Monday, July 1, 2013

Kama Shemeji amefikia hivi Jiandae....!!!

Though inachekesha lakini hebu vuta picha ndo mkeo kashafikia hatua ya kuvaa size kama hiyo, basi kaka yangu jiandae kwa mengi, miongoni mwa hayo ni ugomvi na wanaume wenye macho kodo, gharama za ziada za usafiri ili kujilinda na mengine kibao.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets