Saturday, August 3, 2013

Eniola Auliza Mashabiki kuhusu kuwa Dada yake Rick Ross!!


Yule mwanamke mnene na anayekula kushinda wanawake wa Nigeria, Eniola Badmus ameandika katika page yake ya Instagram ikiwauliza wadau ya kwamba vipi kila mtu anamfananisha na Mwanamuziki kutoka Marekani, Rapper Rick Ross, yawezekana akawa dadake? Angalia picha mwenyewe kisha toa tathmini yako.

Kutoka BBA The Chase, Angelo na Beverly "Wafanya Mapenz* Bafuni!!





Wiki Mbili zilizopita Washiriki hao wawili wali make Head Lines baada ya Kusambaa picha zinazoonesha wakichezeana kimahaba kiasi cha kupelekea Angelo kumwingiza Kidole Huyo bibie kunako .......!!! Sasa Jana wameamua kuupeleka uhusiano wao to the next level baada yakuamua kumaliza mambo yao kabisa bafuni katika hilo Jacuzzi kama unavyowaona.

Friday, August 2, 2013

Bow Wow Avunja Ukimya, Amla "DENDA" Tyra Banks Live Katika TV Show Interview.



Ikiaminika na Wengi wa Raia kutoka Marekani kuhusu kutamani na jinsi ambavyo wengi wa wanaume wanatamani wapate nafasi ya kuwakumbatia na hasa Kuwabusu Walimbwende Kama Tyra Banks, Juz Mwanamuzi Bow Wow aliukata Mzizi wa Fitina kwa Upande wake kwani ali Wish Kumbusu Super Model huyo na akapewa nafasi hiyo akiwa kama Mgeni mualikwa wakati Tyra Akirusha Kipindi cha BET's 106 & Park Music Video Show.

Bow Wow akamkamata kisawasawa Model huyo na kuanza kujimwaya mwaya nae Huku Kipindi kikiwa kinarushwa Moja kwa Moja Hewani.

Kutana na Tilya, Mrembo wa Kitanzania Mpenzi wa Msanii wa Kundi La Bracket.





Tilya ni Msichana mwenye Asili ya Kitanzania, Mkazi wa Minneapolis, Minnesota Kikazi ni Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni yao na Pia ni Blogger.

Mwanadada huyu yupo katika uhusiano wa kimapenzi na Nwachukwu Ozioko, Maarufu kama Vast, Mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Bracket, wazee wa "Yori Yori" So Shemejiii wetu huyu ni kama Alimdediketia dadaetu cjui kale ka wimbo kazuri cha Yori Yori?!!!


Majanga ONA Majanga!!!! Mpaka Kieleweke Leo!!


Kama kawaida, Cheka Upate Afya, leo nakuletea Picha niliyoipata katika mtandao wa kijamii huku ikiwa Commented ya Kwamba Mpare Utamjua Tu!!!! Walionaje hili?

Mwenye Nyumba Afumaniwa Akifanya Mapenzi na Mpangaji wake.


Kwa Mujibu wa GN Blog, ni kwamba mama mmoja aliyejazia na umbo kubwa ambaye ni mmiliki wa Duka Moja Maarufu huko Lagos, Nigeria, Amekutwa Akijiachia na Mwenye Nyumba ya Kupanga wanayoishi na mumewe karibu na Maeneo ya Ikorodo.

Imeelezwa kwamba Mume wa Mwanamke huyo maarufu kama Mama Kele, alimuajiri mtu akaiweke kamera ya siri katika chumba cha mwenye nyumba huyo, baada ya kupata tetesi ya kwamba mke wake huyo alikuwa akimlipa mwenye nyumba huyo kodi ya "Penzi"

Video hiyo iliyoonesha kila kitu imemfanya mwenye nyumba huyo kutoonekana maeneo hayo anayoishi na pia Baba Kele, amelifunga duka la mkewe na kumpeleke mwanamke huyo kwao.

Mke anaswa Akijivinjari na Hawara Ndani ya Chumba cha Mumewe, Angalia Yaliyomkuta Mgoni huyo!!!




TIMBWILI zito limeibuka baada ya mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samora kumnasa ‘live’ mkewe Hadija akimsaliti kwa kuvunja amri ya 7 (usizini) na hawara ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tena kwenye chumba chao, Ijumaa lina ishu kamili.

Mshangao: mtuhumiwa akikodoa macho baada ya kunaswa live na mke wa mtu chumbani kwa mwenye mali.
Habari kutoka chanzo cha uhakika kilitonya kuwa Samora na Hadija ni wanandoa waliooana Bomani pale Magomeni, Dar, mwaka 2009 na katika ndoa yao wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume.
Tukio hilo la fumanizi lilijiri maeneo ya Kinondoni-Kwamsisiri, Dar nyumbani kwa wanandoa hao, majira ya saa 1:00 usiku, Julai 29, mwaka huu.
Aibu: mtuhumiwa akijaribu kuficha sura yake baada ya fumanizi hilo.
NDOA YATUMBUKIA NYONGO
Habari zilieleza kuwa mwanzoni mwa mwaka huu, ndoa ya wawili hao ilitumbukia nyongo na kuingia kwenye mgogoro ambapo pamoja na kuweka mambo sawa, waliendelea kukwaruzana mara kwa mara.
Mshangao: Nisameheni jamani!
CHANZO NI NINI?
Ilidaiwa kuwa chanzo cha wawili hao kuhitilafiana ni kutokana na mwanaume kumtuhumu mkewe kutoa tunda nje ya ndoa.
Ikasemekana kuwa baadaye wapambe walimfuata Samora na kumtonya kuwa mkewe amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na kidume mwingine nje ya ndoa yao ndiyo maana amekuwa akimletea nyodo ‘mapichapicha’.
Iliendelea kudaiwa kuwa baada ya ndoa kutibuka, Samora alikuwa mnyonge na mwenye msongo wa mawazo hivyo ikabidi aikimbie nyumba kwa muda na kwenda kwa wazazi wake.
Ilisemekana kuwa, Samora alirejea nyumbani huku akifanya uchunguzi wa nguvu akiwatumia majirani kumpatia taarifa kuhusu kila mwanaume aliyeingia na kutoka nyumbani kwake yeye akiwa hayupo.
Bwana Samora akiwa na mkewe Hadija siku ya harusi yao.
KUMBE NI RWEKAZA
Uchunguzi wa Samora ulibaini kuwa, Hadija alikuwa ‘akibanjuka’ nje ya ndoa na mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Rwekaza ambaye ni mfanyakazi serikalini.
Habari za kina zilisema kuwa, Samora alitonywa kwamba jamaa alikuwa akitimba na gari aina ya Suzuki Swift 1.3 na siku nyingine alikuwa akilala hadi asubuhi bila tone la soni kuwa Hadija ni mke wa mtu.
Samora na Hadija wakiwa na wapambe wao siku ya harusi.
SAMORA AJIPANGA
Baada ya kupata uhakika huo ndipo Samora akajipanga kwa kuwatafuta vijana wa mtaani ili Rwekaza atakapofika nyumbani hapo kulala na mkewe wamvamie na kumfanyizia.
Mshikemshike: Samora (wa tatu kushoto) na wapambe wake wakitaka kumshushia kichapo mtuhumiwa.
RWEKAZA MTEGONI
Bila kufahamu kuwa anasubiriwa kwa hamu majira yaa saa 1:00 usiku, Rwekaza huyooo, akatinga nyumbani hapo na moja kwa moja akafikia chumbani kama kawaida yake.
Wakiwa chumbani, ilidaiwa kuwa waliendelea na mambo yao huku Rwekaza akiwa tumbo wazi na suruali yake amefungua zipu huku Hadija akiwa amesaula na kubaki na ‘kufuli’, kisha akajifunga khanga moja.
Hasira: Samora (kushoto) akimkunja mwizi wake baada ya kumfumania.
FUMANIZI KABANG’
Katika fumanizi hilo, Samora alitinga chumbani humo akiwa ameambatana na kundi la vijana kibao ambao walikuwa na lengo moja tu, kumfanyia kitu mbaya Rwekaza.
Wakiwa chumbani, kuliibuka bonge la timbwili baada ya Samora kumshuhudia mwenza wake aliyekula kiapo cha kutotengana naye akisaliti ‘laivu’ penzi lao.
Baada ya kuona machafuko makubwa ya hali ya hewa chumbani, mwanahabari wetu aliwataarifa polisi katika Kituo cha Kwamsisiri ambao walifika maeneo hayo na kufanya kazi kubwa na nzuri ya kuepusha balaa au mauaji kwa kuwa Samora alikuwa na hasira kali.
Albamu ikionyesha picha walizopiga Samora na mkewe Hadija wakati wakisaini kitabu cha ndoa.
KWELI NI MKE WA NDOA?
Ili kuthibitisha kuwa ni mkewe wa ndoa, Samora alizama kabatini na kuchomoa cheti cha ndoa na picha walizopiga siku ya ndoa yao zikiwaonesha wakiwa na tabasamu la ‘mimi na wewe milele’ kabla ya shetani ‘kufanya yake’ kwenye unganiko lao.
Wananchi wakiwa nje ya nyumba alipofumaniwa bwana Rwekaza.
MAJIRANI
Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo liliwasikitisha wengi huku wakiamini kabisa kuwa ni nadra matukio ya mafumanizi kutokea katika kipindi cha mfungo.
“Jamani hata Mwezi Mtukufu? Ni aibu sana kwa mke kuingiza mwanaume mwingine kwenye chumba cha mumewe. Kweli hili fumanizi ni kiboko,” alisikika mmoja wa majirani hao walioshuhudia tukio hilo muda mfupi baada ya kufuturu.
Gari la mtuhumiwa aina ya Suzuki Swift 1.3 likiwa nje ya nyumba alipofumaniwa.
SAKATA LINAENDELEA
Hadi gazeti hili linaondoka eneo la tukio wahusika wote walikuwa kituoni hapo hivyo tunaendelea kulifuatilia sakata hilo kwa karibu sana na pia kuwapata wahusika wazungumzie kilichojiri.

CHANZO: GPL
Blogger Widgets