Monday, January 21, 2013

Tumbo la Shakira lazidi kujaa

Msanii na balozi wa UNICEF, Mrembo shakira ambaye kwa sasa ana Ujauzito wa mchezaji wa Barca, Pique, Amedakwa akiliachia tumbo lake ambapo soon anatarajiwa kujifungua.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets