Thursday, March 28, 2013

Msanii Maringo Saba Anywa Sumu!!

--> Msanii wa vichekesho vya "Mizengwe" kupitia kituo cha ITV amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kunywa sumu akiwa na nia ya kujia baada ya kumfumania mkewe akivinjari na rafiki yake wa karibu. Udaku unaelezwa kuwa maringo aliwawekea mtego siku nyingi nz arobaini yao ilikuwa imefika wiki iliyopita ambapo baada ya tukio la kuwafumania na mkewe kuamua kula kona jamaa akaona bora ajiue.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets