Tuesday, December 10, 2013

BAADA YA WANAIJERIA KUTUMIA "NYETI" KAMA KEKI YA BIRTHDAY, NICK MINAJ AFANYA BALAA ZAIDI, IANGALIA KEKI YAKE HAPA


Rapa wa kike toka US, ambaye pia ni muimbaji, muandishi, muigizaji na mtangazaji wa vipindi vya televisheni Onika Tanya Maraj, maarufu kama Nicki Minaj, mnamo siku ya Jumapili December 8, 2013, alitimiza miaka kadhaa.

Nicki Minaj alifikisha miaka 31, na hakika alisherehekea siku yake hiyo kwa mtindo wa kipekee. Keki iliyotumika kwenye birthday hiyo imevuja kwenye mitandao.

Icheki hapo chini:



No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets