Friday, December 27, 2013

MWANGALIE MODEL HUYU AKIWA NDANI YA BIK1NI NA KAPTURA WAPI KAPENDEZA ZAIDI



Kwa jina anafahamika kama Risper Faith ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akipiga picha zake za Ki Model akiwa amevaa nguo zote, sasa ameanza kufuata nyayo za dada yake na kuanza kutuvalia vibikn bila kujali umbo lake kubwa alilobarikiwa na Mola.

Kazi imewapata wengi kwa ku koment na kushauri kuhusiana na step mpya ya mrembo huyo, je sawa kwake au aendelee ku modelika huku akiwa na nguo tu?!!!


No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets