Friday, January 10, 2014

Mshindi wa "EBSS" ni Emanuel Msuya, Mzigo wa Milioni 50 kwake, Angalia Picha Hapa



Hatimaye EBSS kwa mwaka 2013 imefika tamati jana kwa fainali zilizofanyika ndani ya Escape 1 mikocheni na msanii Emmanuel Msuya kuibuka Mshindi.
Washiriki walioingia Tatu Bora kutoka kushoto ni Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John.
Emmanuel Msuya akilia machozi ya furaha baada ya kuingia Tatu Bora.
Washiriki Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John wamefanikiwa kuingia Tatu Bora katika fainali za EBSS 2013 ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar muda huu. Wasanii walioaga…
Washiriki walioingia Tatu Bora kutoka kushoto ni Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John.
Emmanuel Msuya akilia machozi ya furaha baada ya kuingia Tatu Bora.



Washiriki Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John wamefanikiwa kuingia Tatu Bora katika fainali za EBSS 2013 ndani ya Escape 1.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets