Thursday, May 9, 2013

Staa wa Nollywood atoa trela ya video yake mpya ya Ngono

-->
Kama inavyoonekana katika picha, video hiyo mpya inayokwenda kwa jina la Destructive Instincts 3&4. Mwanadada Judith Okopara (41) mama wa watoto wawili ikafanya balaa lake. Kwa watu wazima tu Liknk ya Video hiyo ni hiyo hapo Chini.
http://gossipworldng.blogspot.com/

Nick Minaj Akaa Uchi katika front page la jarida la KING

--> Mwanadada Asiye ishiwa vituko, Nick Minaj amefanya balaa tena baada ya kupata tenda katika jarida la KING akiziacha sehemu zake za siri waziii.

Chid Benz Yamkuta- Achezea Ngumi jiwe toka kwa Kala Pina



Baada ya kumtandika makofii Mangwair, Msanii Chid Benz amepata malipo hapa hapa duniani baada ya kuvamia shoo ya Kikosi cha mizinga Maisha Club Juz juz huku akiwa kalewa na kutaka kutoa burudani baada ya kumpokonya Nick Mbish Mic ambaye alikuwa stejin. baada ya tukio hilo Mic ikazimwa na ndipo Kala Pina akapanda Jukwaani na kuamrisha yoyote asiyehusika na shoo ashuke chini, hapo Chid akakaidi amri, kutahamaki boonge la gumi hadi chini, na alipotaka kurudi stejini ali a fight back akazuiwa na kamati ya ulinzi.


Cheki Video hapa chini

-->


Wednesday, May 8, 2013

Miongoni mwa Picha za Wababa waliotia fora kwa kucheza

Hii ni miongoni mwa picha katika collection ya hot 20 photos ya wababa waliotia fora kwa kucheza regardless their political or influential roles.
-->


Blogger Widgets