Tuesday, June 18, 2013

Lil Wayne kitimoto kwa kukanyaga bendera ya US

Rapper Lil Wayne amejikuta katika mtafaruku na raia wa nchi baada ya kuonekana katika video moja akitembea juu ya bendera ya nchi hiyo. hata hivyo yeye mwenyewe amejitetea na kusema kwamba hakuikanyaga kwa makusudi.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets