Sunday, March 24, 2013

Kuna Ulazima wa Tatoo Mpaka......

-->


Siku za hivi karibuni kumekewa na wimbi la vijana wengi kujipiga tatoo sehemu mbali mbali za miili yao. miongoni mwa sababu zikiwa ni hamasa ya ushabiki au mapenzi yao juu ya kitu fulani au mchezo fulani. Cha kushangaza sasa hali imekuwa too much kiasi kwamba watu wanajipiga tatoo hadi sehemu za siri.

2face Aoa Dubai Jana

Mwanamuziki 2face kutoka nchini Nigeria jana Jumamosi ya Tarehe 23/03 ameuaga U single boy baada ya kufunga pingu za maisha na mwanadada Annie Macaulay. Katika kuhakikisha Mpango mzima unakwenda vizuri, Milionea wa Kinageria ambaye anaishi Marekani Ayri Emami, amechangia Shilingi milioni 20 za Nigeria.

Miss Israel "MWEUSI" Wa Kwanza

-->
Mwanadada Yityish Aynaw, ni mkimbizi toka nchini Ethiopia. Ameweka Rekodi ya kipee pale alipotoa Taji hilio la Mlimbende wa mwaka wa Nchi hiyo juku akiwa na asili ya kiafrika. Inasemekana kuwa mwanadada huyo alihamia nchini humo zamani akiwa bado binti mdogo.

Saturday, March 23, 2013

Kutana na Bingwa wa kujipinda

--> Kwa jina anaitwa Alesha Dixon, akiwa katika moja ya shows zake huko Uingereza, akijipinda zaid ya mpira.

Mvuto wa Kim baada ya Kujifungua


-->















 Picha hiyo ikimwonesha mwanadada Kim Kardashian na Ddada wakiwa matembezini huku akiwa na mvuto kama vile hajajifungua siku za hivi karibuni.

Wednesday, March 13, 2013

Mpango mzima ndani ya Dar Live

-->
Hatimaye magwiji wa hip hop ndani ya wilaya ya Temeke, Dar na Tanzania kwa ujumla, nazungumzia makundi ya wanamuziki ya TMK Halisi na TMK Family yanatarajia kufanya makamuzi ya kufa mtu ndani ya Ukumbi wa Dar siku ya Tarehe 31/03/2013...... Nisikumalizie uhondo.....

Friday, March 1, 2013

Timbulo na Skendo ya Madawa ya Kulevya

< div class="separator" style="border-bottom: medium none; border-left: medium none; border-right: medium none; border-top: medium none; clear: both; text-align: center;">

Habari ambazo bado hazijathibitishwa zinaeleza ya kuwa Msanii Ali Timbulo, maarufu kama Timbulo amekamatwa akiwa na mzigo wa madawa ya kulevya Nchini Burundi, Timbulo ambaye alikwenda nchini humo kupiga show kutokana na maombi ya wapenzi wake wa nchini humo.
Blogger Widgets