Friday, January 18, 2013

Picha za utupu kama Ushahidi zapatikana



Hii ni katika kesi inayomkabili mwanada Jodi Arias ambaye mnamo mwaka 2008 alimua Mpenzi wake wa muda Mrefu Travis Alexander huku akijitetea kwamba ni Self Defense. Picha hizo zimekutwa katika kamera ya Marehemu huyo, ambaye mtuhumiwa awali alidai kuwa walikuwa ni marafik tu.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets