Thursday, April 25, 2013

Wasichana 34 wafukuzwa vyuoni sababu ya USAGAJI.

--> Siku za hivi karibuni kumeibuka migogoro mikali kuhusiana na masuala ya Ushoga na Usagaji katika nchi nyingi duniani hasa za kiafrika. Huko nchini Ghana waziri anayetetea haki za mashoga na wasagaji, waziri wa jinsia na maendeleo ameshindwa kuzuia uamuzi uliotolewa na serikali kuu wa kuwqfukuza masomoni wasichana 34 kutoka Wasley Girl Senior High School
waliogundilika na makosa ya kuwa wasagaji.



-->

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets