Thursday, April 25, 2013

Madrid Miguu juu kwa B. Dortmund

--> Jana katika Ligi ya Mabingwa wa Ulaya Limeshuhudiwa Mechi la kukata na shoka Baina ya Real Madrid na Borussia Dortmund ambapo mpaka dakika 90 za mchezo Vigogo wa Madrid walikuwa wamelala kwa goli 4 kwa 1.
-->

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets