Saturday, July 27, 2013

Mwangalie Shakira, Alivyoji shape baada ya Kuzaa!!!


 

Siku chache zilizopita Msanii mzaliwa wa Columbia, Shakira alikutwa akijiachia na ka Bikini Ikiwa ni Miezi 6 tu baada ya kujifungua mtoto wake wa kwanza. Shakira, 36, amefanya kazi kubwa kuurudisha mwili wake baada ya muda mfupi hasa ukizingatia na umri alionao na kujifungua kwake.

Picha hizo zimepigwa akiwa mapumzikoni huko Hawaii.


photophoto

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets