Friday, August 21, 2015

Mgombea Ubunge wa Shinyanga Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, adaiwa kutekwa na kunyang'anywa fomu
-Alikuwa akirudisha fomu zake za Ubunge
Nimezungumza na mwenezi wa jimbo hilo na kuthibitisha hilo lakini pia simu ya mgombea haipatikani.

Nimeongea pia na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha hili.
  

Name:  Atekwa.JPG
Views: 2598
Size:  51.7 KB 

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets