Thursday, April 25, 2013

Madrid Miguu juu kwa B. Dortmund

--> Jana katika Ligi ya Mabingwa wa Ulaya Limeshuhudiwa Mechi la kukata na shoka Baina ya Real Madrid na Borussia Dortmund ambapo mpaka dakika 90 za mchezo Vigogo wa Madrid walikuwa wamelala kwa goli 4 kwa 1.
-->

Aliyemdhalilisha Askari wa Usalama Barabarani Aswekwa Rumande

--> Siku ya juzi maeneo ya mwenge jamaa mmoja mwenye mwili mkubwa alifanya tukio la ajabu pale alipompokonya Askari wa Usalama Barabarani Ufunguo wake wa gari na kumnyonga mkono huku akijijua kufanya hivyo ni kosa kisheria na kamera za kituo cha ITV zilikuwa zikimwonesha. Taarifa zinamnukuu Kamanda wa Polisi wa Kanda ya Kinondoni akisema ya kwamba jamaa huyo amekamatwa na yupo kituo cha polisi Cha Salander Bridge akisubiri kufikishwa mahakamani.

--> Video ya Tukio zima hii hapa chini.

Wednesday, April 24, 2013

Mama Yeyoo- Gnako ft Ben Pol

-->

New Video - Mr Nice Ft DNA

Ujio wangu
-->

Video Mpya - Madee

--> Cheki hapo video mpya ya madee nani "kamwaga pombe yangu"

Monday, April 22, 2013

Raisi Atoa Masaa 24 kwa "Mashoga" Kuondoka Nchini

--> Uamuzi huo ummfanya Raisi wa Gambia Yahya Jammeh kuonekana ana sera kali zaidi ya zile za Iran. Amesema ya kwamba Nchi yake ina misingi ya maadili na imani hivyo hawawezi kuvumilia tabia za kishenzi zikiendelea nchini humo. mwezi wa pili mwaka huu raisi huyo aliwafanya wenye tabia kama hiyo kukimbia nchi jirani na kuomba hifadhi pale alipowafunga wanandoa wawili wa jinsia moja.

Mwanamke Ajinyonga Baada ya Kunyimwa Unyumba na Mumewe

Mwanamke mmoja Raia wa Zimbwambe amajinyonga na kamba baada ya kunyimwa mapenzi na mumewe kwa muda mrefu. Mama huyo afahamikaye kama Muhlava Muhlabiza kutoka kijiji cha Chigalo (64) alikutwa na umauti huo baada ya mumewe kurudi safarini na akijua ni zamu yake ya kupata haki hiyo ya tendo la ndoa ndipo mume huyo alipoghairi na kwenda kulala na mke mwingine, kitendo ambacho kiliumiza moyo wa mama huyo na kuamua kutokomea msituni na kujinyonga. --> Baada ya kupita kama saa moja mume wa mwanamke aliamua kutoka na kwenda kumgongea ndani kwake kwani alitishia kujiua na kusema ya kwamba mume huyo amemchoka na ndi[po alikuta kimya kimetawala na kuwataarifu watu ambao baada ya kuuvunja mlango hawakumkuta hadi kesho yeka walipata taarifa toka polisi kuhusu kupatikana kwa mwili wake msituni.

Blogger Widgets