Friday, December 27, 2013

PICHA YA KIPEKEE YA MZEE MANDELA NA MOHAMMED ALLY



Dunia ikiwa katika maombolezo ya shujaa huyu wa Africa, tunakumbuka na kuyaenzi mengi mazuri ya kwake, pichani hapo juu Mzee Mandela akiwa na Mohamed Ally akimpa "JEB" Kuashiria kuuenzi mchezo wa ujanani mwake ambapo mzee Nelson Mandela alikuwa ni Bondia.

Nelson Mandela, Madiba the great, ni mtu wa kipekee na mcheshi sana, na amekuwa hivi mpaka pumzi yake ya mwisho...! #RIPNelsonMandela

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets