Tuesday, June 18, 2013

"Sitakubali Kudhalilishwa katika Mitandao ya Kijamii" Eniola

Muigizaji Eniola Badmus amesema kwamba hayupo tayari kumvumilia mtu yoyote atakae mdhalilisha katika mitandao ya kijamii kwa sababu ya umbo lake. anajua nini anachokifanya na anaishi atakavyo.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets