Monday, July 29, 2013

Ajali!!!!Akuta Panya Ndani ya Wali Rost Nyama Aliouagiza.


Hali ya Sitofahamu imejitokeza katika Mgahawa mmoja huko Africa Magharibu baada ya Mteja aliyekuwa ameagiza Wali Rost nyama ya kukaanga kukutana na "KAPANYA" Kadogo kameiva ndani ya chakula alichokiagiza.

Mteja huyo alikumbwa na bumbuwazi na hasa ukizingatia alikuwa ameshakula chakula hicho kwa zaidi ya Asilimia 90.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets