Friday, January 11, 2013

Birthday ya Kinyaiya!!!

PATI ya kusherehekea kuzaliwa kwa Mtangazaji wa Clouds TV, Benny Kinyaiya iliyofanyika hivi karibuni ilitawaliwa na matukio kibao ikiwa ni pamoja na mastaa mbalimbali kupombeka hadi ‘kuzima’. Mpango mzima ulichukua nafasi Januari 8, mwaka huu ndani ya baa ya Benny iliyopo Kinondoni jijini Dar ambapo mastaa kibao walikuwepo.
  Tukio la kudendeka
Tukio lililowaacha midomo wazi waalikwa ni lile la mtangazaji huyo kumlisha keki demu mmoja aitwaye Nash kwa kutumia mdomo kisha kudendekea naye kwa muda. Hata hivyo, nyepesi zilizopatikana baadaye zilidai kuwa, demu huyo ni ‘kifaa’ cha Benny na ndiye aliyeandaa hata keki ya shughuli hiyo.
 Pombe bwerere 
Katika meza za waalikwa kulikuwa na pombe za kila aina ambapo wale ‘vyapombe’….....

Source GPL.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets