Wednesday, July 24, 2013

Mzigo wa Kodi kwa Wananchi haubebeki, Au vp Kipanya?!!!


Nadhani hili suala limekuwa dhahiri sasa, maana mzigo wa Kodi kwa Wananchi ndo unazidi huku wazee wa Mjengoni wakizidi kubuni Mizigo Mingine Kila leo huku hali ya Maisha ya Mtanzania ikizidi kudorora.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets