Tuesday, January 14, 2014

JUX AFUNGUKA KUHUSIANA NA SAKATA LA KUKAMATWA KWA MPENZ WAKE JACK CLIFF


 Hii ndo picha aliyo na ujumbe aliopost Jux mara baada ya kuongea na Jackie amabye kwa maelezo yake hajui kinacho endelea. 
credit=Jestina George
.
Boyfriend wake Jackie ambae ni msanii wa bongofleva Jux ameongea kwenye Exclusive interview na millardayo Jan 13 2014. Baadhi ya maswali aliyoyajibu kwenye video hapa chini ni pamoja na Wameongea lini mara ya mwisho? Jack anasemaje? Jack alikua wapi wakati wanaongea? yuko nchi gani? anarudi lini bongo? na mengine…

Angalia mahojiano hayo hapa chini

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets