Sunday, December 30, 2012

Boonge la " Carnival"





Kila Mwaka totozi kama hizo hupamba mitaa ya Calabar huko Nigeria, ambapo ukubwa wa Carnival hiyo hufananishwa na canival kubwa kama za Uingereza na ile ya Rio Brazil. Picha hizo ni Carnival ya Juzi.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets