenza wake aliyekula kiapo cha kutotengana naye akisaliti ‘laivu’ penzi lao.
Baada ya kuona machafuko makubwa ya hali ya hewa chumbani, mwanahabari wetu aliwataarifa polisi katika Kituo cha Kwamsisiri ambao walifika maeneo hayo na kufanya kazi kubwa na nzuri ya kuepusha balaa au mauaji kwa kuwa Samora alikuwa na hasira kali.
Albamu ikionyesha picha walizopiga Samora na mkewe Hadija wakati wakisaini kitabu cha ndoa.
KWELI NI MKE WA NDOA?
Ili kuthibitisha kuwa ni mkewe wa ndoa, Samora alizama kabatini na kuchomoa cheti cha ndoa na picha walizopiga siku ya ndoa yao zikiwaonesha wakiwa na tabasamu la ‘mimi na wewe milele’ kabla ya shetani ‘kufanya yake’ kwenye unganiko lao.
Wananchi wakiwa nje ya nyumba alipofumaniwa bwana Rwekaza.
MAJIRANI
Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo liliwasikitisha wengi huku wakiamini kabisa kuwa ni nadra matukio ya mafumanizi kutokea katika kipindi cha mfungo.
“Jamani hata Mwezi Mtukufu? Ni aibu sana kwa mke kuingiza mwanaume mwingine kwenye chumba cha mumewe. Kweli hili fumanizi ni kiboko,” alisikika mmoja wa majirani hao walioshuhudia tukio hilo muda mfupi baada ya kufuturu.
Gari la mtuhumiwa aina ya Suzuki Swift 1.3 likiwa nje ya nyumba alipofumaniwa.
SAKATA LINAENDELEA
Hadi gazeti hili linaondoka eneo la tukio wahusika wote walikuwa kituoni hapo hivyo tunaendelea kulifuatilia sakata hilo kwa karibu sana na pia kuwapata wahusika wazungumzie kilichojiri.

CHANZO: GPL

Kipanya na Uhaba wa Fedha


-->

Yawezaekana Hili Likaja Tokea, Wenye Pesa Zao Wakae Chonjo.

Thursday, August 1, 2013

Wanaume wenye KORODANI( "MAPUMBU") Makubwa wapo hatarini kupata Magonjwa ya Moyo



Daah, sasa kwa wale wenzangu na mimi ambao tuna mizigo mikubwa naomba tukae vizuri na tuelewane ya kwamba Silaha Pesa, Kisu Mzigo.

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Florance Huku Uingereza umebaini ya kwamba Wnaume wenye Korodani "Mapumbu" Kubwa wapo hatarini Kupata Shinikizo na Damu na wengi wao hupendelea kunywa Pombe kupindukia.

Pamoja na hayo hawakusema ni kipi hasa kinapelekea Baadhi ya Wanaume kuwa na Korodani Kubwa. Wanasayansi hao waliweza kuwapima Wanaume 2,809 ambao walikuwa wanahudhuria Clinic za Afya ya Uzazi ambapo walikuwa wakiwapima saizi ya Korodani hizo na kiwango cha Hormone na kuwa wanawafatilia kwa uangalizi wa kipindi cha miaka Saba.

Kwa kipindi hiki waligundua ya kwamba wanaume wenye Korodani Kubwa ndio waliokuwa na matatizo ya Moyo sana, Pia waligundua wanaume hao wenye Korodani Kubwa walikuwa na Luteinising Hormone ambayo huathiri saizi ya Korodani hizo.




Men with large testicles are also more likely to be hospitalised with heart problems and tend to be heavier, drink more alcohol, and to have higher blood pressure


Hormone Hiyo huwa na Athari katika Moyo, Ingawa Tafiti zilizopita zilibainisha Ufanisi katika suala zima la Uzazi katika Wanaume wenye Korodani Kubwa, Tafiti hii inapingana na hiyo ya kuzikombatia zilizopita.
Blogger Widgets