Showing posts with label Ufuska. Show all posts
Showing posts with label Ufuska. Show all posts

Thursday, February 13, 2014

MUIGIZAJI COCO AUSTIN AAMUA KUJIANIKA AKIWA MTUPU KIHIVYO


Muigizaji na mke wa rappa Ice-T, Coco Austin, hakubakiza kitu pale alipoamua kujiachia kwa kuacha mat!ti yake wazi alipokuwa akishuti kipande cha sehemu inayofata ya kipindi cha TV juzi ndani ya New York.

Coco, 34, alivua jaketi lake na kubaki wazi huku ch#chu zake zikiwa zimezibwa kwa vipande vya plastiki....

Cheki picha hizo hapo chini:




DC

DOL ANGEL, AKIWATEGA MASHABIKI WAKE WA KIUME, WATATEGEKA?!!!


Sawa... Ni nini hasa anachojaribu kutuonyesha hapa... Je anacho hasa ama...?
Ni muigizaji maarufu wa filamu za Nollywood aitwaye Angel Gift akijaribu kuwalaghai mashabiki wake wa kiume akiwa kwenye picha hii ya kitandani.

DC.

MARIAH CAREY ANOAACHA MAMBO WAZI AKIWA STEJINI.


Hakika mwanamke huyu hataki kukubaliana na ukweli wa yeye kuwa mtu mzima na kuacha mambo kama haya yakafanywa na wasichana wadogo. Hivi ndivyo alivyoimba kwenye BET Honors zilizofanyika Warner Theatre ndani ya Washington DC siku ya Jumamosi.

Angalia picha zaidi hapo chini....


DC 

Friday, February 7, 2014

MUIGIZAJI HUYU WA MOVIES ZA NG0N0 AMEPANIA KUFANYA MAP#NZI NA WANAUME 23 KATIKA KUSHEHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA


Msanii chipukizi wa wa filamu za ng0n0 Heidi Van H0'rny ana mpango wa kufanya pati ya kipekee kwenye siku yake ya kuzaliwa ndani ya Montreal.

Kwa watu wengine huwa ni mishumaa na keki, na kwa baadhi ya watu huwa ni misosi, mitungi na shots za hapa na pale.

Ila kwa msichana huyu chipukizi wa filamu za ng0n0 yeye binafsi ana mpango wa kuwaalika wanaume waliowahi kuwa wap#nzi wake 23 kwa ajili ya kuwaenzi siku hiyo kwa tukio hilo la kipekee atakapokuwa akitimiza miaka 23.


DC.

Monday, February 3, 2014

LOL!! KUMBE YULE MCHUMBA WA KIZUNGU WA SHILOLE " NI SHOGA" AKA MCHICHA MWIBA.


Yeleuuuwi! Siku chache baada ya msanii wa sinema na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujinadi na mchumba wa Kizungu aliyejulikana kwa jina moja la Ankar, siri imefichuka kwamba jamaa huyo ni mwanaume tata.
POZI TATA: Ankar katika pozi.
Kikizungumza na Ijumaa Wikienda kutoka London, Uingereza, wikiendi iliyopita, chanzo hicho makini kilisema mwanaume ambaye hivi karibuni Shilole alijinadi kuwa ni bwana’ke siyo kwani huko London baadhi ya watu wanamfahamu kama mwanaume tata kijinsia.
MAUNO: Ankar akikata mauno.
“Yule jamaa anapenda sana kukaa na wanawake, sijawahi kumuona na wanaume wenzake, kazi kukata tu mauno na wanawake. Nilishangaa sana Shilole kusema eti ni mchumba’ke wakati hapa London (Uingereza) ni maarufu sana kwa kushiriki pati za wanawake.
WAPENZI: Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na 'mchumba wake', Ankar.
“Maskini Shilole, pale imekula kwake, hakuna chochote,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kunyetishiwa habari hizo, gazeti hili lilimtafuta Shilole ambapo alikuwa na haya ya kusema:
PIPI YA KIJITI: Ankar akifyonza pipi ya kijiti.
“Jamani imeniuma sana kwani nilikuwa sijui, nimeligundua hilo baada ya kuambiwa na watu, nilipigiwa simu kutoka Uingereza kwamba yule mwanaume siyo hivyo sina mpango naye tena kwa kweli,” alisema Shilole anayetamba na kideo cha Nakomaa na Jiji.
TABASAMU: Ankar akitabasamu katika pozi.

GPL.

Sunday, February 2, 2014

JUSTIN BIEBER AINGIA KATTIKA SKENDO TENA, ANASWA LIVE AKILAMBA CHUCHU ZA K@HABA.


Miaka 19 aliyonayo inampeleka puta na kuzidi kuashiria ule usemi usemao, ujani ni maji ya moto, mwanamuziki  mwenye mafanikio, raia wa Canada, Justine Bieber, juzi juzi alifanya boonge la party na kuwaalika miongoni mwa washkaj zake, mbali na hiyo ali mualika K@haba mmoja kwa ajili ya kucheza akiwa mtupu huku akivalia maziwa makubwa ya juu.

Katika kunegesha shughuli nzima, Bieber na Mshkaji wake Khalil, walipeana chuchu moja moja kunyonya kama wanavyoonekana pichani.

Saturday, February 1, 2014

PATA MUDA KUANGALIA PICHA ZA MVULANA WA KIPINDI HICHO ALIVYOJIBADILI NA KUWA MSICHANA HUYU PICHANI, HUWEZI AMINI.


Hii ni zaidi  ya laana, nami sina la kusema, tumwachie Mola atahukuma, maana huyu zamani alikuwa kijana handsome boy wa maana, leo hii kajigeuza na kuwa msichana kwa matakwa yake, angalia picha zaidi hapo chini.

 



































Eti ana Boy Friend kabisaa.




Friday, January 31, 2014

BABU MPENDA TOTOZ, AFUMWA UCH** WA MNYAMA NA KADENTI CHA SHULE, GUEST HOUSE.


YELEUUUWI! Ile tabia ya wazee ya kupenda dogodogo imemtokea puani mzee aliyetajwa kwa jina moja la mzee Omari, ni Ijumaa pekee lenye ubavu wa kuripoti sinema hiyo ya bure.
AIBU YA MWAKA: Babu akifunika uso wake baada ya kunaswa na denti gesti.
Mzee huyo alinaswa laivu akiwa gesti na denti wa shule moja ya sekondari jijini Dar (jina la denti na shule vinahifadhiwa kimaadili).
Tukio hilo la aibu lilijiri juzikati kwenye gesti moja iliyopo maeneo ya Kawe, Dar na kusababisha timbwili zito.
TAARIFA MEZANI KWA OFM
Hivi karibuni, kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, kilipokea lalamiko kutoka kwa mzazi wa denti huyo ambaye alieleza juu ya mabadiliko ya mwanaye kitabia na kushuka kitaaluma kutokana na kusumbuliwa na ‘mbaba’ huyo.
Mzazi huyo aliiambia OFM kuwa amekuwa akifuma mawasiliano ya kwenye simu ya mkononi ya mwanaye na mwanaume huyo ambaye alikuwa hamfahamu.
FUNDISHO KWA WAZEE: Babu akijiandaa kuvaa nguo yake ya ndani baada ya kunaswa gesti.
CHANZO
Mama huyo alisema kuwa kutokana na maendeleo ya mwanaye kuzidi kudorora shuleni, aliamua kumfuatilia kwa karibu kwa kuwa hakutaka apotee.
Mama huyo alitiririka kuwa, siku ya tukio, alimsikia mwanaye huyo akiwekeana miadi kwenye simu na mwanaume huyo ndipo akaamua kumuwekea mtego.
Alisema wakati mwanaye huyo akilonga kwenye simu, yeye alibana sehemu na kuyasikia yote ambayo alikuwa akiyaongea na kwamba walipanga kukutana baa.
“Nilichokifanya nilimpigia simu mjomba wake na kumweleza kila kitu, nikamwelekeza namna ya kumfuatilia. Alichukua bodaboda na kuanza kumfuatilia. Mimi na timu yangu tulifuata nyuma,” alisema mama huyo kwa uchungu.
CHINI YA ULINZI: Babu akiwa mikononi mwa wanausalama.
Alisema mzee huyo alikubaliana na mwanaye wakutane kwenye baa hiyo ambapo ndani yake kuna nyumba ya kulala wageni a.k.a gesti.
OFM YAITWA
Baada ya mpango wa mtego kukamilika ndipo mama huyo akawaita OFM ambao huwa hawalazi damu hivyo walifika mara moja.
TAARIFA POLISI
Kabla ya kuchukua hatua yoyote, walishauriana kutoa taarifa kituo cha polisi, jambo ambalo lilifanyika na kupatiwa msaada wa kiusalama.
NI SAWA NA BABU YAKE
Walipofika kwenye baa hiyo mama mtu alipigwa na butwaa kumuona mtu aliyekuwa akiwasiliana na mwanaye ni mzee sawa na babu yake.
“Yaani jamani kweli dunia imekwisha, mwanangu ni sawa na mjukuu wa huyu mzee, ama kweli tamaa mbaya sana,” alisema mama huyo kwa uchungu.
Huku wakifuatiliwa kwa karibu, mzee huyo na denti walipiga madikodiko na vinywaji ndipo wakatimba kwenye gesti hiyo.
Kilichofanyika ni kwamba polisi na mama wa denti walizama gesti hiyo na kuomba kumsaka mwanafunzi huyo, jambo ambalo halikupingwa.
FUMANIZI LAIVU
Baada ya kuzama ndani ndipo mtego ukafyatuka ambapo mzee Omari alibambwa katika moja ya vyumba vya gesti hiyo huku akiwa amejifunga taulo tu.
Mzee huyo alipatwa na taharuki kubwa asijue la kufanya kufuatia timbwili zito alilozua mama wa denti huyo.
“Kha! Kazi kuharibu watoto wa wenzenu, hivi angekuwa wa kwako ukakuta akifanyiwa hivi ungejisikiaje? Nasomesha kwa gharama kubwa wewe unataka kuniharibia. Hivi hujui mtoto anauma?” alihoji mama huyo kwa hasira huku akimtandika mwanaye vibao.
OMBI
Mara baada ya mzee huyo kunaswa, aliomba chondechonde kukaa na familia ya mwanafunzi huyo ili kuyamaliza yasifike mbali.
Hata hivyo, baada ya maombi ya muda mrefu walikubaliana kuandikishiana ambapo mzee huyo alitakiwa kulipa faini.
“Sisi hatuna maneno mengi, hatutaki kesi ila atulipe fidia ya kumsababishia mtoto wetu asiwe na mahudhurio mazuri shuleni kutokana na ulaghai wake,” alisema mzazi huyo.
MZEE AINGIA MITINI
Habari zilieleza kuwa mzee huyo alishindwa kulipa mara moja badala yake aliingia mitini kwa kigezo kuwa anakwenda kutafuta faini hiyo.
Hadi OFM inaondoka eneo la tukio mzee huyo alikuwa hajawasilisha faini waliyokubaliana hivyo tunafuatilia na tutakachobaini tutaandika katika matoleo yajayo.
FUNDISHO
Hivi sasa kumeshamiri tabia ya wazee kupenda kuharibu mabinti wadogo hivyo kunaswa kwa mzee huyo litakuwa fundisho kwa wengine kwani OFM ambao huwa haikosei, imeamua kulivalia njuga suala hilo. Subirini muone!

GPL.

GURUMO AFAGILIA DIAMOND PLATINUMZ KWA KUWAKAMUA WATOTO WA KIKE TOFAUTI TOFAUTI, ADAI WANAJIPELEKA WENYEWE.


MSANII mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Muhidini Gurumo ambaye kwa sasa amestaafu, amefungukia skendo ya kuwa na mademu wengi inayomuandama Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni maeneo ya Ilala jijini Dar, Mzee Gurumo alisema: “Diamond ana nidhamu sana ila vile anavyotamba jukwaani na kudatisha mashabiki hapo ndipo balaa linapokuja, watoto wa kike wenyewe wanaanza kujisogeza kwake.
Mzee Muhidini Gurumo.
“Pamoja na skendo za mademu zinazomuandama, siwezi kumshusha thamani, ana haki ya kujiopolea mwanamke yeyote anayempenda, yeye kama mwanaume rijali wakati mwingine ni vigumu kujizuia na vishawishi hivyo.”
GPL.

Thursday, January 30, 2014

MUIGIZAJI WA MOVIES ZA NG0N0 AMUOTA D'BANJ AKIMPA "MAVITUS" ANGALIA ALICHOANDIKA HAPA KATIKA TWITTER PAGE YAKE.


Yule Muigizaji wa Movies za Ng0n0 wa nchini Nigerioa, Afro Candy ameandika katika ukurasa wake wa Twitter ya kwamba amemuota mwanamuziki D'banj anampa raha za dunia, na jinsi anavyoelewa kwamba jamaa huyo kapendelewa maombile ya kiume anatamani ampate haraka iwezekanavyo ili atulize kiu yake hiyo.

Tuesday, January 28, 2014

LILE KAHABA "ALBINO" MWENYE MUONEKANO KAMA MZUNGU AZIDI KUWAPAGAWISHA WANAUME, SAFARI HII ANASWA MOROGORO.


Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Mwanadada mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Fadhila Omary, mkazi wa Mbezi jijini Dar ametikisa midume na kuzua gumzo nchini baada ya kukamatwa mkoani Morogogo kwenye msako wa makahaba.
Albino akiwa mikononi mwa polisi.
KWA NINI?
Unaweza ukajiuliza kwa nini amegeuka gumzo lakini jibu ni kwamba ishu hiyo imemkuta hivi karibuni ikiwa ni miezi michache baada ya Mahakama ya Jiji la Dar ‘Sokoine Drive’ kumuonya kuwa imezichoka kesi zake za kunaswa kwenye misako mbalimbali ya makahaba.
MAMA WA WATOTO WAWILI
Fadhila ambaye ni mama wa watoto wawili, Juni 21, mwaka jana alifikishwa kwa mara ya tatu mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Jiji la Dar ‘Sokoine Drive’, Timothy Lyon baada ya kunaswa kwenye msako wa makahaba.
...Akielekea kituoni baada ya kunaswa katika msako wa makahaba.
HAKIMU MSHANGAO
Baada ya Lyon kumuona alishtuka na kumuuliza ‘hivi wewe Fadhila una matatizo gani? Mimi tangu nihamie mahakama hii kutoka Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, Pwani hapa sijamaliza hata mwaka lakini umeshaletwa mbele yangu mara tatu!’
Hakimu huyo alimweleza hayo Fadhila huku akionesha mshangao mkubwa.
KUMBE MKE WA MTU!
Katika utetezi wake, Fadhila alimtupia zigo la lawama mumewe, aliyezaa naye watoto wawili.
Alisema kuwa mwanaume huyo amekuwa akimpa fedha kiduchu za matumizi hali inayomfanya ajiingize kwenye biashara hiyo.
Baada ya utetezi huo, mumewe alipelekewa barua ya kuitwa mahakamani hapo ambapo alionywa juu ya kuitunza familia yake na mkewe alionywa kutopatikana tena na kesi kama hiyo kisha akapewa ushauri nasaha katika Kitengo cha Ustawi wa Jamii kilichopo mahakamani hapo.
Miongoni mwa mambo waliyoshauriwa ni kubadili mfumo wa maisha kwa  kujitafutia kipato kwa njia nyingine ya halali na kuelezwa madhara ya kuishi kwa kutegemea biashara hiyo haramu.
Baada ya kupewa somo, wote wawili waliahidi kubadilika lakini katika hali ya kushangaza ilidaiwa kuwa Fadhila baada ya kuwapa kisogo maofisa wa ustawi wa jamii, alichofanya ni kuhama mkoa na kwenda kufanyia shughuli hiyo mkoani Morogoro.
OFM KAZINI
Baada ya Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ kupata taarifa hizo ilitoa maelekezo kwenye kitengo chake cha Mtambo wa Kurekebisha Tabia (MKT).
MKT walifunga safari hadi mkoani Morogoro ‘Mji Kasoro Bahari (MKB) na kujiunga na vijana wa Kamanda Faustine Shilogile, Mkuu wa Polisi mkoani humo na kuvamia madanguro na vijiwe mbalimbali vya makahaba.
MKT na vijana wa Shilogile walipata fununu kuwa kuna kundi kubwa la makahaba eneo la Kaumba mjini humo ambapo mmoja wa mapaparazi wa MKT alitangulia eneo hilo kama mteja ndipo Fadhila na wenzake watatu wakamvaa wakitaka kumhudumia.
Wakati wakinadi biashara yao kwa MKT na kuahidi kutoa huduma kwa kadiri anavyopenda mteja (paparazi) ndipo maafande waliokuwa wamejibanza sehemu waliwavamia machangudoa hao na kuwatia nguvuni kwa ajili ya kuwafikisha mbele ya sheria.
Baadhi ya watu waliozungumza na MKT eneo hilo walisema, Fadhila amekuwa tishio kwa kuwapiga bao wenzake kutokana idadi kubwa ya wanaume wanaomgombea huku akiwa na vijana spesho wa kumlinda.
“Huyu dada, hapana chezea kabisa, sijui ana kizizi! Yaani tangu atue hapa Kaumba anawapiga bao wenzake, yaani mpaka aondoke na mteja ndiyo wenzake nyuma wapate wateja. Yaani wanamchukia sijui ana nini,” alisema mmoja wa mashuhuda hao.
Fadhila na wenzake pamoja na wanaume walionaswa wakiwahudumia walitiwa mbaroni na muda wowote watafikishwa mahakamani.



KALAMU YA MHARIRI
Uchunguzi wa OFM uliofanywa katika kila kona ya Tanzania umebaini kuwa hali ni mbaya kwani biashara haramu ya kuuza milii imeshika kasi mithili ya moto wa kifuu. Ni jukumu lako kujilinda kwani kuna hatari ya kukipoteza kizazi hiki kwa Ugonjwa wa Ukimwi.
GPL

MSICHANA WA KIAFRICA, FASHION AU UWENDA WAZIMU?!!!


Inapotokea Mtu wako wa karibu, mathalani dada, mke au baby baby ameamua kwa makusudi kujivesha vazi la aina hii kisha kutupia picha zake Instagram, unachuka hatua gani, au utajisikiaje?!!

Monday, January 27, 2014

HILI NDO "ZIGGO" LINALOKIMBIZA KWA WASANII CHIPUKIZI PANDE ZA GHANA.


Tumeshazoea kuona ziggo kama hilo kibongo bongo tunajua ni aidha Kajala Masanja au Agness Masogange, lakini kwa mziki huo wa juu kwa waigizaji wanaochipukia pande za Ghana huyu kawafunika wote, zaidi ya Hipsy au Two Ten wa Bongo.

Sunday, January 26, 2014

SIKU 19 KABLA YA NDOA YAKE, BIBI HARUSI MTARAJIWA ABAMBWA AKIJIUZA HUKO MOROGORO.


OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers si mchezo! Safari hii imenasa tukio la mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Jose kuuza mwili.
Za mwizi 40: Mchumba wa mtu baada ya kunaswa na OFM akijiuza licha ya kuaga kuwa anakwenda kwa bibi yake.
Tukio hilo lilijiri eneo maarufu la Baa ya Kaumba iliyopo katikati ya mji kwenye Mtaa wa Makongoro, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo OFM na polisi walikuwa kwenye oparesheni za kufichua uovu wa biashara haramu ya ngono.
OFM NOMA: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa mikononi mwa OFM na Polisi.
Kwa mujibu wa mchumba huyo katika mahojiano na OFM, aliaga kwao Kilosa kuwa anakwenda Morogoro mjini kumuuguza bibi yake ambaye ni mgonjwa.
Tofauti na matarajio ya familia yake, mrembo huyo alikwenda kukita kambi maeneo hayo akijihusisha na biashara hiyo haramu eti kwa madai ya kusaka fedha ya kununulia sare za harusi yake ambayo inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
Mshangao: Mchumba wa mtu akishangaa baada ya kubambwa na OFM.
Jumatano iliyopita, OFM ilipokea simu kutoka kwa dada mmoja ambaye alieleza kuwa kuna ‘shori’ ambaye ni mchumba wa mtu anajiuza katika viunga vya Kaumba.
Dada huyo aliendelea kueleza kuwa yeye ni mmoja wa wajumbe katika kikao cha harusi ya dada huyo huku akiwa ameshachangia shilingi elfu 50 lakini alishangaa kumuona maeneo hayo hatarishi.
Twendeni: Mchumba wa mtu akiongoza wenzake wanaoshuka kutoka kwenye difenda kuelekea kituoni.
“Niamini mimi, tunakaa naye Mji Mpya (Morogoro). Hata fedha za advance ya ukumbi, vinywaji, MC na muziki tumeshalipa na harusi yake inatarajiwa kufanyika Februari 15, mwaka huu.
Baada ya kunyetishiwa habari hizo, kikosi kazi cha OFM kiliingia mzigoni kwa kushirikiana na dada huyo ambaye alivalishwa ‘beji’ yao na kufanikisha kunaswa kwa mchumba huyo.
Chini ya ulinzi: Mchumba wa mtu na wenzake wakiwa chini ya ulinzi kituoni.
OFM ikishirikiana na polisi wanaojua kujituma kwenye majukumu yao walimtia mbaroni dada huyo akiwa katika pilikapilika zake za kunasa wanaume huku mmoja wa vijana wa OFM akijifanya mteja na kupatana naye bei ya kuingia chumbani kwa ‘shoti taimu’.
Baada ya kunaswa, mwanadada huyo alikiri mbele ya OFM kuwa ni bibi harusi mtarajiwa.
“Jamani… jamani ni kweli mimi ni mchumba wa mtu, shetani ameniponza nisameheni,” alisema.
Hata hivyo, kilio chake kiligeuka cha samaki kwani hakikusikika, yeye na wenzake walionaswa walipelekwa moja kwa moja katika kituo kikuu cha polisi ili kupisha sheria ichukue mkondo wake. 
Blogger Widgets