Wednesday, July 10, 2013

Angalia Mh. Sumaye Akiselebuka Katika Send Off ya Natasha


Wiki iliyopita, kulikuwa na Send off party ya Suzan Lewis, Maarufu kama Natasha, Muigizaji mkongwe wa filamu za Tanzania na Mama Mzazi wa Muigizaji Yvone Sherry maarufu kama Monalisa. Sherehe hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa wazi, miongoni mwa watu waliojitokeza kuinogesha ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Mh. Fedrick Sumaye, kama anavyoonekana akiselebuka hapo pichani.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets