Saturday, January 19, 2013

Angalia "Fumanizi" Kimada afumwa na Mwenye Mume

-->
Mwanamke mmoja nchini South Africa ameuanza Mwaka 2013 vibaya baada ya kupokea kichapo cha haja na kuvuliwa nguo hadharani. Tukio hilo limetokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya ambapo mke alimwambia mumewe kuwa anakwenda kanisani kwa ajili ya mkesha huo na ndipo njemba hiyo ikautumia mwanya huo kumualika nyumbani kimada wake, baada ya kula raha zao walipitiwa na usingizi na ndipo mke wa halali aliporudi nyumbani na kumjazia watu mumewe huku akimkwida kimada huyo na kumsaula nguo!

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets