Friday, January 25, 2013

2013 Ya " Shilole"!!!


--> Mwanadada asiyeishiwa na vituko, zainab Mohamed, Shilole, ameng'aa katika mitandao mbali mbali ya kijamii na muonekano wake mpya ambao yeye binafsi ameuita ndo wa mwaka 2013, vp jmani mnauonaje?

Thursday, January 24, 2013

Aibu Mke wa Mtu

-->

Pia katika gazeti la amani.

UDAKU Katika Magazeti

Hii ipo katika gazate la Amani la Leo
-->

Wednesday, January 23, 2013

VIDEO ya "KIMAPENZI" Alingo ya P Squire yapigwa Marufuku

Video ya nyimbo mpya ya Vijana wa kundi la P squire, "ALINGO"  imepigwa marufuku nchini Nigeria na NBC Kutokana na kile kilichosemwa inahamasisha ngono nma wanawake wa humo ndani wamekaa kihasa hasara mno. Iangalie Video hiyo hapo chini. -->

Monday, January 21, 2013

Tumbo la Shakira lazidi kujaa

Msanii na balozi wa UNICEF, Mrembo shakira ambaye kwa sasa ana Ujauzito wa mchezaji wa Barca, Pique, Amedakwa akiliachia tumbo lake ambapo soon anatarajiwa kujifungua.

Picha ya Justin Bieber akionesha Tako Yavuja.

Mwanamuzi kijana mwenye utajiri wa kutosha, raia kutoka nchini Canada ameanza kukumbwa na scandals za aina yake baada ya kuvuja kwa picha yake hii katika mitindao mbali mbali. jionee mwenyewe.

Sunday, January 20, 2013

Nyoka atoka Sehemu za Siri za Mwanamke Baada ya" Kufanyiwa Maombi"

-->
Hawa wachawi na teknolojia yao ya giza katika karne hii ya sayansi na teknolojia wanazidi kutuonesha maajabu yao. Baada ya mwanamke mmoja kusumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu ndipo alipoaamua kwenda kwa mchungaji mmoja kufanyiwa maombi huenda Mungu akasikia kilio chake, kioja kilitokea hapo ambapo mwanamke huyo alipohisi kuna kitu kina mtoka sehemu za siri na ndipo nyoa huyo mwenye urefu wa nchi 20 alipotoka katika ikulu zake.Baada ya tukio hilo mwanadad huyo alisema kuwa alikuwa na tabia ya kulalal na wanaume tofauti tofauti ambapo kila mwanaume atayekubali kulala nae hupata ugonjwa wa ajabu ambao hautibiki hospitali, kifupi alikuwa akiwachezea.

Saturday, January 19, 2013

Unenguaji wa Beverly Hautuogopeshi - Girls la Musica

Beverly Sibanda
Girls la Musica
Makundi mawili mahisimu ya wanenguaji nchini Zimbabwe, hapa namzungumzia Berverly Sibanda na kundi lake la " Dancing Angels" na mahasimu wao Girls la musica, wamefunguka juu ya upinzani uliopo baina yao. Katika mahojiano yao kundi la Girls la Musica limesema kwamba hawatishiwi na Bev na kundi lake zaidi zaidi wanawaona kama watu wasiokuwa na maadili.

Angalia "Fumanizi" Kimada afumwa na Mwenye Mume

-->
Mwanamke mmoja nchini South Africa ameuanza Mwaka 2013 vibaya baada ya kupokea kichapo cha haja na kuvuliwa nguo hadharani. Tukio hilo limetokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya ambapo mke alimwambia mumewe kuwa anakwenda kanisani kwa ajili ya mkesha huo na ndipo njemba hiyo ikautumia mwanya huo kumualika nyumbani kimada wake, baada ya kula raha zao walipitiwa na usingizi na ndipo mke wa halali aliporudi nyumbani na kumjazia watu mumewe huku akimkwida kimada huyo na kumsaula nguo!

"Naskiliza Hii, Kisha Naenda Kufanya Mapenzi na Mume Wangu" Beyonce

-->

Msanii mwenye mvuto wa kipekee wa kimapenzi mwanadada Beyonce, ameng'aa katika jarida la GQ Huku akijishaua na kuseme " Kwa sasa nasikiliza wimbo wa make love to me, kisha naenda ku make love na mume wangu" Kwa mujibu wa jarida la GQ Beyonce ndio mwanamke mwenye mvuto wa kimapenzi zaidi kwa mwaka 2012.

Friday, January 18, 2013

Picha za utupu kama Ushahidi zapatikana



Hii ni katika kesi inayomkabili mwanada Jodi Arias ambaye mnamo mwaka 2008 alimua Mpenzi wake wa muda Mrefu Travis Alexander huku akijitetea kwamba ni Self Defense. Picha hizo zimekutwa katika kamera ya Marehemu huyo, ambaye mtuhumiwa awali alidai kuwa walikuwa ni marafik tu.

Thursday, January 17, 2013

VIDEO -"Ukahaba" Haiti NDIO Kiinua mgongo

Huku Tanzania tunajivunia kwamba Kilimo ndio Uti wa Mgongo wetu, lakini sehemu nyingine Duniani, Ukahaba na Kujiuza ndio shughuli ya kujiingizia kipato inayotegemewa na sehemu kubwa ya wanajamii. Angalia Video hiyo.

VIDEO - Ukahaba unaofanywa na wanafunzi wa Vyuoni huko Ashaiman Ghana

-->

Cossy apiga Picha za Utupu

-->

Kutokana na kisanga hicho, Muigizaji kutoka nchini Nigeria, Mwanadada Cossy O. Amewaomba radhi mashabiki wake na jamii nzima kwa ujumla kutokana na kuzagaa kwa picha zake za kimitego mtandaoni. Kupitia akaunti yake ya twitter amesema kwamba hakutarajia kama mambo yangekuwa hivyo. -->

Wednesday, January 16, 2013

Baby Madaha Akanusha kuwa na Uhusiano wa Kimapenzi na Slim

-->
--> Msanii Baby Joseph Maarufu kama Baby Madaha amekanusha habari zinazozagaa mtaani kwamba ana uhusiano wa kimapenzi na Slim. Baby aliongeza kuwa yeye na Slim ni mtu na Shemeji yake na kwamba wamekuwa karibu siku za hivi karibuni kutokana na kumshirikisha Slim katika Video yake Mpya. Kwake yeye ni Bora Maisha ya U single kuliko kujihusisha katika Mapenzi Tena.

Demi Moore, Mama wa Miaka 50 ndani ya Bikini.

-->
Demi Moore mwana mama miaka 50, Muigizaji huyo wa Holly wood wiki iliyopita aliamua kwenda Mexico kupumzika, ambapo alishuhudiwa ufukweni na kamera za wadaku akiwa ndani ya Bikini huku mwili mzima akijiweka michanga, kitendo ambacho kimezoeleka kinafanywa na mabinti wa miaka 20 hivi hadi 25.

Tuesday, January 15, 2013

Kim Kujifungua Mwezi wa Saba

Mpenzi wa Kanye West, Kim Kardashian anatarajia kujifungua mwezi wa Saba mwaka Huu. Kupitia Mahojiano na kipindi kimoja cha Televisheni nchini Marekani Kim akiwa dada yake Kourtney amesema kuwa anafurahi tarehe yake ya kujifungua kuangukia mwezi huo kwani ni sawa na mwezi ambao Kourtney alijifungua, mbali na haya ni mwezi ambao ambao Prince William na Mkewe wanatarajia kupata mtoto. "Vitu hivi huwa havipangwi, ni Bahati tu, Na kuhusu ndoa sipendi kulizungumzi kwa sasa kwani tumeweka nguvu zetu katika ujauzito tu" Ameeleza.

Demu wa Iyanya Anapobananishwa na Njemba Nyingine

Sura ya Mwanadada Yvone Nelson si Ngeni Miongoni mwetu hasa kwa Scandal na Mabalaa yake hususan kusumbuliwa na masuala ya mapenzi, sasa haijaeleweka Rasmi ndo hivyo tena na Msanii mwenzange Iyanya au walikuwa wanachangamsha damu na Majid Michael.

Mgombea Urais Aliyejipiga Tattoo Uso Mzima

Ni kioja lakiniUkweli ndio huo, hiyo ndio sura ya Vladimir Franz, mgombea Uraisi wa Czech Republic ambaye anashika nafasi ya tatu miongoni mwa wagombea tisa wa nafasi hiyo kwa kuwa na asilimia 11.4 katika kura za maoni. Ikiwa jamaa atafanikiwa basi atakuwa mfalme wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na sura ya namna hiyo.
Uchaguzi utafanyika tarehe 25 na 26 mwezi huu. Ambapo Vladimir amesema kwamba Tattoo zake ni kama bustani yake yake Binafsi, na Uraisi si mashindano ya Urembo bali ni kutafuta kiongozi Makini bila Ubaguzi.

Kampuni za Movie za X Zagomea Pendekezo la Kuvaa Condom Kwa Wasanii Wake

Miongoni mwa kampuni kubwa za Movie za Ngono zimejipanga kwenda Mahakani kupinga pendekezo la Sheria mpya ya kuwataka wahusika wake kuvaa Condom Wakiwa "Mzigoni" Miongoni mwa kampuni hizo ni Vivid Entertainment Chini ji la Filamu za Ngonoma Sheria hiyo ya Condom ya Mjini Los Angeles imekusudia Kuharibu Soko lao.

Monday, January 14, 2013

"Kufanya Mapenzi Mara 3-4 kwa Wiki ndo siri Yetu"

-->
Hayo si maneno yangu bali ni maneno ya wapenzi hao wawili, ambao walisema siri kubwa ya uhusiano wao kuwepo hadi leo ni kufanya mapenzi mara 3-4 kwa wiki. Sijui kibongo bongo lipoje hili!

VIDEO - Baada ya Kukosa Ndege ya Kumpleleka Kwao Amwaga Burudani Air port

--> Tukio hilo limetokea Huko Los Angles ambapo binti ajulikanae kwa jina la Angela Trimbur alikosa ndege ya kumpelekea kwao kwa muda alioukusudia, badala ya kukarika au kwenda sehemu kuvuta muda aliamua kutoa buradani ya bure kwa abiria wengine.

Siku ya Kutembea na "Chupi"Duniani




-->







Kweli wazungu akilizao sawa na matope, kabisa mwisho wa mwaka jana waliadhimisha siku ya kukaa uchi duniani ambapo wanachama wanaoshereheke siku hiyo hutoka majumbani kwao na kuelekea katika pilika pilika za hapa na pale za uzalishaji mali au matembezi wakiwa nusu Uchi au na Chupi tu.
Kama itatokea ukimuuliza kulikoni atakujibu kuwa "zinambana, au maneneo ya kulingana na hayo kwa upole" pia katika ukurasa wao wa face book wamwsisitiza na kuzidi kuwaomba watu wajitokeze kwa wingi kushiriki matembezi hayo.
Pia baadhi ya Mashabiki wa Arsenal waliungana nao katika moja ya sehemu za mashabiki wa Club Hiyo.
Hamasa kubwa ilitolewa katika wasafiri wa Treni za Chini ya Ardi Maarufu kama Sub Ways.

Sunday, January 13, 2013

Beverly Sibanda, Mnenguaji anayeingiza chupa Sehemu za Siri.

Kamaanovyoonekana katika picha, Mwanadada Beverly Sibanda amejizolea umaarufu mkubwa kama kanga moja wa bongo kwa staili yake ya kukata mauno huku akiikalia chupa ambayo wakati mwingine huingia ndani ya sehemu zake za siri.
Juz juzi kampuni moja ya vinywaji nchini Zimbabwe ilimpga marufuku mwanadada huyo kutumia chupa za bidhaa zake, na kuongeza kuwa chupa hizo ni kwa ajili ya vinywaji tu na si vinginevyo. Hata hivyo mwanadada huyo aliwaambia kwamba yapasa wamshukuru maana anawatangazia bidhaa zao.

Kijana Alijiwasha moto kupinga ujio wa Raisi wa China

Kijana Jamphel Yeshi Mkazi wa Tibetan aliamua kujionguza moto na kukimbia barabarani katika kufikisha ujumbe miongoni mwa Raia wa India huku Delhi kupinga Ziara ya Raisi wa China Hu Jin Tao Nchini Mwao, picha hiyo imekuwa kama picha ya kushangaza miongoni mwa matukio mengi kwa mwaka 2012.

Kuzaa kwasababisha Britney Spears kukimbiwa na Mchumba wake

Ripoti zimesema kwamba kisa cha Britney Spears kuvunja Uchumba na Jamaa wake wa sasa Jason Trawick kimetokana na Binti huyo kudai kuzaa wakati jamaa hana mpango wa kuwa baba kwa sasa.

Mtoto mwenye Miguu ya Ajabu Afanyiwa Upasuaji


Kijana Meng Weixin, 14, alizaliwa na ugonjwa wa ajabu ambao humpelekea miguu yake kuvimba kama Puto, na vidole vyake kuwa kama machungwa. Kwa kuwa kijana huyo ametoke a katika familia Masikini hakuwa na uwezo wa kumudu gharama za Operation wala matibabu, Shukrani za pekee anazipeleka kwa mwalimu wake wa shule ambaye alichukua picha zake na kuziweka katika mtandao ambapo madakari kutoka hospitali moja Mjini Shanghai waliziona na kuamu akumfanyia Operation hiyo bure. Kijana Meng anatarajiwa kuwa katika hali ya kawaida kwa 70% baada ya kufanyiwa upasuaji kwa awamu tatu hasa kwa mguu wa kulia.

Saturday, January 12, 2013

Lady Gaga Apiga show huku "Makalio" yakiwa wazi


--> Kama kawaida yake msanii asiye ishiwa vituko, lady Gaga katika show yake ya juzi amefanyaa kioja cha aina yake baada ya kuipasua ngua yake ya leather Usawa wa makalio huku akipiga bonge la show kwa mtindo wa Pikikpiki. Imeelezwa kuwa piki piki hiyo baada ya show inatarajiwa kupigwa mnada wa $12,000 sawa na sh milioni 19.2 za Ki Tanzania.

Bob Junior Aoa Kimya Kimya!!

KUTOKANA na ndoa hiyo kuwa ya aina yake, hivi karibuni waandishi wetu walimuweka kati Bob Junior na kumbana kwa maswali  ya “why, kwanini, ikawaje” aoe kimyakimya wakati yeye ndiye ‘prezidaa’ wa masharobaro?
Bob Junior akafunguka: “Nilifunga ndoa Desemba mwaka jana. Nililazimika kuoa kimyakimya kutokana na masharti ya wazazi wa pande zote mbili kwamba ndoa isifungwe kwa mbwembwe.”
Alisema, hata idadi ya wahudhuriaji katika ndoa hiyo ilidhibitiwa, hivyo kuruhusu ndugu na marafiki wachache kushuhudia tukio hilo.
“Kikubwa ni kufunga ndoa inayompendeza Mungu ili atupe Baraka zake na tuishi katika maisha yanayompendeza. 
“Kwa Watanzania, napenda wajue tu ukweli kwamba nimeoa na mke wangu anatarajiwa kujifungua hivi karibuni,” alisema Bob Junior a.k.a Mr. Chocolate.
chanzo:.globalpublishers

Hatiani kwa Picha ya Uchi ya Mugabe

Binti wa miaka 20, Shanteli Rusike, raia wa Zimbambwe Mkesha wa X Mass haukuwa mzuri kwake kwani alikamatwa na kuwekwa ndani kutokana na ku share picha inasemekana kumdhalilisha raisi wa nchi hiyo, Robert Mugabe. Tukio hilo lilimkuta binti huyo ambaye aliikuta picha hiyo katika mtandao na kuanza kuwasambazia rafiki zake ambao baadhi yao walikasirishwa na kitendo hicho na kuamua kumripoti polisi. Kesi yake ipo mahakamani na yupo nje kwa dhamana ya dola 100 za kimarekani. Miaka 5 iliyopita, kijana mwingine wa nchi hiyo alikutwa na picha kama hiyo na kutumikia miezi minne gerezani.

Ufuska na "Vigodoro"



--> Picha hizo zimepigwa katika mikesha ya miziki ya usiku, maarufu kama Vogodoro, angalia jinsi mabinti hao walivyokosa nidhamu na kucheza kihasara hasara, mikesha hii huchochea na kuhamasisha ngono zembe ambayo mwisho wake hupelekea kuongezeka kwa maambukizo ya Virusi vya UKIMWI.

Sexy Omotola na Mwanae

Ingawa mtoto wa nyoka ni nyoka lakini dogo huyo wa nyota wa filamu za kinageria amedhamiria kufuata fani ya baba yake Yaani Urubani. Mtoto huyo mwenye bahati ya kuzaliwa katika familia bora amepiga picha ya Pozi na mama yake ambaye kadri siku zinavyozidi kwenda anazidi kuonekana msichana.

Kumbe hata wasanii "huwachungulia" V.I.P

--> Kamera ya Mdaku imezunguka nyuma ya pazia na kupiga picha hiyo hapo, picha inayoonesha ni jinsi gani hata wasanii hupata burudani ya kuwaangalia mashabiki wao waliofika ukumbini kuwashabikia. kiukweli ni mtego toshaaa.

Shabiki Mshenzi!!!

Kamera ya Mdaku inamfuma jamaa huyo ambaye alikuwa katika watu wa mbele wakati msanii huyo anapiga show, badala ya kutoa mkono kumpa msanii huyo kama mashabiki wengine yeye anaamua kumfunua gauni kabisa, hawa hata bongo wapo, sema kinachookoa kwa bongo ni steji kuwa juu zaidi ambapo huishia kuwa chungulia wasanii wa kike tu.

Friday, January 11, 2013

Mambo ya Mchina

Umati wa wananchi wakishangaa kituko hicho ambacho inasemekana gari ambalo asili yake inatengenezwa China ilipogonga Baskeli ambaye Inatengenezwa Ujerumabi. Matokeo ni kama yanavyoonekana Hapo.

Birthday ya Kinyaiya!!!

PATI ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtangazaji wa Clouds TV, Benny Kinyaiya iliyofanyika hivi karibuni ilitawaliwa na matukio kibao ikiwa ni pamoja na mastaa mbalimbali kupombeka hadi ‘kuzima’. Mpango mzima ulichukua nafasi Januari 8, mwaka huu ndani ya baa ya Benny iliyopo Kinondoni jijini Dar ambapo mastaa kibao walikuwepo.
  Tukio la kudendeka
Tukio lililowaacha midomo wazi waalikwa ni lile la mtangazaji huyo kumlisha keki demu mmoja aitwaye Nash kwa kutumia mdomo kisha kudendekea naye kwa muda. Hata hivyo, nyepesi zilizopatikana baadaye zilidai kuwa, demu huyo ni ‘kifaa’ cha Benny na ndiye aliyeandaa hata keki ya shughuli hiyo.
 Pombe bwerere 
Katika meza za waalikwa kulikuwa na pombe za kila aina ambapo wale ‘vyapombe’….....

Source GPL.

Mwalimu afumwa akifanya Map@nzi na Mvulana wa Miaka 16.

Amie Neely (38) alikamatwa akiwa anafanya mpnzi na mwanafunzi wake huyo mwenye umri wa miaka 16. Inasemekana kuwa mwalimu huyo alikuwa akimtumia sms mara kibao na kumtege zaidi ya mara nne mpaka kijana huyo akaingia katika mtego wake na kuanza mahusiano yao. Inaelezwa kuwa walikuwa wakikutana mara kibao na kufanya mapnz nyumbani kwa mwalimu huyo pindi mumewe anapokuwa safarini.
Kukamatwa kwake kumesababishwa na Fumanizi la Mume wake ambaye alikuwa anafatilia nyendo zake, kupitia GPS ya simu yake aliweza kubaini alipo Mkewe na ndipo alipofika eneo la tukio akamkuta kabananishwa na kijana huyo.
 Kwa sasa mwalimu huyo yupo nje kwa dhamana ya Shilingi Million 25 za kitanzania au $ 15,000/= Na kesi yake ipo mahakamani.

Apple lililooza kwenda Ac Millan

Mbali ya kufananishwa na Aple lililooza na Raisi wa Italia, Mshambuliaji wa Man City, Mario Baloteli ambaye amekuja na kiduku cha rangi ya Blonde ana kila uwezekanO wa kwenda kukipiga huko Ac Millan.

Majonzi Kaburini kwa Kanumba katika Siku ya Yake ya Kuzaliwa

Baadhi ya wanafamilia na wasanii wa Bongo Muvi juzi walikuwa katika kaburi alipolala Marehemu Steven Kanumba kuweka Mashada na Kuwasilisha hisia zao kwa nyota huyo ambapo siku hiyo kama angekuwa hai basi angejumuika nao katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa. Miongoni mwa wasanii hao ni Mainda na Johari.
Blogger Widgets