Sunday, January 13, 2013

Beverly Sibanda, Mnenguaji anayeingiza chupa Sehemu za Siri.

Kamaanovyoonekana katika picha, Mwanadada Beverly Sibanda amejizolea umaarufu mkubwa kama kanga moja wa bongo kwa staili yake ya kukata mauno huku akiikalia chupa ambayo wakati mwingine huingia ndani ya sehemu zake za siri.
Juz juzi kampuni moja ya vinywaji nchini Zimbabwe ilimpga marufuku mwanadada huyo kutumia chupa za bidhaa zake, na kuongeza kuwa chupa hizo ni kwa ajili ya vinywaji tu na si vinginevyo. Hata hivyo mwanadada huyo aliwaambia kwamba yapasa wamshukuru maana anawatangazia bidhaa zao.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets