Iringa Clan
Habari za Ndani na Nje ya Nchi, Michezo, Burudani na Udaku.
Pages
Home
HABARI ZA KITAIFA
HABARI ZA KIMATAIFA
MAPENZI
MICHEZO NA BURUDANI
UDAKU WA BONGO
Monday, July 8, 2013
Kijana ajibadilisha sura na Kufanana na Mbwa
Kweli mwisho wa Dunia umefika. Kijana huyu wa Ki Brazil ameamua kutoka katika ubinadamu na kuwa nusu mbwa baada ya kufanya upusuaji na kujibadilisha uso wake ili afanane na mbwa. Hivyo basi yeye ameweka rekodi ya kuwa Mbwa Mtu wa kwanza Duniani.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Blogger Widgets
No comments:
Post a Comment