Monday, July 1, 2013

Wapenzi wafariki wakati wakifanya Mapenzi!!!

Watu wawili (wapenzi) wamefariki huko China
baada ya kuanguka kupitia dirishani baada ya kioo walichokuwa wamekiegemea kuvunjika wakati wanafanya mapenzi. Miili yao ilikuwa imatapakaa dama huku ikionesha ni jinsi gani walivyofikia.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets