Friday, January 11, 2013

Apple lililooza kwenda Ac Millan

Mbali ya kufananishwa na Aple lililooza na Raisi wa Italia, Mshambuliaji wa Man City, Mario Baloteli ambaye amekuja na kiduku cha rangi ya Blonde ana kila uwezekanO wa kwenda kukipiga huko Ac Millan.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets