Thursday, February 13, 2014

PATA MUDA KUANGALIA PICHA ZA MWANAMKE MWENYE KIUNO CHEMBEMBA ZAIDI DUNIANI.


Mwanzoni nilikuwa natia shaka juu ya hili mpaka nilipokuja kuona kuwa naye yumo miongoni mwa watu kwenye kitabu maarufu cha kumbukumbu za Guinness world.

Cathie Jung ana miaka 77 na ndiye mwanamke mwenye kiuno chembamba zaidi Duniani. Hakika hii inashangaza kimtindo.

Cheki picha zaidi hapo chini...



lla unadhani hii ni hali ya kawaidia au ni ugonjwa...? DC.

No comments:

Post a Comment

Blogger Widgets