Friday, December 27, 2013

TIMU YA RUGBY YA WANAWAKE YAAMUA KUKAA "UTUPU" ILI KUKUSANYA FEDHA ZA HISANI



Timu ya wanawake ya Chuo cha Oxford inaonekana imeamua kushika vichwa vya watu na habari kwa ujumla mara baada ya kuamua kuja na kalenda yao ya kujitolea ya mwaka 2014.


Picha hizo za rangi nyeusi na nyeupe (black-and-white) zilipigwa kwenye jiji la Idyllic na zimetumika kwenye kalenda ambazo zimekuwa zikiuzwa kwa £10, pesaambazo zitatumika katika kuchangia kampeni ya Oxford juu ya tahadhali dhidi ya ufahamu wa afya.

Wachezaji wa timu hiyo waliamua kuja na mpango huo mara baada ya timu ya wanaume kutoka na toleo lao mwaka jana, kisha wao wakaelezwa: “Kama ingekuwa ni ninyi kwenye picha basi tungenunua moja.”

DC BLOG

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets