Thursday, February 13, 2014

OBAMA NA KA SKENDO KA KUJIMEGEA BEYONCE


Gazeti moja la nchini Ufaransa Le Figaro linaripoti kamba BeyoncĂ© na Rais Barack Obama wana mahusiano ya kimap#nzi. Ndio, umesoma sahihi. Pascal Rostain, mpiga picha wa Kifaransa, amelieleza gazeti hilo kwamba “kuna kitu kikubwa kinaendelea” kati ya wawili hao.

“Nakuhakikishia kwamba Dunia italizungumzia hili,” aliongeza. 

Soma habari na angalia picha zaidi hapo chini....

Gala, ambalo ni kama Jarida la People la Ufaransa, pia limetaarifu kwamba Rais huyo wa Marekani na mke wake Michelle Obama wanaelekea kuachana.


Hakuna taarifa zilizotolewa zaidi juu ya uthibitisho wa Jarida hilo kuweza kusapoti kile ilichokiandika, ila tutafahamu zaidi hapo kesho.

Huku habari hizo zikiwa zinasambaa Barani Ulaya, inaoneka kwamba The Washington Post linategemea kutoka na na taarifa nyingine zaidi juu ya habari hiyo. 

Kris Coratti ambaye ni msemaji wa gazeti hilo, alisema kwamba tetesi hizo juu ya mahusiano ya kimap#nzi kati ya Bey na Barack kuwa “sio za kweli kabisa” na wana mpango wa kufanyia uchunguzi wa kina juu ya tetesi hizo.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets