Sunday, March 24, 2013

Kuna Ulazima wa Tatoo Mpaka......

-->


Siku za hivi karibuni kumekewa na wimbi la vijana wengi kujipiga tatoo sehemu mbali mbali za miili yao. miongoni mwa sababu zikiwa ni hamasa ya ushabiki au mapenzi yao juu ya kitu fulani au mchezo fulani. Cha kushangaza sasa hali imekuwa too much kiasi kwamba watu wanajipiga tatoo hadi sehemu za siri.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets