Saturday, December 14, 2013

BAADA YA MIAKA 112, BARAFU YAANGUKA NA KUJAA CAIRO



Watu wengi wanapolifikiri jiji la Cairo hakika watakuwa wanafikiria juu ya mazingira ya joto na vumbi.

Ila kitu kimoja kisichokuwa cha kawaidia kimetokea kwenye eneo hilo usiku - barafu imemwagika.


Kwa mujibu wa waandishi wa ndani wamesema hii ni mara ya kwanza kwa barafu kushuka kwenye mji huo mkuu wa Misri ndani ya miaka 112.

Picha za kushangaza zimeonyesha mji huo ambao mara nyingi huwa ni wenye joto ukiwa umefunikwa na weupe wa barafu.

Wananchi wa Misri walitumia mtandao wa Twitter kuposti baadhi ya picha za hali hiyo ya kushangaza.




DC Blog.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets