Thursday, February 13, 2014

MARIAH CAREY ANOAACHA MAMBO WAZI AKIWA STEJINI.


Hakika mwanamke huyu hataki kukubaliana na ukweli wa yeye kuwa mtu mzima na kuacha mambo kama haya yakafanywa na wasichana wadogo. Hivi ndivyo alivyoimba kwenye BET Honors zilizofanyika Warner Theatre ndani ya Washington DC siku ya Jumamosi.

Angalia picha zaidi hapo chini....


DC 

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets