Thursday, February 13, 2014

RONALDO AZIDI KUKIMBIZA, ASHIKA NAMBA MOJA KATIKA ORODHA YA WACHEZAJI NA WENZA WANAOVUTIA ZAIDI, ANGALIA 9 WALIOSALIA.


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na mpenzi wake ambaye pia ni mwanamitindo, Irina Shayk, wamechaguliwa kuwa kapo yenye mvuto zaidi miongoni mwa wachezaji wa mpira wa miguu na wap#nzi wao, hii ikiwa ni mbele ya David na Victoria Beckham.

Ronaldo na patna wake walipata 18% ya kura zote kwenye utafiti uliofanywa na mtandao wa BetNegotiator.com.

Shuka chini upate listi kamili na picha zao....

Top 10 ya kapo zenye mvuto kwa wachezaji soka

1. Cristiano Ronaldo and Irina Shayk – 18 %

2. David Beckham and Victoria Beckham - 14 %

3. Lionel Messi and Antonella Roccuzzo – 11 %

 4. Steven Gerrard and Alex Gerrard – 9 %

5. Gerard Pique and Shakira – 8 %

6. Frank Lampard and Christine Bleakley – 7 %

7. Iker Casillas and Sara Carbonero – 6 %

8. Wayne Bridge and Frankie Sandford – 5 %

9. Gareth Bale and Emma Rhys-Jones – 4 %

10. Peter Crouch and Abbey Clancy – 3 %
DC.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets