Friday, January 31, 2014

KANYE WEST ALIPA ZAIDI YA MILIONI 350 ZA KITANZANIA KWA YULE DOGO ALIYEMWANGUSHIA KICHAPO BAADA YA KUMSEMEA MBOVU KIM K.


Wiki chache zilizopita, ililipotiwa kuwa Kanye West alimshambulia mvulana wa miaka 18 kwenye sehemu ya mapokezi ya ofisi za chiropractor.

Na sasa kwa mujibu wa TMZ, Kanye amefikia makubaliano nje ya mahakama ili kumalizana na kijana huyo kwa kumlipa fidia ya $250. Familia ya kijana huyo mdogo imesema kwamba hiyo ilistahili kulipwa kwa kitendo alichofanyiwa kijana huyo na Kanye.

DC Blog.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets