Sunday, March 24, 2013

Miss Israel "MWEUSI" Wa Kwanza

-->
Mwanadada Yityish Aynaw, ni mkimbizi toka nchini Ethiopia. Ameweka Rekodi ya kipee pale alipotoa Taji hilio la Mlimbende wa mwaka wa Nchi hiyo juku akiwa na asili ya kiafrika. Inasemekana kuwa mwanadada huyo alihamia nchini humo zamani akiwa bado binti mdogo.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets