Thursday, August 1, 2013

Wanaume wenye KORODANI( "MAPUMBU") Makubwa wapo hatarini kupata Magonjwa ya Moyo



Daah, sasa kwa wale wenzangu na mimi ambao tuna mizigo mikubwa naomba tukae vizuri na tuelewane ya kwamba Silaha Pesa, Kisu Mzigo.

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Florance Huku Uingereza umebaini ya kwamba Wnaume wenye Korodani "Mapumbu" Kubwa wapo hatarini Kupata Shinikizo na Damu na wengi wao hupendelea kunywa Pombe kupindukia.

Pamoja na hayo hawakusema ni kipi hasa kinapelekea Baadhi ya Wanaume kuwa na Korodani Kubwa. Wanasayansi hao waliweza kuwapima Wanaume 2,809 ambao walikuwa wanahudhuria Clinic za Afya ya Uzazi ambapo walikuwa wakiwapima saizi ya Korodani hizo na kiwango cha Hormone na kuwa wanawafatilia kwa uangalizi wa kipindi cha miaka Saba.

Kwa kipindi hiki waligundua ya kwamba wanaume wenye Korodani Kubwa ndio waliokuwa na matatizo ya Moyo sana, Pia waligundua wanaume hao wenye Korodani Kubwa walikuwa na Luteinising Hormone ambayo huathiri saizi ya Korodani hizo.




Men with large testicles are also more likely to be hospitalised with heart problems and tend to be heavier, drink more alcohol, and to have higher blood pressure


Hormone Hiyo huwa na Athari katika Moyo, Ingawa Tafiti zilizopita zilibainisha Ufanisi katika suala zima la Uzazi katika Wanaume wenye Korodani Kubwa, Tafiti hii inapingana na hiyo ya kuzikombatia zilizopita.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets